Kumswalia Nabii wa Allah (sallallahu ‘alaihi wasallam) katika Swalah na Baada ya Swalah

عن أبي أمامة عن النبي صلى الله عليه وسلم قال: من دعا بهؤلاء الدعوات في دبر كل صلاة مكتوبة حلت له الشفاعة مني يوم القيامة اللهم أعط محمدا الوسيلة واجعله في المصطفين محبته، وفي العالين درجته وفي المقربين داره (المعجم الكبير للطبراني، الرقم: 7926، وفيه مطرح بن يزيد وهو ضعيف …

Soma Zaidi »

Namna ya Kutoa Adhaan ya Alfajiri

Ikiwa mtu atatoa Adhaan ya Alfajiri, basi atatoa adhaan kwa namna ile ile iliyoelezwa. Tofauti pekee ni kwamba mtu atasoma maneno yafuatayo mara mbili baada ya kusema حَيَّ عَلٰى الْفَلَاحْ (Hayya ‘alal falaah):[1] اَلصَّلَاةُ خَيْرٌ مِّنَ النَّوْمْ Swalaah ni bora kuliko usingizi. عن محمد بن عبد الملك بن أبي محذورة …

Soma Zaidi »

Kumswalia Nabii wa Allah (sallallahu ‘alaihi wasallam) wakati wa Kuingia na Kutoka Msikitini

عن عبد الملك بن سعيد بن سويد قال سمعت أبا حميد أو أبا أسيد الأنصارى يقول قال رسول الله صلى الله عليه وسلم إذا دخل أحدكم المسجد فليسلم على النبى صلى الله عليه وسلم ثم ليقل اللهم افتح لى أبواب رحمتك فإذا خرج فليقل اللهم إنى أسألك من فضلك. (أبو …

Soma Zaidi »

Kusherehekea mwaka mpya

Swali: je inajuzu kutakiana “heri ya mwaka mpya” mwaka mpya wa kiingereza unapoanza? Baadhi ya watu wanasema kwamba sherehe ya mwaka mpya ina maana fulani ya ku kufuru. Je hii ni sahihi? jibu: sherehe ya mwaka mpya ni sherehe ya “kidini” ya makafiri ambayo inahusishwa na imani ya ukafiri na …

Soma Zaidi »

Matamshi Sahihi ya Maneno ya Adhaan

Wakati wa kutoa adhaan, mtu ajitahidi kutamka maneno kwa usahihi. Katika suala hili, baadhi ya nukta muhimu kuzikumbuka ni: 1. Wakati wa kusema اَللهُ أَكْبَرَ اللهُ أَكْبَرْ ,herufu ر (Raa) katika أَكْبَرْ (Akbar) ya kwanza itasemwa na fat-hah (ــَـ) (kwa kuiunganisha na neno اللهُ (Allahu). 2. Pindi unapo sema أَشْهَدُ …

Soma Zaidi »

Kumswalia Nabii wa Allah (sallallahu ‘alaihi wasallam) wakati wa Kuingia na Kutoka Msikitini

Faatimah (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba wakati Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alikua akiingia msikitini, alikua akituma salaam na baada ya hapo alikuwa akisoma dua ifuatayo:

Ewe Mola wangu, nisamehe dhambi zangu na nifungulie milango ya rehema zako.

Nabii wa Allah (sallallahu ‘alaihi wasallam) pindi anapotoka msikitini, alikuwa akituma salaam na kisha akisoma dua ifuatayo:

Soma Zaidi »

Maneno Ya Adhaan.

Kuna aina saba ya misemo katika adhaan. Misemo saba ni hizi zimetajwa hapa chini kwa utaratibu maaluum: 1. Kwanza toa Kwa sauti ya juu: اَللهُ أَكْبَرَ اللهُ أَكْبَرْ Mwenyezi Mungu ndiye mkubwa zaidi, Mwenyezi Mungu ndiye mkubwa zaidi. اَللهُ أَكْبَرَ اللهُ أَكْبَرْ Mwenyezi Mungu ndiye mkubwa zaidi, Mwenyezi Mungu ndiye …

Soma Zaidi »

Tafseer Ya Surah Dhuha

بِسْمِ ٱللَّـهِ ٱلرَّحْمَـٰنِ ٱلرَّحِيمِ وَالضُّحٰى ﴿١﴾ وَالَّيْلِ إِذَا سَجٰى ﴿٢﴾ مَا وَدَّعَكَ رَبُّكَ وَمَا قَلٰى ﴿٣﴾ وَلَلْـاخِرَةُ خَيْرٌ لَّكَ مِنَ الْاُولٰى ﴿٤﴾ وَلَسَوْفَ يُعْطِيكَ رَبُّكَ فَتَرْضٰى ﴿٥﴾ اَلَمْ يَجِدْكَ يَتِيمًا فَـاوٰى ﴿٦﴾ وَوَجَدَكَ ضَآلًّا فَهَدٰى ﴿٧﴾ وَوَجَدَكَ عَآئِلًا فَاَغْنٰى ﴿٨﴾ فَاَمَّا الْيَتِيمَ فَلَا تَقْهَرْ ﴿٩﴾ وَاَمَّا السَّآئِلَ فَلَا تَنْهَرْ ﴿١٠﴾ …

Soma Zaidi »

Njia ya Sunna ya kuita adhana.

15. Ikiwa uko mahali nje ya mji ambapo hakuna mtu wakuswali pamoja naye, basi hata kama utaswali peke yako, bado unapaswa kutoa adhaan na iqaamah. Ukitoa adhaan na iqaamah na baada ya hapo ukaswali basi Malaika wataswali pamoja na wewe.[1] عن عقبة بن عامر رضي الله عنه قال سمعت رسول …

Soma Zaidi »

Kumswalia Nabii wa Allah (sallallahu ‘alaihi wasallam) mara Mia baada ya Al fajiri na Maghrib.

عن جابر رضي الله عنه قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم: من صلى علي مائة صلاة حين يصلي الصبح قبل أن يتكلم قضى الله تعالى له مائة حاجة يعجل له منها ثلاثين ويدخر له سبعين وفي المغرب مثل ذلك قالوا: وكيف الصلاة عليك يا رسول الله قال: إن …

Soma Zaidi »