Sunna na Adabu

Sunna na Aadaab za kunywa 1

1. Kabla ya kunywa, taja jina la Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) kwa kusema : بِسْمِ اللهِ Kwa jina la Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) 2. Kunywa na mkono wa kulia. Ibnu Umar (Radhiyallahu anhuma) anaripoti kwamba Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alisema, “Wakati yoyote kati yenu anakula basi anapaswa kula na mkono …

Soma Zaidi »

Sunna na Adabu Za Kunywa 1

Kuna sunna nyingi na adabu kuhusu kunywa. Baadhi ya Sunna na adabu zinazohusika na dua kadhaa ambazo zimefundishwa kusomwa kabla, wakati na baada ya kunywa. Sunna zingine na adabu zinahusiana na jinsi mtu anapaswa kunywa. Mbali na hayo, kuna Sunna na adabu ambazo humfundisha mtu kiasi ambacho anapaswa kunywa wakati …

Soma Zaidi »

Dua Baada Ya Kula 2

Dua ya sita

Sifa zote ni za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata'ala), ambaye analisha na yeye halishwi. Alitupa neema zake kisha akatuelekeza kwenye njia sahihi, na akatupa chakula na vinywaji, na kila neema nzuri - alitupendelea nayo. Sifa zote ni za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata'ala), ambaye alitupa (sisi) chakula, akatupa (sisi) vinywaji, akatuvisha (sisi) kutoka katika hali ya kuwa uchi, ambaye alituelekeza (sisi) na kutuondoa (sisi) kutoka upotovu, alitupa macho na kutuondoa (sisi) katika hali ya upofu na akatupendelea (sisi) zaidi ya viumbe vyake zingine. Sifa zote ni za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata'ala), Mola wa ulimwengu.

Soma Zaidi »

Dua Baada Ya Kula 1

Dua ya kwanza: Sifa zote ni za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata'ala) ambaye alitupa chakula na vinywaji na kutufanya Waislamu.

Dua ya pili Sifa zote ni za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata'ala) ambaye alinipa chakula hiki kula, na alinipa bila juhudi yoyote au jitihada kutoka upande wangu.

Maelezo: Mu'aadh bin Anas (Radhiyallahu anhu) anaripoti kwamba Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alisema, "Yoyote anayekula chakula chochote na baada ya hapo anasoma Dua iliyotajwa hapo juu, dhambi zake zilizopita na za baadaye (ndogo) zitasamehewa. "

Soma Zaidi »

Sunna na Adabu za kabla ya kula 6

4. Usizidishi kula. Badala yake, kula kwa kiwango ambacho unahitaji. Miqdaad (Radhiyallahu anhu) anaripoti kwamba rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alisema, ” Hakuna chombo ambacho mtu anaweza kujaza ambayo ni mbaya zaidi kuliko tumbo. Tonge chache vya chakula ambacho kitaruhusu mgongo kubaki sawa (na kumwezesha mtu kutimiza ibada ya Mwenyezi Mungu) …

Soma Zaidi »

Sunna na Adabu za kabla ya kula 5

4. Baada ya kumaliza kula, kwanza ondoa chakula kwenye mkeka kabla ya kuamka na kuondoka. Wakati wa kuondoka, Dua ifuatayo inapaswa kusomwa: اَلْحَمْدُ لِلّٰهِ حَمْدًا كَثِيْرًا طَيِّبًا مُبَارَكًا فِيْهِ غَيْرَ مَكْفِيٍّ وَلَا مُوَدَّعٍ وَلَا مُسْتَغْنًى عَنْهُ رَبَّنَا Sifa zote ni za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala), sifa kama hizo ambazo ni …

Soma Zaidi »

Sunna na Adabu za kabla ya kula 4

8. Wakati wa kula, mtu hapaswi kukaa kimya kabisa. Lakini, mtu hapaswi kuongelea mambo ambayo yatasababisha wengine kukereheshwa, kupta kichefuchefu au kupoteza hamu ya kula (k.m. kuongea kuhusu mtu kufa, kuumwa nk). 9. Ikiwa unakula na wengine na chakula ni kidogo, basi uwe mstaraabu na uhakikishe kuwa wengine pia wanaweza …

Soma Zaidi »

Sunna na Adabu za kabla ya kula 3

4. Wakati wa kula, Mtukuze Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) kwa kusema “alhamdulillah”. Anas (Radhiyallahu anhu) anaripoti kwamba Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alisema, “Hakika Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) anafurahishwa na yule anayekula chakula, au anayekunywa maji, na humsifu Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) kwa kusema” alhamdulillah “. 5. Kula na vidole vitatu …

Soma Zaidi »

Sunna na Adabu za kabla ya kula 2

7. Soma Bismillah au dua ifuatayo kabla ya kula. Ikiwa upo na familia yako, basi unaweza kuisoma dua kwa sauti kuwakumbusha.  بِسْمِ اللهِ وَبَرَكَةِ اللهِ Kwa jina la Allah (Ta’ala), na kwa baraka za Allah (Ta’ala).[1] 8. Wakati wa kula, ama kaa na magoti yote mawili juu ya ardhi (katika …

Soma Zaidi »

Sunna na Adabu za kabla ya kula 1

1. Daima hakikisha unakula chakula cha halaal. Jiepushe na kula chakula cha mashaka au cha Haraam.[1] 2. Kula na niya ya kupata nguvu ya kutimiza amri za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) na kushiriki katika ibada yake.[2] 3. Mtu anapaswa kukaa chini na kula. 4. Kutandika mkeka chini kabla ya kula. …

Soma Zaidi »