Sunnah Na Adabu Za Kuwatembelea Marehemu

Sunnah Na Adabu Za Kuwatembelea Marehemu 4

14. Wasaidie waliofiwa kwa kuwapelekea chakula nyumbani kwao. Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam) amewafundisha Maswahaba (radhiyallahu ‘anhum) kuonesha huruma kwa wafiwa na kuwasaidia wakati wa huzuni zao. Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) aliwahimiza Maswahaba (Radhiya Allaahu ‘anhum) kuandaa chakula na kupeleka kwa ajili ya familia, kwa sababu kupata msiba huu itakuwa vigumu …

Soma Zaidi »

Kuwafariji Wafiwa

Uislamu ni mfumo mpana na mkamilifu zaidi wa maisha ambao umezingatia kila hitaji la mwanadamu. Haikuonyesha tu njia ya amani kwenye maisha ya mtu, lakini pia imeonyesha jinsi ya kuonyesha upendo na amani baada ya kifo cha mtu. Hivyo basi, Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) kupitia mafundisho yake matukufu na kwa …

Soma Zaidi »