Quraan

Sura Maalum Kwenye Nyakati na Matukio Mbalimbali 5

10. Soma Sura Fatiha na Sura Ikhlaas kabla ya kulala. Anas (radhiyallahu ‘anhu) anasema kwamba Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema, “(Wakati wa kulala,) unapoweka ubavu wako juu ya kitanda, na ukasoma Sura Faatihah na Sura Ikhlaas, basi utasalimika na kila kitu isipokuwa kifo.”[1] 11. Soma Surah Zumar na Surah Bani …

Soma Zaidi »

Sura Maalum Kwenye Nyakati na Matukio Mbalimbali 4

8. Soma Surah Kahf siku ya Ijuma. Ibnu Umar (radhiyallahu anhuma) anasimulia kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema: “Mwenye kusoma Surah Kahf siku ya ijuma, nuru (mwanga) hutoka chini ya miguu yake na kupanuka hadi kufika angani. Nuru hii itan’gaa siku ya Qiyaamah, na madhambi yake yote (madogo) atakayofanya katikati …

Soma Zaidi »

Sura Maalum Kwenye Nyakati na Matukio Mbalimbali 3

6. Soma Surah Sajdah kabla ya kulala. Jaabir (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alikuwa halali mpaka asome Surah Sajdah na Surah Mulk.[1] Khaalid bin Ma’daan (rahimahullah), ambae ni Taabi‘i, ametaja yafuatayo:“Hakika Sura Sajdah itabishana kaburini kwa kumtetea mwenye kuisoma. Itasema, ‘Ewe Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala)! Ikiwa nipo …

Soma Zaidi »

Sura Maalum Kwenye Nyakati na Matukio Mbalimbali 2

4. Soma Surah Yaseen kila asubuhi na jioni. Ibnu Abbaas (radhiyallahu anhuma) anaripoti kwamba, “Yoyote anayesoma Sura Yaaseen asubuhi, kazi yake ya siku hiyo nzima itarahisishwa, na yoyote atakayeisoma mwisho wa siku, kazi yake mpaka asubuhi itarahisishwa.”[1] Jundub (radhiyallahu anhu) anasimulia kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema: “Mwenye kusoma Sura …

Soma Zaidi »

Sura Maalum Kwenye Nyakati na Matukio Mbalimbali 1

Kuna baadhi ya surah ambazo zinatakiwa kusomwa kwenye nyakati maalum wakati wa usiku na mchana au katika siku fulani ndani ya week. Ni mustahab kwa mtu kusoma surah hizi kwa muda wake. 1. Soma Surah Kaafirun kabla ya kulala Imepokewa kutoka kwa Jabalah bin Haarithah (radhiyallahu ‘anhu) kwamba Mtume (Sallallahu …

Soma Zaidi »

Sunnah na Adabu Za Kusoma Qur’an Takatifu 8

23. Ikiwa umehifadhi sehemu yoyote ya Qur’an Majeed basi hakikisha kwamba unapitia na kufanya muraaja’a mara kwa mara ili usiisahau. Hadith imetahadharisha juu ya kupuzia kisomo cha Quraan Majeed na kusahau ulichohifadhi. Abu Muusa Ash’ari (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam ) alisema, “Ichunge (na ilinde) Quraan Takatifu. …

Soma Zaidi »

Sunnah na Adabu Za Kusoma Qur’an Takatifu 7

22. Baada ya kumaliza kusoma Quraan Majeed yote basi soma dua ifuatayo: اَللّٰهُمَّ ارْحَمْنِيْ بِالْقُرْآنْ وَاجْعَلْهُ لِيْ إِمَاماً وَّهُدًى وَّرَحْمَةً اَللّٰهُمَّ ذَكِّرْنِيْ مِنْهُ مَا نَسِيْتُ وَعَلِّمْنِيْ مِنْهُ مَا جَهِلْتُ وَارْزُقْنِيْ تِلَاوَتَهُ آنَاءَ اللَّيْلِ وَأَطْرَافَ النَّهَارِ وَاجْعَلْهُ لِيْ حُجَّةً يَا رَبَّ الْعَالَمِيْنَ Ewe Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala)! Nimiminie rehema Yako makhsusi …

Soma Zaidi »

Sunnah na Adabu Za Kusoma Qur’an Takatifu 6

18. Haijuzu kwa mtu kusoma sehemu yoyote ya Quraan Takatifu au kuchukua jina la Allah Ta’ala akiwa chooni. Vile vile ikiwa mtu ana pete au cheni ambayo juu yake imeandikwa jina la Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) au aya yoyote ya Quraan Majeed, basi aiondoe kabla ya kuingia chooni. Anas (radhiyallahu …

Soma Zaidi »

Sunnah na Adabu Za Kusoma Qur’an Takatifu 5

15. Wakati wa kugeuza kurasa za Qur’an Takatifu, usiloweshe kidole chako na mate ili kugeuza kurasa. Hii haiendani na heshima tunayotakiwa kuionyesha Quraan Majeed. 16. Baada ya kuhitimisha Quraan Takatifu, unapaswa kushiriki katika dua kwa sababu huu ni wakati ambao dua zinakubaliwa. Thaabit (rahimahullah) anaripoti kwamba wakati wowote Anas bin …

Soma Zaidi »

Sunnah na Adabu Za Kusoma Qur’an Takatifu 4

12. Unapozungumzia kuhusu Qur’an, basi ipe cheo cha heshima kama vile Quraan Majeed, Quraan Kareem, Quraan Tukufu, Quraan Takatifu, n.k. 13. Soma Quran Majeed kwa sauti nzuri. Vile vile, unapaswa kujiepusha na kuiga sauti na urembaji wa nyimbo na mitindo ya waimbaji, nk.[1] Baraa ibn Aazib (radhiyallahu ‘anhu) anasema kwamba …

Soma Zaidi »