Sunna na Adabu

Sunna na Adabu za kabla ya kula 1

1. Daima hakikisha unakula chakula cha halaal. Jiepushe na kula chakula cha mashaka au cha Haraam.[1] 2. Kula na niya ya kupata nguvu ya kutimiza amri za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) na kushiriki katika ibada yake.[2] 3. Mtu anapaswa kukaa chini na kula. 4. Kutandika mkeka chini kabla ya kula. …

Soma Zaidi »

Kula

Dini ya Uislamu ni Dini ya dunia nzima. Ni kwa nyakati zote, maeneo yote na watu wote. Ni kamili kama jinsi imemuonyesha mwanadamu njia ya kutimiza haki za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) na haki za waja wa Allah Ta’ala. Kabla ya mtu kuingia ulimwenguni hadi atakapofariki, Uislamu imeweka sheria na …

Soma Zaidi »

Sunna Na Adabu Za Dhul Hijjah 5

9. Ni Mustahab kwa wale wanaokusudia kuchinja kutokukata kucha zao wala kukata nywele zao kwanzia mwanzo wa mwezi wa Dhul Hijjah hadi mnyama achinjwe. Ummu Salamah (Radhiyallahu anha) anaripoti kwamba Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alisema, “Yule anayekusudia kuchinja anapaswa aache kukata nywele zake na kukata kucha zake tangu mwezi wa …

Soma Zaidi »

Sunna Na Adabu Za Dhul Hijjah 4

7. Siku ya Arafah, mtu anapaswa kujihusisha na Dua. Siku hii ni Siku ya Barakah, iliyobarikiwa zaidi kuliko siku zingine kumi za Dhul Hijjah. Inaripotiwa kwamba Ali (Radhiyallahu anhu) alisema kuwa katika siku hii, Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) huwaachisha watu huru kutoka Moto wa Jahannum zaidi kuliko siku nyingine yoyote. …

Soma Zaidi »

Sunna Na Adabu Za Dhul Hijjah 3

5. Ni Mustahab kwa mtu (ambaye hayuko katika Ihraam) kufunga siku ya Arafah yaani 9 ya Dhul Hijjah. Mbali na kupokea thawabu ya mwaka mmoja, dhambi za miaka miwili pia zitasamehewa. Abu Qataadah(Radhiyallahu anhu) anaripoti kwamba Sahaabi mmoja aliwahi kumuuliza Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam), “Ewe Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam), mtu …

Soma Zaidi »

Sunna Na Adabu Za Dhul Hijjah 2

3. Jitahidi kufanya ibaadah nyingi iwezekanavyo wakati katika siku kumi za kwanza za dhul hijjah. Kufanya Ibaadah katika hizi siku utapata thawabu sawa sawa na kufanya Ibaadah ndani ya Lailatul Qadr. Abu Hurairah (Radhiyallahu anhu) anaripoti kwamba Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alisema, “Hakuna siku ndani ya mwaka ambayo Ibada inapendwa …

Soma Zaidi »

Dhul hijjah

Zul Hijjah ni miongoni ya miezi minne takatifu ndani ya kalenda ya Kiisilamu. Miezi minne takatifu ni Dhul Qa’dah, Dhul Hijjah, Muharram na Rajab. Thawabu za matendo mema yatakayofanywa katika hizi miezi zitaongezeka, na dhambi zilizofanywa katika miezi hizi pia huhesabiwa kuwa mabaya zaidi. Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) anasema: إِنَّ …

Soma Zaidi »

Sunna na Aadaab za Jumu’ah 4

12. Jitahidi kumswalia Mtume (sallallahu alaihi wasallam) mara elfu moja siku ya Jumu’ah. Anas (Radhiyallahu anhu) anaripoti kwamba Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alisema, “Yule ambaye ananitumia salaa na salaam mara elfu moja siku ya Jumu’ah, hatofariki hadi atakapoonyeshwa makazi yake peponi.”[1] 13. Ni Sunnah kusoma Surah A’ala (sabbihisma rabbikal a’laa) …

Soma Zaidi »

Sunna na Aadaab za Jumu’ah 3

9. Ikiwezekana, kwenda msikitini kwa kutembea kuswali Jumu’ah. Kwa kila Hatua zitazochukuliwa, utapokea thawabu ya kufunga mwaka mmoja na kuswali Tahajjud kwa mwaka mmoja. Aws bin aws thaqafi (radhiallahu anhu) anasema, “Nilimsikia Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) akitaja, ‘Yule anayefanya ghusl siku ya Jumuah na anaenda mapema msikitini kwa kutembea, na …

Soma Zaidi »

Sunna na Aadaab za Jumu’ah 2

6. Ni vizuri kuvaa nguo nyeupe.[1] Imepokewa kutoka kwa Ibnu Abbaas (radhiyallahu anhuma) kwamba Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) amesema: “Vaa nguo nyeupe, kwa sababu hiyo ni nguo bora kabisa, na wafunike humo marehemu zenu.”[2] 7. Imepokewa kwamba Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) wakati fulani alikuwa akisoma Surah Sajdah katika rakaa ya …

Soma Zaidi »