Shaikh Abdul Qaadir Jeelani (Rahimahullah) alikuwa ni Sheikh mkubwa na Wali wa Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) ambaye alikuwa akiishi katika karne ya sita ya kiislamu. Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) alimbariki na kukubaliwa kiasi kwamba Watu wengi walibadili maisha yao mikononi mwake. Sifa mmoja muhimu ambao ulisimama katika maisha yake ulikuwa …
Soma Zaidi »Kuwa Na Wasiwasi Juu ya Elimu ya Dini ya mtoto
Taifa lililobarikiwa na maarifa ya Dini na uelewa mzuri ni taifa linaloendelea na lenye msimamo mzuri na wa kuahidi baadaye. Kinyume chake, taifa lililonyimwa maarifa ya Deeni na uelewa mzuri ni taifa linaloelekea kwenye uharibifu na kutofaulu. Ni kwa sababu hii kwamba wakati Nabi yoyote alikuwa akipelekwa kwenye taifa yoyote, …
Soma Zaidi »Umuhimu Ma Mtoto Kubaki Katika Mazingira Mazuri
Katika malezi ya mtoto, ni muhimu sana kwa wazazi kuhakikisha kuwa mtoto wao daima anakua katika mazingura ya wacha mungu na huwekwa wazi kwa mazingira mazuri. Mazingira mazuri na ushirika wa dini yataacha hisia kubwa juu ya moyo wa mtoto ambayo baadaye itaunda mawazo yake na kuunda mtazamo wake katika …
Soma Zaidi »Kumtambulisha Mtoto Kwa Allah Ta’ala
Malezi kwa mtoto ni muhimu sana na inaweza kufananishwa na msingi wamjengo. Ikiwa msingi wamjengo ni thabiti na lenye nguvu, basi mjengo pia litakuwa thabiti na nguvu na itastahmili hali ya hewa zote. Kinyume chake, ikiwa msingi wa mjengo ni dhaifu na kuyumba yumba, basi mtetemeko wa ardhi mdogo utaangusha …
Soma Zaidi »Watoto Wachamungu – Uwekezaji Wa Akhera
Miongoni mwa fadhila za thamani za Allah Ta’ala juu ya mwanadamu ni fadhila ya watoto. Fadhila za watoto ni miongoni mwa neema maalum za Allah Ta’ala zilizotajwa katika Quraan Majeed. Allah Ta’ala anasema: وَاللَّهُ جَعَلَ لَكُم مِّنْ أَنفُسِكُمْ أَزْوَاجًا وَجَعَلَ لَكُم مِّنْ أَزْوَاجِكُم بَنِينَ وَحَفَدَةً وَرَزَقَكُم مِّنَ الطَّيِّبَاتِ ۚ Allah Ta’ala …
Soma Zaidi »Urithi Ya Watoto Wachamungu
Baba yake Nabii Yunus (alaihis salaam) alikuwa mtu mchamungu akiitwa Mattaa. Yeye na mkewe, kwa muda mrefu, walitamani kwamba Allah Ta’ala Awajaalie mtoto wa kiume na amweke kuwa Nabii wa Bani Israa’il. Miaka mingi ilipita, huku wakiendelea kuomba dua, mpaka hatimaye, waliamua kwenda kwenye chemchemi iliyobarikiwa ya Nabii Ayyoob (alaihis …
Soma Zaidi »Rafiki wa Nabii Musa (alaihis salaam) katika Jannah
Katika Uislamu, kila tendo jema na tendo la haki lina uwezo kumunganisha mtu na Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’alah) na kumpatia malipo huko Akhera. Hata hivyo, kuna baadhi ya matendo maalum ambayo yana umuhimu maalum mbele ya Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’alah) na yanaweza kuwa njia ya mtu kupata wema wa dini …
Soma Zaidi »Fadhila Kubwa Ya Wazazi
Miongoni mwa neema kubwa za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aalah) juu ya mtu ni neema ya wazazi. Neema ya wazazi ni neema yenye thamani sana na isiyoweza kubadilishwa hadi kwamba inapewa kwa mtu mara moja tu katika maisha yake. Kama vile neema za zingine za maisha inatolewa mara moja tu kwa …
Soma Zaidi »Tukio La Mchamungu, Abdullah Bin Marzooq
Abdullah bin Marzooq (rahimahullah) alikuwa mja mchamungu wa Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aalah)na alikuwa katika zama za Muhadditheen wakubwa, Sufyaan bin Uyainah na Fudhail bin Iyaadh (rahimahumullah). Mwanzoni, alikuwa na mwelekeo wakupenda dunia na hakujitolea kwenye mambo ya dini. Hata hivyo, Allah Ta‘ala akambariki na tawfeeq ya kutubia na kurekebisha maisha …
Soma Zaidi »Sifa Ya Amaanah – Fikra Ya Kuulizwa
Allah Ta’ala amemneemesha mwanadamu kwa neema zisizohesabika. Baadhi ni neema za kimwili, wakati nyingine ni neema za kiroho. Mara nyingi, kuna neema nyingi ambazo zinahusishwa na neema mmoja. Fikiria neema ya macho – ni njia ya mtu kuona maelfu ya neema zingine za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’alah). Hata hivyo, kuona …
Soma Zaidi »