Monthly Archives: May 2021

Njia Za Sunna Za Kufanya Udhu – Sehemu Ya Nane

24. Usitumie maji vibaya ukiwa unafanya udhu.

Sayyidina Abdullah Bin Amr (radhiyallahu anhu) ameripoti kwamba Nabii wa Allah (sallallahu alaih wasallam) alipita kwa Sayyidina Sa'd (radhiyallahu anhu) akiwa anafanya udhu. Nabii wa Allah (sallallahu alaih wasallam) alimuuliza, "huu uharibifu ni wanini (ya maji kwenye udhu wako)?" Alijibu, "kwani kuna uharibifu kwenye udhu?" Nabii wa Allah (sallallahu alaih wasallam) alimjibu, "ndiyo hata kama unafanya udhu ukingoni mwa mto (pia, kuwa makini kutoharibu maji).

Soma Zaidi »

Njia Za Sanna Za Kufanya Udhu -Sehemu Ya saba

20. Osha viungo vya upande wa kulia kabla viungo vya upande wa kushoto.[1] عن أبي هريرة رضي الله عنه قال قال رسول الله صلى الله عليه وسلم إذا لبستم وإذا توضأتم فابدءوا بأيامنكم (سنن أبي داود، الرقم: ٤١٤١)[2] Sayyiduna Abu Hurairah (radhiyallahu anhu) ameripoti kwamba Sayyiduna Rasulullah (sallallahu alaih wasallam) …

Soma Zaidi »

Mahitaji yote ya dunia na ya deeni kutimizw

Habbaan Bin Munqiz (radhiyallahu anhu) ameripoti kwamba sahabi moja aliwahi kumuuliza Nabii wa allah (sallallahu alaih wasallam), "Ewe mjumbe wa Allah (sallallahu alaih wasallam) je nijitolee thuluthi moja ya muda  ambao nimezitenga kufanya dua ili nitume salaam kwako? "Nabii wa allah (sallallahu alaih wasallam) Alijibu, "ndio, kama utapenda." Ule sahabah akauliza, "je nijitolee thuluthi mbili ya muda ambao nimezitenga kufanya dua ili nitume salaam kwako? "Nabii wa allah akajibu tena, "ndio, kama utapenda. "ule sahabah akauliza, "je nijitolee muda wote kukutumia salaam? "Nabii wa allah (sallallahu alaih wasallam) akajibu, "kama utafanya hivyo, Allah subhaana wata'alah Atayatimiza mahitaji yako yote ambayo unayo (na amboyo ungeulizia kwenye dua yako), ikiwa niyakuhusu dunia au aakhera."

Soma Zaidi »

Mahitaji mia kuitimizwa

Hadrat Jaabir (radhiyallahu ‘anhu) ameripoti kwamba Nabii wa allah (sallallahu ‘alaihi wasallam) Alisema, "yoyote atakae nitumia salaam mara mia moja kwa kila siku, Allah ta'ala atatimiza mahitaji zake mia, sabini za aakherah na thalathini za duniani."

Soma Zaidi »

Sunna Na Adabu Za Ramadhaani 5

27. Kaa kwenye itikafu siku 10 za mwisho za ramadhaani kama unauwezo.

Sayyidina Ibnu Abbaas (radhiyallahu ‘anhu) ameripoti kwamba Nabii wa Allah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema kuhusu mwenye kukaa itkafu, "mwenye kukaa itkafu (ndani ya msikiti) anajiepusha na madhambi, na kwa wakati wote, anapata thawabu ya kufanya ibada mbali mbali angekuwa na uwezo wa kuzifanya kama asingekuwa kwenye itkafu".

Soma Zaidi »