Monthly Archives: October 2022

Mapenzi Makubwa ya Maswahaba (radhiyallahu ‘anhum) kwa Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam)

Siku moja, mtu mmoja alikuja kwa Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) na akasema: “Ewe Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) mapenzi yangu kwako ni kwamba ninapokufikiria wewe huzidiwa na mapenzi yako, kiasi kwamba sipati kuridhika mpaka nikuone. Ewe Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam), mawazo yananipitia moyoni mwangu kwamba ikiwa Allah ta’ala atanijaalia Pepo, itakuwa …

Soma Zaidi »

Kupata Qiraat Moja Ya Thawabu

عن علي بن أبي طالب رضي الله عنه أن رسول الله صلى الله عليه وسلم قال: من صلى علي صلاة كتب الله له قيراطا والقيراط مثل أحد (مصنف عبد الرزاق، الرقم: ١٥٣، وسنده ضعيف كما في القول البديع صـ ٢٦٠) Sayyidina Ally Bin Abii Taalib (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kuwa Nabii …

Soma Zaidi »

Mapenzi ya swahaba mmoja kwa Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam)

Swahaba mmoja siku moja alikuja kwa Nabii wa Allah sallallahu alaihi wasallam na kumuuliza, “Ewe! Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) ni lini siku ya Qiyaamah?” Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) akajibu, “Umefanya maandalizi gani? kwa siku hiyo?” huyu swahaba akasema, “Ewe Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam), sidai kuwa nina Swalaah nyingi, saumu na …

Soma Zaidi »

Kupata Thawabu Sabini

عن عبد الرحمن بن مريح الخولاني قال سمعت أبا قيس مولى عمرو بن العاص يقول: سمعت عبد الله بن عمرو يقول: من صلى على رسول الله صلى الله عليه وسلم صلاة صلى الله عليه وملائكته سبعين صلاة فليقل عبد من ذلك أو ليكثر (مسند أحمد، الرقم: ٦٦٠٥، وإسناده حسن وحكمه …

Soma Zaidi »

Mawaidha kwa wale wanaopuuza Swalah pamoja na Jamaah msikitini

Ilikuwa ni matamanio ya Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) kwa wanaume kwenye ummah waswali pamoja na jamaah msikitini. Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) alikuwa akiumia sana aliposikia kuhusu wanaume wanaoswali majumbani mwao mpaka akasema: “Lau si wanawake na watoto, ninge toa amri kwa kundi la wavijana kukusanya kuni na kuchoma moto nyumba …

Soma Zaidi »

Mapenzi ya Zaid bin Dathinah (radhiyallahu ‘anhu) kwa Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam)

Makafiri walipokaribia kumuuwa sahabi mkubwa, Zaid bin Dathinah (radhiyallahu ‘anhu), wakamuuliza, “Je, ungekuwa na furaha zaidi kama Muhammad (sallallahu alaihi wasallam) angekuwa katika nafasi yako na ukaachwa huru kuwa pamoja na familia yako?” Jibu lake la papo kwa papo lilikuwa, “Wallahi, siwezi hata kustahimili kuwa nimekaa kwa raha na familia …

Soma Zaidi »

Tafseer Ya Surah ‘Asr

بسمِ اللَّهِ ألرَّحْمٰنِ الرَّحِيمِ وَالْعَصْرِ ‎﴿١﴾‏ اِنَّ الْاِنسَانَ لَفِى خُسْرٍ ‎﴿٢﴾‏ إِلَّا الَّذِينَ اٰمَنُوْا وَعَمِلُوْا الصّٰلِحٰتِ وَتَوَاصَوْا بالْحَقِّ وَتَوَاصَوْا بالصَّبْرِ ‎﴿٣﴾‏ Naapa kwa zama; Hakika mwanaadamu yumo katika khasara, isipokuwa wale walio amini na wakatenda mema, na wakausiana na haki, na wakausiana kustahamili. وَالْعَصْرِ ‎﴿١﴾‏ اِنَّ الْاِنسَانَ لَفِى خُسْرٍ ‎﴿٢﴾ …

Soma Zaidi »

Kipato Cha Rehema Kubwa Za Allah Subhaana Wata’alah

عن ابن عمر وأبي هريرة رضي الله عنهما قالا قال رسول الله صلى الله عليه وسلم صلوا علي صلى الله عليكم (الكامل لابن عدي، الرقم: ١١٠٨٦، وإسناده ضعيف كما في التيسير للمناوي ٢/٩٣) Sayyidina Abdullah Bin Umar : (radhiyallahu ‘anhu) na Sayyidina Abu Hurairah : (radhiyallahu ‘anhu) wamesema kuwa Nabii …

Soma Zaidi »

Muda na Namna Sahihi

Kama vile kuswali ni muhimu, kuitekeleza kwa wakati wake na kwa njia sahihi ni muhimu vile vile. Sayyidina Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) amesema, “Mtu anapotekeleza Swalaah yake kwa wakati wake uliowekwa pamoja na kufanya udhu vizuri kwa njia sahihi, akitimiza qiyaam ( kusimama katika swalaah), rukuu na sajdah kwa njia …

Soma Zaidi »