1. Baada ya swalaah ya isha, usipotezi muda wako na mazungumzo na watu. Badala yake, jaribu kulala mapema iwezekanavyo ili uweze kuamka kuswali Tahajjud na uswali alfajiri kwa wakati. Lakini, ikiwa kuna haja ya kubaki macho, mfano Kushiriki katika kazi za Dini, kujadili Masla za dini, Mashwarah muhimu, nk basi …
Soma Zaidi »
Alislaam Juhudi za Kuleta uislam ndani ya maisha yetu