Abu Muusa Ash’ari (Radhiya Allaahu ‘anhu) anaeleza, “Mimi na kaka yangu tulipokuja kutoka Yemen (kuja Madinah Munawwarah), basi kwa muda fulani tulifikiri kwamba Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) na mama yake ni miongoni ya watu ambao wanaishi nyumbani kwa Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) kwa sababu ya wao kuingia mara kwa mara nyumbani kwa Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) na pia uhusiano wao wa karibu naye.” (Sahih Bukhari #4384)
Check Also
Kufariki Kwa Abu Dhar (Radhiya Allaahu ‘anhu)
Wakati Abu Dhar (Radhiya Allaahu ‘anhu) alipokaribia mwisho wake, hapakuwa na mtu yoyote pamoja naye …
Alislaam Juhudi za Kuleta uislam ndani ya maisha yetu