Salamah bin Tammaam (rahimahullah) anasimulia: Siku chache kabla ya Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) kufariki, mtu mmoja alikuja kukutana naye. Baada ya kukutana naye, yule mtu akamwambia, “Ewe Ibnu Mas’uud, jana usiku nilikuona katika ndoto. Katika ndoto, nilimwona Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) akiwa amekaa juu ya mimbari na wewe …
Soma Zaidi »
Alislaam Juhudi za Kuleta uislam ndani ya maisha yetu