Wahab bin Munabbih (rahimahullah) anasema: Baada ya Abdullah bin Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhuma) kuwa kipofu (katika uzee wake), niliwahi kumuongoza kwenye Haram huko Makka Mukarramah, ambapo alisikia kundi la watu wakizozana wao kwa wao. Akaniomba nimuongoze kwao. Alipofika kwao, aliwasalimia kwa “Assalaamu Alaikum”. Walimuomba akaye lakini akakataa na akasema: Je! …
Soma Zaidi »Abdullah bin Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhuma) Akimuona Jibril (alaihis salaam)
Abdullah bin Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhu) anataja kwamba siku moja alikuwa na baba yake kwa Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) wakati Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) alikuwa akijadiliana na mtu kwa siri. Kwa vile Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alikuwa akiongea na mtu huyo, mgongo wake ulielekezwa kwa Abbaas (Radhiya Allaahu ́anhuma) na …
Soma Zaidi »Elimu Kuu ya Abdullah bin Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhuma)
Abdullah bin Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhuma) anasema: Baada ya kifo cha Mtume (Sallallahu alaihi wasallam), nilimwambia mmoja wa marafiki zangu wa Answaari, “Njoo twende tukajifunze (elimu ya Dini) kutoka kwa maswahaabah (Radhiya Allaahu ‘anhum), na wengi wao bado wako miongoni mwetu.” Akaniambia, “Ewe Ibnu Abbaas! Naapa kwa Mwenyezi Mungu, ninashangaa …
Soma Zaidi »Zoezi la Mu’az (Radhiyallahu ‘anhu) la Kusoma Qur’ani Tukufu ndani ya Tahajjud
Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alimtuma Mu’aaz (Radhiya Allaahu ‘anhu) kutawala sehemu fulani ya Yemen, na akamtuma Abu Musa Ash’ari (Radhiya Allaahu ‘anhu) kutawala sehemu nyingine ya Yemen. Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) aliwahutubia na akawapa nasaha zifuatazo kabla ya kuwatuma. Akawaambia, “Rahisisheni mambo (kwa ajili ya watu), wala msifanye mambo kuwa …
Soma Zaidi »Uhusiano wa Karibu Ambao Mu’aaz bin Jabal (Radhiya Allaahu ‘anhu) Alifurahia na Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam)
Muaz bin Jabal (Radhiya Allaahu ‘anhu) ametaja, “Wakati mmoja, nilikaa nyuma ya Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) juu ya punda alipokuwa amempanda. Hapakuwa na kitu baina yangu na Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) zaidi ya mbao la tandiko (ambalo humtenganisha mpanda farasi na aliyekaa nyuma yake). “Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) alinihutubia akisema, …
Soma Zaidi »Ushauri wa Mwisho wa Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) kwa Mu’aaz (Radhiya Allaahu ‘anhu) alipomtuma Yemen.
Wakati Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) alipokuwa akimtuma Mu’aaz bin Jabal (Radhiya Allaahu ‘anhu) kwenda Yemen kuwafundisha watu Dini na kuwatawala, Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) akamshindikiza mpaka nje ya Madina Munawwarah huku akimpa ushauri wake wa mwisho. Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) alimuamrisha kufanya baadhi ya matendo mema, na akamuamrisha kujiepusha na …
Soma Zaidi »Dakika za Mwisho za Mu’aaz bin Jabal (Radhiya Allaahu ‘anhu) katika Ulimwengu huu
Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) amesema: “Mwenye kufa kwa tauni kafa kama shaheed. Wakati wa ukhalifa wa Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu), tauni la Amwaas uliathiri Shaam ndani ya mwaka wa 17 baada ya Hijrah. Katika tauni hii, Abu Ubaidah (Radhiya Allaahu ‘anhu), kiongozi wa Waislamu huko Shaam, alipatwa na tauni …
Soma Zaidi »Sifa Nzuri za Muaz bin Jabal (Radhiya Allaahu ‘anhu)
Farwah bin Nawfal anasimulia kwamba wakati mmoja, Abdullah bin Masoud (Radhiyallahu anhu) aliwahi kuzungumza kuhusu Muaaz bin Jabal (Radhiyallahu ‘anhu) na akamsifu sana kwa wema aliokuwa nao Akisema: إن معاذا كان أمة قانتا لله حنيفا “Muaaz alikuwa ni ummah (kiongozi anayewaongoza wengine kwenye njia iliyonyooka), wakati yeye mwenyewe alikuwa amejitolea …
Soma Zaidi »Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) Alimteua Mu’aaz bin Jabal (Radhiya Allaahu ‘anhu) kama Gavana wa Yemen
Wakati Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) alipomtuma Mu’aaz (Radhiya Allaahu ‘anhu) kwenda Yemen, akamuuliza, “Utafuata utaratibu gani unapotoa maamuzi katika mambo ya Waislamu?” Mu’aaz (Radhiya Allaahu ‘anhu) akajibu: “Nitaamua kwa mujibu wa Qur-aan.” Kisha Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) akamuuliza: “Kama sheria haipatikani katika Quran, utafanya nini?” Akajibu: “Nitarejea kwenye Hadith ya …
Soma Zaidi »Ujuzi Mkuu wa Muaz bin Jabal (Radhiya Allaahu ‘anhu)
Abu Muslim Khowlaani (rahimahullah) anataja: “Niliingia msikiti wa Hims na nikaona mkusanyiko wa watu, miongoni mwao walikuwa maswahaba thelathini na mbili wa Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) ambao walikuwa wakisimulia hadithi kutoka kwa Mtume (Sallallahu alaihi wasallam). Katika mkusanyiko huu alikuwepo kijana ambaye amepaka wanja jichoni na ambaye meno yake yalikuwa …
Soma Zaidi »
Alislaam Juhudi za Kuleta uislam ndani ya maisha yetu