Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alikuwa mtu bora zaidi katika waja wa Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala). Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) alimchagua kama mjumbe wake wa mwisho na akambariki na Dini bora zaidi – Dini ya kiislamu ambayo ni kanuni kamili ya maisha kwa mwanadamu kufuata. Mtu akichunguza tabia uliobarikiwa wa Rasulullah, …
Soma Zaidi »Bilaal (Radhiyallahu ‘Anhu) Akitoa Adhaan Juu Ya Ka’bah Shareef
Katika hafla ya Fath-ul-Makkah (ushindi wa Makkah), Rasulullah (Sallallahu ‘Alaihi Wasallam) aliingia ndani ya Ka’bah Shareef na Bilaal (Radhiyallahu’ Anhu) na Usamah (Radhiyallallahu). Wakati huo, Msikiti ulijaa na maquraish ambao walikuwa kwenye safu, kumuangalia Rasulullah (Sallallahu ‘Alaihi Wasallam) kuona nini atakalofanya na jinsi atakavyoshughulika na maquraish ambao walikuwa wamewafukuza Makka …
Soma Zaidi »Rasulullah (Sallallahu ‘Alaihi Wasallam) Akisikia Nyayo Za Bilaal (Radhiyallahu’ Anhu) huko Jannah
Abu Hurairah (Radhiyallahu ‘Anhu) anaripoti kwamba wakati moja, baada ya swala alfajiri, Rasulullah (Sallallahu’ Alaihi Wasallam) alimwambia Bilaal (Radhiyallahu ‘Anhu), “Ewe Bilaal! Kutoka kwa vitendo unavyofanya za kiislam, niambie ni kitendo gani unachokifanya kikubwa la kukufaidisha Akhera, kwa sababu usiku wa jana, nilikuwa nimesikia nyayo zako mbele yangu huko Jannah …
Soma Zaidi »Bilaal (Radhiyallahu anhu) Akichaguliwa Kuwa Muadhin Wa Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam)
Wakati sayyidina Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) Alifanya hijra (alihamia) kwenda madina munawwarah, aliwasiliana na maswahaaba (radhiyallahu ‘anhum) Kuhusu njia itakayochukuliwa ya kuwaita watu kwenye swala. Ilikuwa hamu iliyokuwa ndani ya moyo wa sayyidina Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) kwamba maswahaaba (radhiyallahu ‘anhum) wote wakusanyike na kutekeleza swala zao pamoja msikitini. Sayyidina …
Soma Zaidi »Istiqaama wa Bilaal (Radhiyallahu ‘Anhu) juu ya Uislamu:
Bilaal (Radhiyallahu ‘Anhu) ni Sahaabi maarufu kati maswahaabah (Radhiyallahu’ Anhum), na alikuwa Muazzin wa msikiti wa Mtume (Sallallahu ‘Alaihi wasallam) . Mwanzoni alikuwa mtumwa wa Abyssinia wa kafiri mmoja huko Makkah Mukarramah. Yeye kuwa muislamu, kama kawaida, haukupendwa na mmiliki wake na kwa hivyo aliteswa bila huruma. Ummayah bin Khalaf, …
Soma Zaidi »Sa’d bin Abi Waqqaas (radhiyallahu ‘anhu) akishiriki katika Ghusal ya Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu’ Anhu)
Wakati Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) alipofariki, sa’d bin abi Waqqaas (Radhiyallahu’ Anhu) na Abdullah bin Umar (Radhiyallahu ‘Anhuma) walikuwa miongoni ya watu waliompa Ghusal. Baada ya Janazah kubebwa na watu kutoka Aqeeq kwenda Madinah Munawwarah kuzikwa huko Baqi ‘, kaburi la Madinah Munawwarah. Pindi Janaazah ilipopita nyumba ya Sa’d …
Soma Zaidi »Fikra ya Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) kumchagua Khalifah
Umar (Radhiyallahu ‘Anhu) aliwahi kukaa na mtoto wake, Abdullah bin Umar, binamu yake, Saeed bin Zaid na Abbaas (Radhiyallahu’ Anhum). Umar (Radhiyallahu ‘Anhu) aliwaambia, “Nimeamua kwamba sitamchaguwa mtu yoyote maalum kama Khalifah baada yangu.” Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu), akiwa na wasiwasi juu ya ustawi wa Waislamu na jambo la …
Soma Zaidi »Nafasi ya hali ya juu ya Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) Mbele ya Abdullah bin Umar (Radhiyallahu ‘Anhuma)
Katika tukio moja, wakati Abdullah bin Umar (Radhiyallahu ‘Anhuma) alikuwa akijiandaa kwenda katika kuswali Jumuah, alisikia Kwamba mjomba wake, Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) alikuwa mgonjwa sana na alikuwa kwenye sakaratul mauti. Habari hii ilimfikia wakati alikuwa tayari amepaka manukato kwenye mwili wake na alikuwa karibu kuondoka nyumbani kwake kwenda …
Soma Zaidi »Heshima ya Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) kwa Uthmaan (Radhiyallahu’ Anhu)
Inaripotiwa kuwa katika hafla moja, mtu alifika kwa Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) na akasema, “Nina upendo mkubwa kwa Ali (Radhiyallahu’ Anhu) moyoni mwangu hadi kwamba amna kitu kingine chochote ninachokipenda kama jinsi ninavyompenda.” Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) alimpongeza kwa ajili ya Upendo na heshima kwa Ali (Radhiyallahu ‘Anhu) …
Soma Zaidi »Nafasi ya juu ya Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) kati ya watu wa Madinah Munawwarah
Katika kipindi cha khilaafah yake, Mu’aawiyah (Radhiyallahu ‘Anhu) aliandika barua kwa Marwaan bin Hakam – waziri wake aliemchagua juu ya Madinah Munawwarah – ambaye yeye alimwagiza achukue Bay’ah (ahadi ya utii) kutoka kwa watu wa Madinah Munawwarah kwa niaba ya mtoto wake, Yazeed bin Mu’aawiyah, ambaye alikuwa Khalifah baada yake. …
Soma Zaidi »