Sahaabah

Abdur-Rahman bin Awf (Radhiya Allaahu ‘anhu) Akiongoza Swalaah.

Wakati wa safari ya Tabook, Maswahabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) walikuwa wakisafiri pamoja na Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam). Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) aliwaacha Maswahabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) kwenda kujisaidia. Kwa vile hakukuwa na muda mwingi uliobakia kwa Swalah ya Alfajiri, na Maswahabah (Radhiya allahi ‘anhum) waliogopa kwamba muda wa swalaah ungepita, …

Soma Zaidi »

Talhah (Radhiyallahu ‘anhu) katika Vita vya Uhud

Kuhusiana na uvumilivu wa Talha (Radhiya Allaahu ‘anhu) katika Vita vya Uhud, Sa’d bin Abi Waqqaas (Radhiya Allaahu ‘anhu) ametaja yafuatayo: Allah Ta’ala amrehemu Talhah. Bila shaka, kutoka kwetu sote, alimsaidia Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) zaidi siku ya Uhud. Sa’d (Radhiya Allaahu ‘anhu) aliulizwa, “Tueleze jinsi (alivyomsaidia Mtume (Sallallahu alaihi …

Soma Zaidi »

Shemeji Wa Mtume (Sallallahu alaihi wasallam)

Talhah (Radhiya Allaahu ‘anhu) alioa wake wanne. Kila mmoja katika wake zake wanne alikuwa dada wa mmoja katika wake wa Mtume wanaoheshimika (Sallallahu alaihi wasallam). Kwa sababu ya hili ndio maana Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alimwambia, “(Wewe ni) shemeji yangu hapa duniani na Akhera (yaani utakuwa shemeji yangu katika Jannah).” …

Soma Zaidi »

Ukarimu Mkubwa wa Talhah (Radhiya Allaahu ‘anhu)

Mke wa Talhah (rahdiyallahu ‘anhu), Su’da bint ‘Awf al-Muriyyah alitaja tukio lifuatalo kuhusu mumewe Talhah (Radhiya Allaahu ‘anhu): “Siku moja, Talhah aliingia nyumbani katika hali ya dhiki. Nilipoona hali hii, nilimwambia, ‘Kwa nini ninakuona ukiwa na huzuni? Kuna nini? Je! nilifanya jambo ambalo limekuuzi hadi nakuona ukiwa umefadhaika? Tafadhali niambie …

Soma Zaidi »

Kupokea jina la Al-Fayyadh kutoka kwa Mtume (Sallallahu alaihi wasallam)

Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alimpa Talhah (Radhiya Allaahu ‘anhu) cheo cha Talhah Al-Fayyaadh (mtu mkarimu sana) mara kadhaa. Ifuatayo ni tukio moja kama hilo: Wakati wa vita vya Zi Qarad, Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) alipita karibu na kisima cha Baisaan. Maji ya kisima hiki yalijulikana kuwa machungu. Mtume (Sallallahu alaihi …

Soma Zaidi »

Talhah (Radhiya Allaahu ‘anhu) Akitimiza Ahadi Yake

Talhah (Radhiya Allaahu ‘anhu) anaripoti: Maswahaabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) siku moja walimwambia bedui mmoja, “Nenda ukaulizie kutoka kwa Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) kuhusu nani Allah Ta’ala Anayemkusudia (katika Aya ifuatayo ya Qur’an Majeed) “Miongoni mwao (Maswahaba) wapo waliotimiza ahadi zao (kwa Allah Ta’ala wa kubaki imara kwenye uwanja wa vita …

Soma Zaidi »

Talhah (Radhiyallahu ‘anhu) katika Vita vya Uhud

Jaabir bin Abdillah (Radhiya Allaahu ‘anhu) anasimulia: Siku ya Uhud, Maswahaba walipoanza kukimbia kutoka kwenye uwanja wa vita, Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) aliachwa peke yake mahali fulani na maswahaabah kumi na mbili tu waliokuwepo pamoja naye. Miongoni mwa maswahaabah kumi na mbili alikuwepo Talhah ibn Ubaydillah (Radhiya Allaahu ‘anhu). Wakati …

Soma Zaidi »

Uislamu wa Talha bin Ubaidillah (Radhiya Allaahu ‘anhu)

Siku ambayo Abu Bakr Siddeeq (Radhiya Allaahu ‘anhu) aliposilimu, alianza kuwalingania watu kwenye Uislamu. Allah Ta’ala alimfanya kuwa sababu ya Maswahaabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) wengi kuingia katika Uislamu. Miongoni mwa maswahaabah waliosilimu kupitia kwa Abu Bakr Siddiq (Radhiya Allaahu ‘anhu) ni Talhah bin Ubaidillah (Radhiyallahu ‘anhu). Talhah (Radhiya Allaahu ‘anhu) …

Soma Zaidi »

Ukarimu Wa Talhah (Radhiya Allaahu ‘anhu)

Ali bin Zayd (rahimahullah) anasimulia kwamba wakati fulani, Bedui mmoja alimwendea Talhah (Radhiyallahu ‘anhu) ili kuomba msaada kutoka kwake. Bedui huyo alikuwa ni ndugu wa Talhah (Radhiya Allaahu ‘anhu) na alipowasilisha ombi lake, alimuuliza kupitia uhusiano wa kindugu ambao wote wawili walishiriki baina yao. Talha (Radhiya Allaahu ‘anhu) akajibu, ‘Kabla …

Soma Zaidi »