Hali Kabla ya Kukubali Uislamu: Kabla ya kukubali Uislamu, Abu dhar (Radhiyallahu ‘Anhu) alikuwa mwiza wa barabarani. Alikuwa jasiri kwamba bila msaada ya wezi wengine alikuwa nauwezo wa kuiba mizigo ya wapitanjia mwenyewe. Wakati mwingine, alikuwa akiwashambulia watu akiwa amepanda farasi, na wakati mwingine alikuwa akiwashambulia kwa miguu. (Siyar a’elaam …
Soma Zaidi »
Alislaam Juhudi za Kuleta uislam ndani ya maisha yetu