Sunna na Adabu

Dua za Sunnah Wakati wa Kuamka

Dua Ya Kwanza اَلْحَمْدُ لِلّٰهِ الَّذِيْ أَحْيَانَا بَعْدَ مَا أَمَاتَنَا وَإِلَيْهِ النُّشُوْرْ Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) aliyetujaalia maisha baada ya kufa na kwake Yeye tu tutarejeshwa. Dua Ya Pili اَلْحَمْدُ لِلّٰهِ الَّذِيْ عَافَانِيْ فِيْ جَسَدِيْ وَرَدَّ عَلَيَّ رُوْحِيْ وَأَذِنَ لِيْ بِذِكْرِهِ Sifa njema zote ni …

Soma Zaidi »

Sunna na Aadaab za Kuamka 1

  1. Mara tu unapoamka kutoka usingizini, sugua uso na macho yako kwa kutumia viganja vyako vyote viwili ili kuondoa athari za usingizi. 2. Baada ya kuamka, soma dua: اَلْحَمْدُ لِلّٰهِ الَّذِيْ أَحْيَانَا بَعْدَ مَا أَمَاتَنَا وَإِلَيْهِ النُّشُوْرْ Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) aliyetujaalia uhai baada …

Soma Zaidi »

KUAMKA

Kabla ya kulala, tunafundishwa kusoma dua za masnoon na kumdhukuru Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’alah). Miongoni mwa dua za mchana kabla ya kulala ni dua ifuatayo: اَللّٰهُمَّ بِاسْمِكَ أَمُوْتُ وَأَحْيٰى Ee Mwenyezi Mungu, kwa jina lako nitakufa na kuishi. Katika dua hii, usingizi umefanishwa na kifo, kutokana na ukweli kwamba wakati …

Soma Zaidi »

Kabla ya kulala, soma yafuatayo:

a) Tasbeeh-ul-Fatimi yaani Subhanallah mara 33, Alhamdulillah mara 33, Allahu Akbar mara 34 Ali (radhiyallahu anhu) anaripoti: Wakati mmoja, Faatimah (Radhiyallahu anha) alienda nyumbani kwa Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) kulalamika kuhusu ugumu aliokuwa akiupata alipokuwa akitumia kinu. Habari zikamfikia kwamba Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) amepokea baadhi ya watumwa (hivyo alifikiria …

Soma Zaidi »

Dua Na Adhkaar Kabla Ya Kulala 4

Dua Ya kumi لَا إِلٰهَ إِلَّا اللهُ وَحْدَهُ لَا شَرِيْكَ لَهُ لَهُ الْمُلْكُ وَلَهُ الْحَمْدُ وَهُوَ عَلٰى كُلِّ شَيْءٍ قَدِيْرٌ وَلَا حَوْلَ وَلَا قُوَّةَ إِلَّا بِاللهِ سُبْحَانَ اللهِ وَبِحَمْدِهِ لَا إِلٰهَ إِلَّا اللهُ وَاللهُ أَكْبَرُ Hakuna mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Allah Ta’ala Peke Yake. Hana mshirika. Kwake yeye …

Soma Zaidi »

Dua Na Adhkaar Kabla Ya Kulala 3

Dua Ya Nane اَلْحَمْدُ لِلّٰهِ الَّذِيْ كَفَانِيْ وَآوَانِيْ وَأَطْعَمَنِيْ وَسَقَانِيْ وَالَّذِيْ مَنَّ عَلَيَّ فَأَفْضَلَ وَالَّذِيْ أَعْطَانِيْ فَأَجْزَلَ اَلْحَمْدُ لِلّٰهِ عَلٰى كُلِّ حَالٍ اَللّٰهُمَ رَبَّ كُلِّ شَيْءٍ وَمَلِيْكَهُ وَإِلٰهَ كُلِّ شَيْءٍ أَعُوْذُ بِكَ مِنَ النَّارْ Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu ambaye amenitosheleza (katika haja zangu zote). akanihifadhi, akanilisha na …

Soma Zaidi »

Dua Na Adhkaar Kabla Ya Kulala 2

Dua ya Tano بِاسْمِكَ رَبِّ وَضَعْتُ جَنْبِيْ وَبِكَ أَرْفَعُهُ إِنْ أَمْسَكْتَ نَفْسِيْ فَارْحَمْهَا وَإِنْ أَرْسَلْتَهَا فَاحْفَظْهَا بِمَا تَحْفَظُ بَهِ عِبَادَكَ الصَّالِحِيْنَ Kwa jina Lako, ewe mola wangu, naweka ubavu wangu (kitandani), na kwako (yaani kwa jina lako na usaidizi) ninauinua (wakati wa kuamka). Ukiichukua nafsi yangu (katika usingizi wangu) basi …

Soma Zaidi »

Dua Na Adhkaar Kabla Ya Kulala

Dua Ya Kwanza اَللّٰهُمَّ بِاسْمِكَ أَمُوْتُ وَأَحْيٰى Ewe Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’alah), kwa jina lako nitakufa na kuishi. Dua Ya Pili اَللّٰهُمَّ قِنِيْ عَذَابَكَ يَوْمَ تَبْعَثُ عِبَادَكَ Ewe Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’alah), niokoe na adhabu Yako siku ambayo utawafufua waja zako (kutoka kaburini). Kumbuka: Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) alikuwa akisoma …

Soma Zaidi »

Dua Unapo Ota Ndoto Mbaya

Ikiwa unahofu usiku kwa sababu ya kuona ndoto mbaya, basi soma dua zifuatazo:

Dua Ya Kwanza

Naomba kujikinga na maneno kamili ya Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’alah), ambayo mchamungu wala muovu hawezi kuyapita; najikinga na shari yoyote inayoteremka kutoka mbinguni na inayopanda kwenda mbinguni, na najikinga na shari yoyote alichokiumba duniani na kinachotokea humo, na najikinga na mitihani za usiku na mitihani za mchana, na shari za viumbe wanaotoka usiku na mchana, isipokuwa wale wanaokuja kwa kheri, Ewe Mwingi wa Rehma.

Soma Zaidi »

Sunna na Aadaab Za Kulala 5

16. Ni mustahab kufanya qailoolah (kulala mchana kidogo), kwa sababu hii itakusaidia kuamka Tahajjud. Ibnu Abbaas (Radhiyallahu anhuma) anaripoti kwamba Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alisema, “Jisaidieni na saumu mchana kwa kula daku, na jisaidieni na kusimama tahajjud usiku kwa kulala mchana (qailoola).” 17. Hakikisha kwamba unaswali, unajishughulisha na dhikr au …

Soma Zaidi »