Sunna na Adabu Za Musjid

Sunna Za Msikiti

36. Soma dua ya Sunna unapotoka msikitini.[1] Dua ya kwanza: بِسْمِ اللهِ وَالصَّلاَةُ وَالسَّلاَمُ عَلٰى رَسُوْلِ اللهِ اَللّٰهُمَّ إِنِّيْ أَسْأَلُكَ مِنْ فَضْلِكَ Kwa jina la Allah Ta’ala. Amani na salamu ziwe juu Sayyidina Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) Ewe Allah Ta’ala, nakuomba Neema zako.[2] Dua ya Pili: بِسْمِ اللهِ وَالصَّلاَةُ وَالسَّلاَمُ …

Soma Zaidi »

Sunna Za Msikiti

33. Kama unasinzia msikitini basi badili sehemu yako kwa kusogea na kukaa sehemu tofauti msikitini, ilimradi sio wakati ambapo khutba inaendelea. Kupitia kuhamia mahali pengine, usingizi wa mtu huondolewa.[1] عن ابن عمر رضي الله عنهما قال سمعت رسول الله صلى الله عليه وسلم يقول إذا نعس أحدكم وهو في المسجد …

Soma Zaidi »

Sunna Za Msikiti

31. Mbali na kwenda msikitini kuswali, ikiwa kuna shughuli inayofanyika msikitini, basi mtu aweke nia ya kwenda msikitini kupata elimu ya Dini. Ikiwa mtu ana uwezo wa kufundisha Dini basi afanye nia ya kuja msikitini ili kuwapa watu elimu ya Dini ikiwa atapata fursa ya kufanya hivyo.

Soma Zaidi »

Sunna Za Msikiti

27. Uwe mtulivu na mwenye heshima ukiwa msikitini, wala usighafilike na kusahau heshima ya msikiti. Baadhi ya watu, wakiwa wanangoja Swalah ianze, wanahangaika na mavazi yao au wanacheza na simu zao za mkononi. Hii ni kinyume na heshima na adabu ya Msikiti.[1] 28. Kusaidia katika usafi wa msikiti.[2]  عن أبي …

Soma Zaidi »

Sunna za Msikiti

25. Usipasue vifundo vyako ukiwa msikitini. Vile vile, usiunganishe vidole vyako ukiwa umeketi msikitini.

Mtumwa aliyeachiliwa huru wa Sayyidina Abu Sa’eed Khudri (radhiyallahu ‘anhu) anasema, “Siku moja, nikiwa na Abu Sa’eedd (radhiyallahu ‘anhu) na yeye akiwa pamoja na Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam), tuliingia msikitini na tukamuona mtu mmoja ameketi katikati ya musjid. Mtu huyu alikuwa amekaa kitako kwa jinsi magoti yake yalivyoinuliwa, na mikono yake ikiwa imezunguka magoti yake, na vidole vya mikono yake yote miwili vimeunganishwa. Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) aliimpa ishara mtu huyu (kuvuta mazingatio yake), lakini mtu huyo hakuona ishara ya Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam). Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) hivyo akageuka kumelekea Abu Sa’eed (radhiyallahu ‘anhu) na akasema, ‘Mmoja wenu atakapokuwa msikitini, basi asiunganishe vidole vyake, kwani kuunganisha vidole vyake ni kutoka kwa Shetani. Kwa muda utabakia msikitini mkingojea Swalaah, mtapata ujira wa Swalaah kama mko katika Swalaah mpaka mtakapotoka msikitini. Kuunganisha vidole wakati wa Swalaah ni kinyume na adabu ya Swalaah, basi mtu hatakiwi kuunganisha vidole wakati wa kusubiri Swalaah).’”

Soma Zaidi »

Sunna za Msikiti

21. Usipite mbele ya mtu anayeswali. Lakini, ikiwa ameweka sutrah mbele yake (yaani kuweka kitu chochote kirefu ili watu wapite mbele yake), inajuzu kupita mbele ya sutrah.[1] عن أبي جهيم رضي الله عنه قال قال رسول الله صلى الله عليه وسلم لو يعلم المار بين يدي المصلي ماذا عليه لكان …

Soma Zaidi »

Sunna za Msikiti

18. Ni bora mtu asiutumie msikiti kama njia ya kupita (kupitia ng’ambo).[1] عن ابن عمر رضي الله عنهما عن رسول الله صلى الله عليه وسلم قال خصال لا تنبغي في المسجد لا يتخذ طريقا ولا يشهر فيه سلاح (سنن ابن ماجة، الرقم: 748)[2] Sayyidina Ibnu Umar (radhiyallahu ‘anhuma) anaripoti kwamba Sayyidina …

Soma Zaidi »

Sunna Za Msikiti

14. Hakikisha unazima simu yako ya mkononi unapoingia msikitini ili isilete usumbufu kwa wale wenye
kujishughulisha na kuswali na ibaadaah zingine.

15. Usipige picha au kutengeneza video ukiwa msikitini. Kupiga picha au kutengeneza video za vitu vilivyo hai ni haraam katika Uislamu, na kufanya hivyo katika msikitini ni dhambi kubwa zaidi.

Soma Zaidi »

Sunna Za Msikiti.

13. Usipaze sauti yako au kufanya kelele ndani ya msikiti na katika eneo linalozunguka musjid.[1] عن السائب بن يزيد رضي الله عنه قال كنت نائما في المسجد فحصبني رجل فنظرت فإذا عمر بن الخطاب رضي الله عنه فقال اذهب فأتني بهذين فجئته بهما فقال ممن أنتما أو من أين أنتما …

Soma Zaidi »

Sunna Za Msikitini

9. Fanya niya ya nafil i'tikaaf kwa ajili ya kuwa utakaa msikitini.

10. Swali rakaa mbili za tahiyyatul masjid ukiingia msikitini.

Sayyidina Abu Qataadah (radhiyallahu ‘anhu) amesema kuwa Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) alisema, "pindi mmoja wenu atakapo ingia msikitini, anatakiwa kuswali rakaa mbili za swala kabla ya kukaa,"

Soma Zaidi »