Imam Bayhaqi (rahimahullah) anasimulia: Wakati Yazid bin Abi Sufyan (Radhiya Allaahu ‘anhu) alipokuwa waziri wa Shaam, Waislamu walijishughulisha na Jihaad na kupata ushindi, na hivyo kuwa na ngawira. Miongoni mwa ngawira za vita alikuwemo mtumwa mrembo aliyejikuta kwenye milki ya mwanajeshi mmoja wa Kiislamu. Muda mfupi baada ya yule mwanajeshi …
Soma Zaidi »Kufariki Kwa Abu Dhar (Radhiya Allaahu ‘anhu)
Wakati Abu Dhar (Radhiya Allaahu ‘anhu) alipokaribia mwisho wake, hapakuwa na mtu yoyote pamoja naye isipokuwa mke wake na mtumwa wake. Akawausia akisema, “Nipeni ghusl na nifunike ndani ya sanda (yaani baada ya mimi kufariki dunia). Kisha chukueni mwili wangu na kuuweka njiani, mwambieni msafari wa kwanza anapopita, “Huyu ni …
Soma Zaidi »Abu Dharr (Radhiyallahu anhu) Akimfokea Mtumishi Wake
Siku moja mtu mmoja wa kabila la Banu Sulaim alimwendea Abu dharr (Radhiya Allaahu anhu) na akamwambia: “Natamani kukaa nawe ili nifaidike na elimu yako ya maamrisho ya Allah Ta’ala na sunna za mtume (Sallallahu alaihi wasallam). Pia nitamsaidia mtumishi wako katika kuchunga ngamia.” Abu Dharr (Radhiyallahu anhu) akajibu: …
Soma Zaidi »Heshima Kubwa Abu Dhar (Radhiyallahu ‘Anhu) Alikuwa Nayo Kwa Uthmaan (Radhiyallahu ‘Anhu)
Mtu kutoka katika kabila la Banu Sulaym alisimuliya yafuatayo: “Wakati mmoja nilikuwa nimekaa kwenye mkutano ambao Abu dhar alikuwepo pia. Wazo lilikuwa akilini mwangu kwamba labda Abu dharr amekasirishwa na Uthmaan (Radhiyallahu ‘Anhu) kwa sababu Uthmaan (Radhiyallahu anhu) alimuomba aondoke Madinah Munawwarah na aende kuishi katika sehemu inayoitwa Rabadha. Wakati …
Soma Zaidi »Abu Dharr (Radhiyallahu ‘Anhu) Kuhamia Shaam na Rabadhah
Ilikuwa kwa sababu ya Abu Dharr Ghifaari (Radhiyallahu ‘Anhu) akiangalia maisha ya Rasulullah (Sallallahu ‘Alaihi Wasallam) kuwa ya Uadilifu na Kuipa mgongo Ulimwengu, na kusikia maonyo makali kwa wale ambao wana mali lakini hawatoi haki za mali zao na haki wanazowadai wengine katika utajiri huo, kwamba Abu Dharr (Radhiyallahu’ Anhu) …
Soma Zaidi »Sifa Ya Abu Dhar (Radhiyallahu ‘Anhu) Ya Kuipa Mgongo Dunia
Abu Dhar Ghifaari (Radhiyallahu ‘Anhu) alikuwa Sahaabi ambaye alifanana na Nabi Isa (‘ Alaihis Salaam) katika sura yake ya mwili na sifa zake nzuri. Rasulullah (Sallallahu ‘Alaihi Wasallam) alisema, “Yoyote anayetaka kumtazama Isa bin Maryam (‘ Alaihis Salaam) Katika uchamungu wake, ukweli wake, na kujitolea kwake (kwenye Ibaadah), basi anapaswa …
Soma Zaidi »Ufuataji wa Abu Dhar (Radhiyallahu ‘Anhu) kwa maagizo wa Rasulullah (Sallallahu’ Alaihi Wasallam)
Maroor bin Suwaid (Rahimahullah) anasimulia yafuatayo: Wakati mmoja tulipita kwa Abu dhar (Radhiyallahu ‘Anhu) huko Rabzah na kugundua kuwa alikuwa amevaa vipande viwili vya nguo. Mmoja ilikuwa ya kuzeeka na nyingine ilikuwa mpya, na mtumwa wake pia alikuwa amevaa vipande viwili vya nguo, ambayo kipande kimoja kilikuwa kipya na kingine …
Soma Zaidi »Dua Ya Rasulullah (Sallallahu ‘Alaihi Wasallam) Kwa Abu Dhar (Radhiyallahu’ Anhu)
Abdullah bin Mas’ood (Radhiyallahu ‘Anhu) anasimulia kwamba: Wakati Rasulullah (Sallallahu ‘Alaihi Wasallam) alipoondoka kwenye safari ya Tabook, watu wengine hawakujiunga na msafara huo na waliamua kubaki nyuma. Watu wengi miongoni mwao walikuwa Munaafiqeen (wanafiki). Wakati maswahaabah (Radhiyallahu ‘Anhum) angemjulisha Rasulullah (Sallallahu’ Alaihi Wasallam) Kuhusu wale watu ambao walibaki nyuma, Rasulullah …
Soma Zaidi »Olemekezeka Abu Zar (Radhwiyallahu ‘anhu) Kulemekeza Alendo
‘Isa bin ‘Umailah (Rahimahullah) akufotokoza za munthu wina amene adawona khalidwe la Abu Zar (Radhwiyallahu ‘anhu) kwa anansi ake ndi alendo. Akunena kuti: “Nthawi iliyonse Abu Zar radhwiyallahu anhu akamakama mkaka wa mbuzi zake, poyamba ankagaira mkakawu anthu oyandikana nawo nyunba ndi alendo ake kuti ayambe amwa iwowo kenako ankamwa …
Soma Zaidi »Abu Dhar (Radhiyallahu ‘Anhu) Akisilimu
Hali Kabla ya Kukubali Uislamu: Kabla ya kukubali Uislamu, Abu dhar (Radhiyallahu ‘Anhu) alikuwa mwiza wa barabarani. Alikuwa jasiri kwamba bila msaada ya wezi wengine alikuwa nauwezo wa kuiba mizigo ya wapitanjia mwenyewe. Wakati mwingine, alikuwa akiwashambulia watu akiwa amepanda farasi, na wakati mwingine alikuwa akiwashambulia kwa miguu. (Siyar a’elaam …
Soma Zaidi »
Alislaam Juhudi za Kuleta uislam ndani ya maisha yetu