Bilaal (Radhiyallahu ‘Anhu) ni Sahaabi maarufu kati maswahaabah (Radhiyallahu’ Anhum), na alikuwa Muazzin wa msikiti wa Mtume (Sallallahu ‘Alaihi wasallam) . Mwanzoni alikuwa mtumwa wa Abyssinia wa kafiri mmoja huko Makkah Mukarramah. Yeye kuwa muislamu, kama kawaida, haukupendwa na mmiliki wake na kwa hivyo aliteswa bila huruma. Ummayah bin Khalaf, …
Soma Zaidi »Sa’d bin Abi Waqqaas (radhiyallahu ‘anhu) akishiriki katika Ghusal ya Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu’ Anhu)
Wakati Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) alipofariki, sa’d bin abi Waqqaas (Radhiyallahu’ Anhu) na Abdullah bin Umar (Radhiyallahu ‘Anhuma) walikuwa miongoni ya watu waliompa Ghusal. Baada ya Janazah kubebwa na watu kutoka Aqeeq kwenda Madinah Munawwarah kuzikwa huko Baqi ‘, kaburi la Madinah Munawwarah. Pindi Janaazah ilipopita nyumba ya Sa’d …
Soma Zaidi »Fikra ya Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) kumchagua Khalifah
Umar (Radhiyallahu ‘Anhu) aliwahi kukaa na mtoto wake, Abdullah bin Umar, binamu yake, Saeed bin Zaid na Abbaas (Radhiyallahu’ Anhum). Umar (Radhiyallahu ‘Anhu) aliwaambia, “Nimeamua kwamba sitamchaguwa mtu yoyote maalum kama Khalifah baada yangu.” Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu), akiwa na wasiwasi juu ya ustawi wa Waislamu na jambo la …
Soma Zaidi »Nafasi ya hali ya juu ya Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) Mbele ya Abdullah bin Umar (Radhiyallahu ‘Anhuma)
Katika tukio moja, wakati Abdullah bin Umar (Radhiyallahu ‘Anhuma) alikuwa akijiandaa kwenda katika kuswali Jumuah, alisikia Kwamba mjomba wake, Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) alikuwa mgonjwa sana na alikuwa kwenye sakaratul mauti. Habari hii ilimfikia wakati alikuwa tayari amepaka manukato kwenye mwili wake na alikuwa karibu kuondoka nyumbani kwake kwenda …
Soma Zaidi »Heshima ya Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) kwa Uthmaan (Radhiyallahu’ Anhu)
Inaripotiwa kuwa katika hafla moja, mtu alifika kwa Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) na akasema, “Nina upendo mkubwa kwa Ali (Radhiyallahu’ Anhu) moyoni mwangu hadi kwamba amna kitu kingine chochote ninachokipenda kama jinsi ninavyompenda.” Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) alimpongeza kwa ajili ya Upendo na heshima kwa Ali (Radhiyallahu ‘Anhu) …
Soma Zaidi »Nafasi ya juu ya Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) kati ya watu wa Madinah Munawwarah
Katika kipindi cha khilaafah yake, Mu’aawiyah (Radhiyallahu ‘Anhu) aliandika barua kwa Marwaan bin Hakam – waziri wake aliemchagua juu ya Madinah Munawwarah – ambaye yeye alimwagiza achukue Bay’ah (ahadi ya utii) kutoka kwa watu wa Madinah Munawwarah kwa niaba ya mtoto wake, Yazeed bin Mu’aawiyah, ambaye alikuwa Khalifah baada yake. …
Soma Zaidi »Tamaa kubwa ya Saeed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) kutoa maisha yake katika njia ya Allah Ta’ala
Wakati mji wa Damascus ulipofikia mikononi mwa Waislamu, Abu Ubaidah (Radhiyallahu ‘Anhu) – Kamanda wa Jeshi la Waislamu – alimchagua Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu’ Anhu) kama waziri juu ya Jiji la Damascus. Baada ya hapo, Abu Ubaidah (Radhiyallahu ‘Anhu) aliendelea na jeshi lake kuelekea Jordan. Baada ya kufikia Jordan, walipanga …
Soma Zaidi »Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) akiwatetea Maswahaabah (Radhiyallahu’ Anhum)
Katika hafla moja, wakati Mugheerah bin Shu’bah (Radhiyallahu ‘Anhu) alikuwa ameketi na watu wengine ndani ya msikiti wa Kufah, Saeed bin Zayd (Radhiyallahu’ Anhu) aliingia msikitini. Mugheerah (Radhiyallahu ‘Anhu) alimsalimia na kwa heshima, alimwuliza aketi kwenye jukwaa lililoinuliwa mbele yake. Baada ya muda kidogo, mtu wa Kufah aliingia msikitini na …
Soma Zaidi »Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) Akipata Shida na Misukosuko kwa ajili ya Uislamu
Umar (Radhiyallahu ‘Anhu) – mtu ambae jina lake safi ni njia ya heshima kwa Waislamu, na ambaye Imaani na shauku ilikuwa kwamba hadi leo, baada ya miaka 1300, makafiri bado wanamwogopa – alikuwa maarufu kwa kuwatesa Waislamu kabla ya kukubali Uislamu. Aliendelea pia kutafuta fursa za kumua Rasulullah (Sallallahu ‘Alaihi …
Soma Zaidi »Dua Ya Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) Ikikubaliwa
Katika hafla moja, Arwa Bint Uwais, jirani wa Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu), alifika kwa Muhammad bin’ Amr bin Hazm (Rahimahullah) na malalamiko ya jirani yake, Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu). Alidai kwamba alikuwa amejenga ukuta wake katika sehemu yake na akamuliza Muhammad bin ‘Amr (Rahimahullah) aende kwake kuongea naye …
Soma Zaidi »