Wakati mmoja, wakati Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) alikuwa safarini, Aaishah (Radhiyallahu anha) alininginiza pazia lenye picha za vitu vya uhai kwenye mlango. Wakati huo, Aaishah (Radhiyallahu anha) hakuwa na habari kwamba picha za vitu vya uhai zimeharamishwa. Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) alipofika nyumbani kwake na macho yake yakaangukia kwenye pazia, …
Soma Zaidi »Siku ya Qiyaamah – Siku ya Majuto kwa Wengi
Ndani ya Quran Majeed, Siku ya Qiyaamah imetajwa na majina mbalimbali. Baadhi ya majina hayo ni “Siku ya Malipo”, “Siku ya Kukusanywa”, “Siku ya Hasara na Faida” (yaani hasara kwa makafiri na faida kwa waumini), na “Siku ya Mkutano” (yaani kukutana na Allah Ta‘ala). Tunapochunguza majina haya, tunaelewa kwamba kila …
Soma Zaidi »Kuthamini Baraka ya Maisha
Dawood bin Dinaar (rahimahullah) alikuwa Imaam mkubwa katika fani ya Hadithi na mwalimu wa Muhadditheen mashuhuri, mfano wa Imaam Shu’bah ( rahimahullah) na Imaam Wakee’ (rahimahullah). Wakati wa uhai wake, tauni ilikuwepo eneo la Khuraasaan alipokuwa akiishi. Kulikuwa na watu wengi ambao walikuwa wameugua wakati wa tauni na wengi walipoteza …
Soma Zaidi »Machozi ya Toba – Maji ya Kusafisha Moyo
Shah Ruknuddeen (rahimahullah) alikuwa ni Mwanachuoni mkubwa na mchamungu aliyeishi Multan. Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) alimkubali sana miongoni mwa watu wake. Siku ya Jumu’ah, msikitini ilikua ikijaa na watu wanaokuja kutoka sehemu mbali mbali ili kunufaika kutoka kwake. Siku moja, mfalme, Ghiyaathuddeen Tughluq, alimgeukia mshauri wake, Moulana Zaheeruddeen, na akamuuliza, …
Soma Zaidi »Mchamungu wa Wakati Wake – Bishr Haafi (rahimahullah)
Bishr Haafi (rahimahullah) alikuwa mchamungu mashuhuri katika zama zake. Wakati mmoja, mtu fulani alimuuliza, “Umeipataje nafasi hii ya juu ya uchamungu na uadilifu tunayoiona?” Katika kujibu, Bishr (rahimahullah) alitaja yafuatayo: Chochote ambacho nimebarikiwa nacho ni kupitia neema ya Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala). Hali yangu ya awali ilikuwa kwamba sikuwa mtu …
Soma Zaidi »Mchamungu Mkubwa – Fudhail bin Iyaaz (Rahimahullah)
Fudhail bin Iyaaz (Rahimahullah) alikuwa Muhaddith mashuhuri na mchamungu mkubwa wa zama zake. Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) alimbariki na daraja la juu katika Hadith kiasi kwamba Muhadditheen mashuhuri wengi, kama Abdullah bin Mubaarak, Sufyaan bin Uyainah na Imaam Shaafi’i (Rahimahumullah) wamesimulia Hadith kutoka kwake. Imeripotiwa kwamba kabla ya Fudhail (rahimahullah) …
Soma Zaidi »Kamwe Usipoteze Matumaini Katika Kumrekebisha Mtu Yoyote
Kamwe Usipoteze Matumaini Katika Kumrekebisha Mtu Yoyote Abdullah bin Maslamah Qa’nabi (rahimahullah) alikuwa miongoni mwa Muhadditheen mashuhuri katika zama zake. Alikuwa ni ustaad wa Muhadditheen wengi mashuhuri, kama Imaam Bukhaari, Imaam Muslim na Imaam Abu Daawuud (Rahimahumullah). Inaripotiwa kwamba mwanzoni mwa maisha yake, alikuwa na marafiki wabaya na alikuwa akinywa …
Soma Zaidi »Tukio la Wahshi (Radhiyallahu anhu) akisilimu
Wakati wa Vita wa Uhud, miongoni ya misiba machingu aliyoipata Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) ilikuwa ni mjomba wake kipenzi hamza (Radhiyallahu anhu) kuuwawa kishahidi. Aliyehusika kumuua Hamza (Radhiyallahu anhu) hakuwa mwingine ila Wahshi ibn Harb (Radhiyallahu anhu). Wakati huo, hakuwa Mwislamu, lakini Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala)baadaye akambariki na Imaan na …
Soma Zaidi »Kuwa Na Moyo Wa Kusamehe
Waa’il bin Hujr (Radhiyallahu anhu) alikuwa sahaabi maarufu wa Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) ambaye alitoka katika nchi ya Yemen na kutoka katika kizazi cha wafalme. Inaripotiwa kwamba wakati aliondoka Yemen kuja Madinah Munawwarah kusilimu, basi kabla ya kusiliku, Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) aliwajulisha maswahaabah kama amefika. Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) …
Soma Zaidi »Kuwatakia Wema Wengine
Katika mfumo mzima wa thamani ya Uislamu, kila thamani ambayo Uislamu unayo umejaa na kivutio na huangaza uzuri. Iwe ni kuonyesha heshima kwa wazee, au huruma kwa vijana, au Kutimiza haki za wazazi na watoto – zote zinaonyesha utukufu wa kipekee wa Uislamu. Lakini, roho ya sifa hizi zote za …
Soma Zaidi »
Alislaam Juhudi za Kuleta uislam ndani ya maisha yetu