1. Kabla ya kuanza safari (yaani kusafiri kwenda sehemu ambayo ni kilomita 78 au zaidi), mtu anatakiwa kuswali rakaa mbili. Swalaah hii inajulikana kama Swalaatus Safar. Mut’im bin Miqdaam (rahimahullah) anasimulia kwamba Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) amesema: “Hakuna kitendo ambacho mtu anaweza kukiacha pamoja na familia yake kabla ya kuanza …
Soma Zaidi »Kusafiri
Dini ya Uislamu imewasilisha sheria na maamrisho, na sunna na adabu, ili kumfundisha mwanadamu jinsi ya kuishi katika hali zote. Kama vile Dini ya Uislamu imetoa muongozo kwa mtu anapokuwa katika mji wake, vivyo hivyo imempa muongozo wa namna ya kujishughulisha anapokuwa safarini. Kwa maneno mengine, Dini ya Uislamu ni …
Soma Zaidi »Dua za Sunnah Wakati wa Kuamka
Dua Ya Kwanza اَلْحَمْدُ لِلّٰهِ الَّذِيْ أَحْيَانَا بَعْدَ مَا أَمَاتَنَا وَإِلَيْهِ النُّشُوْرْ Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) aliyetujaalia maisha baada ya kufa na kwake Yeye tu tutarejeshwa. Dua Ya Pili اَلْحَمْدُ لِلّٰهِ الَّذِيْ عَافَانِيْ فِيْ جَسَدِيْ وَرَدَّ عَلَيَّ رُوْحِيْ وَأَذِنَ لِيْ بِذِكْرِهِ Sifa njema zote ni …
Soma Zaidi »Sunna na Aadaab za Kuamka 1
1. Mara tu unapoamka kutoka usingizini, sugua uso na macho yako kwa kutumia viganja vyako vyote viwili ili kuondoa athari za usingizi. 2. Baada ya kuamka, soma dua: اَلْحَمْدُ لِلّٰهِ الَّذِيْ أَحْيَانَا بَعْدَ مَا أَمَاتَنَا وَإِلَيْهِ النُّشُوْرْ Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) aliyetujaalia uhai baada …
Soma Zaidi »KUAMKA
Kabla ya kulala, tunafundishwa kusoma dua za masnoon na kumdhukuru Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’alah). Miongoni mwa dua za mchana kabla ya kulala ni dua ifuatayo: اَللّٰهُمَّ بِاسْمِكَ أَمُوْتُ وَأَحْيٰى Ee Mwenyezi Mungu, kwa jina lako nitakufa na kuishi. Katika dua hii, usingizi umefanishwa na kifo, kutokana na ukweli kwamba wakati …
Soma Zaidi »Kabla ya kulala, soma yafuatayo:
a) Tasbeeh-ul-Fatimi yaani Subhanallah mara 33, Alhamdulillah mara 33, Allahu Akbar mara 34 Ali (radhiyallahu anhu) anaripoti: Wakati mmoja, Faatimah (Radhiyallahu anha) alienda nyumbani kwa Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) kulalamika kuhusu ugumu aliokuwa akiupata alipokuwa akitumia kinu. Habari zikamfikia kwamba Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) amepokea baadhi ya watumwa (hivyo alifikiria …
Soma Zaidi »Dua Na Adhkaar Kabla Ya Kulala 4
Dua Ya kumi لَا إِلٰهَ إِلَّا اللهُ وَحْدَهُ لَا شَرِيْكَ لَهُ لَهُ الْمُلْكُ وَلَهُ الْحَمْدُ وَهُوَ عَلٰى كُلِّ شَيْءٍ قَدِيْرٌ وَلَا حَوْلَ وَلَا قُوَّةَ إِلَّا بِاللهِ سُبْحَانَ اللهِ وَبِحَمْدِهِ لَا إِلٰهَ إِلَّا اللهُ وَاللهُ أَكْبَرُ Hakuna mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Allah Ta’ala Peke Yake. Hana mshirika. Kwake yeye …
Soma Zaidi »Dua Na Adhkaar Kabla Ya Kulala 3
Dua Ya Nane اَلْحَمْدُ لِلّٰهِ الَّذِيْ كَفَانِيْ وَآوَانِيْ وَأَطْعَمَنِيْ وَسَقَانِيْ وَالَّذِيْ مَنَّ عَلَيَّ فَأَفْضَلَ وَالَّذِيْ أَعْطَانِيْ فَأَجْزَلَ اَلْحَمْدُ لِلّٰهِ عَلٰى كُلِّ حَالٍ اَللّٰهُمَ رَبَّ كُلِّ شَيْءٍ وَمَلِيْكَهُ وَإِلٰهَ كُلِّ شَيْءٍ أَعُوْذُ بِكَ مِنَ النَّارْ Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu ambaye amenitosheleza (katika haja zangu zote). akanihifadhi, akanilisha na …
Soma Zaidi »Dua Na Adhkaar Kabla Ya Kulala 2
Dua ya Tano بِاسْمِكَ رَبِّ وَضَعْتُ جَنْبِيْ وَبِكَ أَرْفَعُهُ إِنْ أَمْسَكْتَ نَفْسِيْ فَارْحَمْهَا وَإِنْ أَرْسَلْتَهَا فَاحْفَظْهَا بِمَا تَحْفَظُ بَهِ عِبَادَكَ الصَّالِحِيْنَ Kwa jina Lako, ewe mola wangu, naweka ubavu wangu (kitandani), na kwako (yaani kwa jina lako na usaidizi) ninauinua (wakati wa kuamka). Ukiichukua nafsi yangu (katika usingizi wangu) basi …
Soma Zaidi »Dua Na Adhkaar Kabla Ya Kulala
Dua Ya Kwanza اَللّٰهُمَّ بِاسْمِكَ أَمُوْتُ وَأَحْيٰى Ewe Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’alah), kwa jina lako nitakufa na kuishi. Dua Ya Pili اَللّٰهُمَّ قِنِيْ عَذَابَكَ يَوْمَ تَبْعَثُ عِبَادَكَ Ewe Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’alah), niokoe na adhabu Yako siku ambayo utawafufua waja zako (kutoka kaburini). Kumbuka: Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) alikuwa akisoma …
Soma Zaidi »
Alislaam Juhudi za Kuleta uislam ndani ya maisha yetu