3. Kabla ya kulala, unapaswa kungusa kitanda chako, kwa sababu kunaweza kuwa na wadudu wa hatari kwenye kitanda. Abu Hurairah (Radhiyallahu anhu) anaripoti kwamba Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alisema, “Wakati mtu akienda kulala kitandani, basi anapaswa kupangusa kitanda na sehemu ya ndani ya kikoi chake. Sababu ni kwamba mtu hajui …
Soma Zaidi »Kulala
Kulala ni moja ya mahitaji ya msingi ya kila mtu, kama kula na Kunywa ni mahitaji ya kimsingi. Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) anataja Fadhila kubwa ya kulala katika Qur’ani Majeed akisema: وَّ جَعَلۡنَا نَوۡمَکُمۡ سُبَاتًا ۙ﴿۹﴾ Na tulifanya usingizi kuwa njia ya kupumzika kwako. Katika aya nyingine, Mwenyezi Mungu (subhaanahu …
Soma Zaidi »
Alislaam Juhudi za Kuleta uislam ndani ya maisha yetu