Monthly Archives: March 2023

Qa’dah and Salaam

9. Usiinamishe au kutikisa kichwa wakati wa kutoa salaam. 10. Geuza uso wako pande zote mbili kwa kiasi ambacho mtu aliye nyuma ataweza kuona shavu lako.[1] 11. Baada ya salamu, soma  اَسْتَغْفِرُ الله mara tatu.[2] 12. Shiriki katika dua kwa sababu huu ni wakati wa kukubaliwa dua.[2] 13. Soma Tasbih …

Soma Zaidi »

Ulinzi Ndani Ya Kaburi

Zaidi ya hayo, imeripotiwa kwamba mtu ambaye ameshikamana na Qur-aan Tukufu anapofariki, kabla ya kuzikwa, wakati familia yake bado inashughulika na ibada ya mazishi yake, Qur-aan Tukufu humjia ikiwa na sura nzuri na kusimama kwenye upande wa kichwa chake, kumlinda na kumfariji mpaka avikwe na sanda. Kisha Quraan Tukufu itaingia …

Soma Zaidi »