Sunna na Adabu

Sunna na Aadaab Za Kulala 5

16. Ni mustahab kufanya qailoolah (kulala mchana kidogo), kwa sababu hii itakusaidia kuamka Tahajjud. Ibnu Abbaas (Radhiyallahu anhuma) anaripoti kwamba Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alisema, “Jisaidieni na saumu mchana kwa kula daku, na jisaidieni na kusimama tahajjud usiku kwa kulala mchana (qailoola).” 17. Hakikisha kwamba unaswali, unajishughulisha na dhikr au …

Soma Zaidi »

Sunna na Aadaab Za Kulala 4

14. Ukiona ndoto nzuri, basi sema Alhamdulillah. Unaweza kumsimulia mtu ambaye ana ujuzi katika tabiri za ndoto au kwa mtu ambaye ni mkutakia mema. Imepokewa kutoka kwa Abu Sa’eed Khudri (Radhiyallahu anhu) kwamba Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) amesema: “Mmoja wenu akiona ndoto nzuri inayomfurahisha, basi ahesabu hiyo ndoto kuwa ni …

Soma Zaidi »

Sunna na Aadaab Za Kulala 4

12. Ikiwa macho yako yanafunguka usiku, basi soma dua ifuatayo na baada ya hapo unaweza kumuomba Mwenyezi Mungu chochote. Insha-Allah, dua yako itakubaliwa. لَا إِلٰهَ إِلَّا اللهُ وَحْدَهُ لَا شَرِيْكَ لَهُ لَهُ الْمُلْكُ وَلَهُ الْحَمْدُ وَهُوَ عَلٰى كُلِّ شَيْءٍ قَدِيْرْ اَلْحَمْدُ لِلّٰهِ وَسُبْحَانَ اللهِ وَلَا إِلٰهَ إِلَّا اللهُ وَاللهُ أَكْبَرُ …

Soma Zaidi »

Sunna na Aadaab Za Kulala 3

8. Usilale juu ya tumbo lako. Ya’eesh Ghifaari (Radhiyallahu anhu) anaripoti: Wakati mmoja, nilikuwa nimelala kwenye tumbo msikitini kutokana na maumivu ya tumbo. Ghafla, mtu alikuja na kunishtuwa na mguu wake akisema, “Kulala katika hali hii (yaani. juu ya tumbo) haipendezwi na Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’alah) (Niligeuka kuangalia ni nani …

Soma Zaidi »

Sunna na Aadaab Za Kulala 2

3. Kabla ya kulala, unapaswa kungusa kitanda chako, kwa sababu kunaweza kuwa na wadudu wa hatari kwenye kitanda. Abu Hurairah (Radhiyallahu anhu) anaripoti kwamba Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alisema, “Wakati mtu akienda kulala kitandani, basi anapaswa kupangusa kitanda na sehemu ya ndani ya kikoi chake. Sababu ni kwamba mtu hajui …

Soma Zaidi »

Sunna na Aadaab Za Kulala 1

1. Baada ya swalaah ya isha, usipotezi muda wako na mazungumzo na watu. Badala yake, jaribu kulala mapema iwezekanavyo ili uweze kuamka kuswali Tahajjud na uswali alfajiri kwa wakati. Lakini, ikiwa kuna haja ya kubaki macho, mfano Kushiriki katika kazi za Dini, kujadili Masla za dini, Mashwarah muhimu, nk basi …

Soma Zaidi »

Kulala

Kulala ni moja ya mahitaji ya msingi ya kila mtu, kama kula na Kunywa ni mahitaji ya kimsingi. Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) anataja Fadhila kubwa ya kulala katika Qur’ani Majeed akisema: وَّ جَعَلۡنَا نَوۡمَکُمۡ سُبَاتًا ۙ﴿۹﴾ Na tulifanya usingizi kuwa njia ya kupumzika kwako. Katika aya nyingine, Mwenyezi Mungu (subhaanahu …

Soma Zaidi »

Sunna na Aadaab za kunywa 2

6. Wakati wa kunywa, mshukuru Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) kwa kinywaji ambacho amekupa kwa kusema “alhamdulillah”. Anas (Radhiyallahu anhu) anaripoti kwamba Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) amesema, “Hakika Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) anafurahishwa na yule anayekula chakula, au anakunywa maji, na kumsifu Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala).” 7. Usinywe kutoka upande uliovunjika …

Soma Zaidi »

Sunna na Aadaab za kunywa 1

1. Kabla ya kunywa, taja jina la Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) kwa kusema : بِسْمِ اللهِ Kwa jina la Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) 2. Kunywa na mkono wa kulia. Ibnu Umar (Radhiyallahu anhuma) anaripoti kwamba Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alisema, “Wakati yoyote kati yenu anakula basi anapaswa kula na mkono …

Soma Zaidi »

Sunna na Adabu Za Kunywa 1

Kuna sunna nyingi na adabu kuhusu kunywa. Baadhi ya Sunna na adabu zinazohusika na dua kadhaa ambazo zimefundishwa kusomwa kabla, wakati na baada ya kunywa. Sunna zingine na adabu zinahusiana na jinsi mtu anapaswa kunywa. Mbali na hayo, kuna Sunna na adabu ambazo humfundisha mtu kiasi ambacho anapaswa kunywa wakati …

Soma Zaidi »