Sunna na Adabu

Kuwatembelea Wagonjwa

Dini ya Uislamu inatetea na kuamrisha mtu kutimiza haki anazo daiwa na Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) na haki anazo daiwa na waja wa Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala). Kuhusu haki anazodaiwa na waja wa Allah Ta’ala, hizi zinaweza kugawanywa katika aina mbili za haki. Aina ya kwanza ni zile haki ambazo …

Soma Zaidi »

Sunna Na Adabu Za Dua 9

21.Usiwe na haraka na kutokuwa na subra kwa ajili ya kukubaliwa na kutimizwa dua yako. Anas (radhiyallahu ‘anhu) anasema kwamba Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema: “Mja ataendelea kuwa katika hali ya wema maadamu yuko (ameridhishwa na amri ya Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) na hana haraka. MaSwahaabah wakauliza, “Ewe Rasulullah (sallallahu …

Soma Zaidi »

Sunna Na Adabu Za Dua 8

19. Jiepushe na ulaji wa haramu au chakula chenye mashaka na kujihusisha na madhambi. Mtu kula haramu na kujihusisha na madhambi inazuia dua kujibiwa. Imepokewa kutoka kwa Abu Huraira (radhiyallahu ‘anhu) kwamba Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema: “Enyi watu, hakika Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) ni Msafi na anakubali kilicho safi. …

Soma Zaidi »

Sunna Na Adabu Za Dua 7

17. Ni bora kuomba dua pana. Aaishah (radhiyallahu ‘anha) anaripoti kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alikuwa akipendelea dua hizo ambazo ni pana na alikuwa akiacha dua zingine. Dua hizi zifuatayo ni miongoni mwa dua za Masnoon ambazo zimepokelewa katika Hadith: رَبَّنَا آتِنَا فِي الدُّنْيَا حَسَنَةً وَفِي الْآخِرَةِ حَسَنَةً وَقِنَا عَذَابَ …

Soma Zaidi »

Sunna Na Adabu Za Dua 6

15. Usiombe dua kwa jambo lolote lisiloruhusiwa au kwa chochote kisichowezekana (kama mtu kuomba kuwa Nabi). Imepokewa kutoka kwa Abu Hurairah (radhiyallahu ‘anhu) kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema: “Dua ya mtu itakubaliwa daima maadamu haombi kitu cha dhambi au kukata mahusiano ya kifamilia, na maadamu hana haraka (katika dua …

Soma Zaidi »

Sunna Na Adabu Za Dua 5

12. Baada ya kumaliza dua yako, sema aameen. Abu Musabbih Al-Maqraaiy anasimulia: Wakati mmoja, tulikuwa tumekaa na Abu Zuhair An-Numairi ambaye alikuwa miongoni mwa maswahaabah (radhiyallahu anhum). Alikuwa mfasaha zaidi katika lugha. Wakati mtu yoyote miongoni mwetu alikuwa akishiriki katika dua, alikuwa akisema: “ufunge dua hiyo kwa Aamin, kwa sababu …

Soma Zaidi »

Sunna Na Adabu Za Dua 4

9. Wakati wa kuomba dua, moyo wako unapaswa kulenga kikamilifu na makini kwa Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala). Moyo wako usiwe umeghafilika na kutojali wakati wa omba dua. Hupaswi kuangalia huku na huku na kuwangalia watu pindi unapoomba dua. Imepokewa kutoka kwa Abu Huraira (radhiyallahu ‘anhu) kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) …

Soma Zaidi »

Sunna Na Adabu Za Dua 3

6. Unapo omba dua, usitumi njia ya kutokuwa na uhakika. Kwa mfano, usiseme: “Ewe Mwenyezi Mungu, ukitaka kunitimizia haja yangu, basi unitimizie.” Imepokewa kutoka kwa Abu Hurairah (radhiyallahu ‘anhu) kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema: “(Wakati wa kuomba dua) mtu asiseme ‘Ewe Mwenyezi Mungu, nisamehe ukitaka, nirehemu ukitaka, nipe rizki …

Soma Zaidi »

Sunna Na Adabuza Za Dua 2

2. Unapoomba dua, inua mikono yako sambamba na kifua chako. Salmaan Faarsi (radhiyallahu ‘anhu) anasema kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema, “Hakika Allah Ta’ala ndiye mtukufu zaidi na mkarimu zaidi. Heshima yake ni kiasi kwamba anajisikia ni kinyume na ukubwa na rehma yake kumwachia yule anayeinua mikono yake kwa ajili …

Soma Zaidi »

Sunna Na Adabu Za Dua 1

1. Anza kuomba dua yako kwa kumtukuza Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) kisha umswalia Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam). Baada ya hapo, katika hali ya unyenyekevu na heshima zote, taja haja zako mbele ya Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) Fadhaalah bin Ubaid (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba katika tukio moja, Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) …

Soma Zaidi »