Shaqeeq bin Salamah (rahimahullah), mwanafunzi wa Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu), anasimulia kwamba wakati mmoja, Abdullah bin Mas’uud (Radhiyallahu ‘anhu) alitoa khutbah. Wakati wa khutbah, alitaja, “Na aapa kwa Mwenyezi Mungu!Nimejifunza zaidi ya surah sabini za Quraan Kareem moja kwa moja kutoka kwa Mtume (Sallallahu alaihi wasallam). Na aapa …
Soma Zaidi »Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) akimwomba Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) amsomee Quraan Majeed.
Wakati mmoja, Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) alikuja kwa kabila la Bani Zafar (kabila la Answaar). Akiwa amekaa juu ya mimbar akiwahutubia, alimwambia Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu), “Nisomee Qur-aan.” Kwa unyenyekevu mkubwa, Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) alimwambia Mtume (Sallallahu alaihi wasallam), “Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu, nikusomee …
Soma Zaidi »Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) akiwa na yaqeen na Maneno ya Mtume (Sallallahu alaihi wasallam)
Wakati fulani, katika kipindi cha ukhalifa wake, Uthmaan (Radhiyalhu ‘anhu) alikuja kumtembelea Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu). Wakati huo, Abdullah bin Masoud (Radhiya Allaahu ‘anhu) alikuwa na ugonjwa wake wa mwisho. Uthman (Radhiya Allaahu ‘anhu) akamuuliza, “Ni maradhi gani unayoyapata (ambayo yanakusababishia ugumu)?” Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) …
Soma Zaidi »Abdullah ibn Mas’uud (Radhiya Allaahu anhu) Akisoma Qur-aan Majeed kwa sauti mbele ya Waquraishi
Abdullah ibn Mas’uud (Radhiya Allaahu anhu) alikuwa mtu wa kwanza kusoma Qur-aan Majeed kwa sauti huko Makka Mukarramah kabla ya Maquraishi baada ya kusilimu. Siku moja, Maswahabah (Radhiya Allaahu anhum) walikusanyika na kusema: “Wallahi, Maquraish hawajawahi kumsikia mtu yeyote akisoma Qur-aan kwa sauti mbele yao, basi ni mtu gani kati …
Soma Zaidi »Ushujaa wa Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu)
Wakati wa vita vya Hunain, Waislamu walipata kushindwa kwa muda. Katika kipindi hiki kigumu, Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) alikuwa miongoni mwa Maswahabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) waliobaki imara na Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam). Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) anasimulia: “Nilikuwa pamoja na Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) siku ya …
Soma Zaidi »Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) Akimuua Abu Jahl
Baada ya vita ya Badr na Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) na maswahaabah (Radhiyallahu anhum) walipata ushindi, Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) aliwaambia Maswahaba, “Ni nani atakayekwenda kuona hali ya Abu Jahl?” Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) alikwenda kumtafuta na akakuta watoto wawili wa ‘Afraa (Radhiya Allaahu ‘anha) wamemumiza na akiwa …
Soma Zaidi »Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu)
Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) alikuwa ni kijana mdogo, akikuwa akichunga mbuzi za Uqbah bin Abi Mu’ait katika eneo la Makkah Mukarramah. Siku moja akiwa anachunga mbuzi, Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) na Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu) walipita huku wakiwa wakiwakimbia wamushrikeen. Kwa kuwa ilikuwa ni desturi ya Waarabu …
Soma Zaidi »Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) Akisifu Kisomo cha Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu)
Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu) aliwahi kusimulia tukio lifuatalo: Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) alikuwa akiongea na Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu) baada ya Esha na kujadiliana naye mambo ya Waislamu. Usiku mmoja, baada ya Esha, Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) alizungumza na Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu) (kuhusu mambo ya Waislamu) na …
Soma Zaidi »Abu Dhar (Radhiya Allaahu ‘anhu) Akimshauri Amiri La Jeshi Kusimamia Uadilifu.
Imam Bayhaqi (rahimahullah) anasimulia: Wakati Yazid bin Abi Sufyan (Radhiya Allaahu ‘anhu) alipokuwa waziri wa Shaam, Waislamu walijishughulisha na Jihaad na kupata ushindi, na hivyo kuwa na ngawira. Miongoni mwa ngawira za vita alikuwemo mtumwa mrembo aliyejikuta kwenye milki ya mwanajeshi mmoja wa Kiislamu. Muda mfupi baada ya yule mwanajeshi …
Soma Zaidi »Kufariki Kwa Abu Dhar (Radhiya Allaahu ‘anhu)
Wakati Abu Dhar (Radhiya Allaahu ‘anhu) alipokaribia mwisho wake, hapakuwa na mtu yoyote pamoja naye isipokuwa mke wake na mtumwa wake. Akawausia akisema, “Nipeni ghusl na nifunike ndani ya sanda (yaani baada ya mimi kufariki dunia). Kisha chukueni mwili wangu na kuuweka njiani, mwambieni msafari wa kwanza anapopita, “Huyu ni …
Soma Zaidi »
Alislaam Juhudi za Kuleta uislam ndani ya maisha yetu