Sahaabah

Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) akiwa na yaqeen na Maneno ya Mtume (Sallallahu alaihi wasallam)

Wakati fulani, katika kipindi cha ukhalifa wake, Uthmaan (Radhiyalhu ‘anhu) alikuja kumtembelea Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu). Wakati huo, Abdullah bin Masoud (Radhiya Allaahu ‘anhu) alikuwa na ugonjwa wake wa mwisho. Uthman (Radhiya Allaahu ‘anhu) akamuuliza, “Ni maradhi gani unayoyapata (ambayo yanakusababishia ugumu)?” Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) …

Soma Zaidi »

Ushujaa wa Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu)

Wakati wa vita vya Hunain, Waislamu walipata kushindwa kwa muda. Katika kipindi hiki kigumu, Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) alikuwa miongoni mwa Maswahabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) waliobaki imara na Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam). Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) anasimulia: “Nilikuwa pamoja na Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) siku ya …

Soma Zaidi »

Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) Akimuua Abu Jahl

Baada ya vita ya Badr na Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) na maswahaabah (Radhiyallahu anhum) walipata ushindi, Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) aliwaambia Maswahaba, “Ni nani atakayekwenda kuona hali ya Abu Jahl?” Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) alikwenda kumtafuta na akakuta watoto wawili wa ‘Afraa (Radhiya Allaahu ‘anha) wamemumiza na akiwa …

Soma Zaidi »

Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu)

Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) alikuwa ni kijana mdogo, akikuwa akichunga mbuzi za Uqbah bin Abi Mu’ait katika eneo la Makkah Mukarramah. Siku moja akiwa anachunga mbuzi, Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) na Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu) walipita huku wakiwa wakiwakimbia wamushrikeen. Kwa kuwa ilikuwa ni desturi ya Waarabu …

Soma Zaidi »

Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) Akisifu Kisomo cha Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu)

Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu) aliwahi kusimulia tukio lifuatalo: Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) alikuwa akiongea na Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu) baada ya Esha na kujadiliana naye mambo ya Waislamu. Usiku mmoja, baada ya Esha, Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) alizungumza na Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu) (kuhusu mambo ya Waislamu) na …

Soma Zaidi »

Kufariki Kwa Abu Dhar (Radhiya Allaahu ‘anhu)

Wakati Abu Dhar (Radhiya Allaahu ‘anhu) alipokaribia mwisho wake, hapakuwa na mtu yoyote pamoja naye isipokuwa mke wake na mtumwa wake. Akawausia akisema, “Nipeni ghusl na nifunike ndani ya sanda (yaani baada ya mimi kufariki dunia). Kisha chukueni mwili wangu na kuuweka njiani, mwambieni msafari wa kwanza anapopita, “Huyu ni …

Soma Zaidi »

Abu Dharr (Radhiyallahu anhu) Akimfokea Mtumishi Wake

  Siku moja mtu mmoja wa kabila la Banu Sulaim alimwendea Abu dharr (Radhiya Allaahu anhu) na akamwambia: “Natamani kukaa nawe ili nifaidike na elimu yako ya maamrisho ya Allah Ta’ala na sunna za mtume (Sallallahu alaihi wasallam). Pia nitamsaidia mtumishi wako katika kuchunga ngamia.” Abu Dharr (Radhiyallahu anhu) akajibu: …

Soma Zaidi »

Heshima Kubwa Abu Dhar (Radhiyallahu ‘Anhu) Alikuwa Nayo Kwa Uthmaan (Radhiyallahu ‘Anhu)

Mtu kutoka katika kabila la Banu Sulaym alisimuliya yafuatayo: “Wakati mmoja nilikuwa nimekaa kwenye mkutano ambao Abu dhar alikuwepo pia. Wazo lilikuwa akilini mwangu kwamba labda Abu dharr amekasirishwa na Uthmaan (Radhiyallahu ‘Anhu) kwa sababu Uthmaan (Radhiyallahu anhu) alimuomba aondoke Madinah Munawwarah na aende kuishi katika sehemu inayoitwa Rabadha. Wakati …

Soma Zaidi »