Monthly Archives: August 2026

Ushauri wa Mwisho wa Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) kwa Mu’aaz (Radhiya Allaahu ‘anhu) alipomtuma Yemen.

Wakati Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) alipokuwa akimtuma Mu’aaz bin Jabal (Radhiya Allaahu ‘anhu) kwenda Yemen kuwafundisha watu Dini na kuwatawala, Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) akamshindikiza mpaka nje ya Madina Munawwarah huku akimpa ushauri wake wa mwisho. Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) alimuamrisha kufanya baadhi ya matendo mema, na akamuamrisha kujiepusha na …

Soma Zaidi »