Bustani ya Mapenzi

Mchamungu Mkubwa – Fudhail bin Iyaaz (Rahimahullah)

Fudhail bin Iyaaz (Rahimahullah) alikuwa Muhaddith mashuhuri na mchamungu mkubwa wa zama zake. Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) alimbariki na daraja la juu katika Hadith kiasi kwamba Muhadditheen mashuhuri wengi, kama Abdullah bin Mubaarak, Sufyaan bin Uyainah na Imaam Shaafi’i (Rahimahumullah) wamesimulia Hadith kutoka kwake. Imeripotiwa kwamba kabla ya Fudhail (rahimahullah) …

Soma Zaidi »

Kamwe Usipoteze Matumaini Katika Kumrekebisha Mtu Yoyote

Kamwe Usipoteze Matumaini Katika Kumrekebisha Mtu Yoyote Abdullah bin Maslamah Qa’nabi (rahimahullah) alikuwa miongoni mwa Muhadditheen mashuhuri katika zama zake. Alikuwa ni ustaad wa Muhadditheen wengi mashuhuri, kama Imaam Bukhaari, Imaam Muslim na Imaam Abu Daawuud (Rahimahumullah). Inaripotiwa kwamba mwanzoni mwa maisha yake, alikuwa na marafiki wabaya na alikuwa akinywa …

Soma Zaidi »

Tukio la Wahshi (Radhiyallahu anhu) akisilimu

Wakati wa Vita wa Uhud, miongoni ya misiba machingu aliyoipata Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) ilikuwa ni mjomba wake kipenzi hamza (Radhiyallahu anhu) kuuwawa kishahidi. Aliyehusika kumuua Hamza (Radhiyallahu anhu) hakuwa mwingine ila Wahshi ibn Harb (Radhiyallahu anhu). Wakati huo, hakuwa Mwislamu, lakini Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala)baadaye akambariki na Imaan na …

Soma Zaidi »

Kuwa Na Moyo Wa Kusamehe

Waa’il bin Hujr (Radhiyallahu anhu) alikuwa sahaabi maarufu wa Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) ambaye alitoka katika nchi ya Yemen na kutoka katika kizazi cha wafalme. Inaripotiwa kwamba wakati aliondoka Yemen kuja Madinah Munawwarah kusilimu, basi kabla ya kusiliku, Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) aliwajulisha maswahaabah kama amefika. Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) …

Soma Zaidi »

Kuwatakia Wema Wengine

Katika mfumo mzima wa thamani ya Uislamu, kila thamani ambayo Uislamu unayo umejaa na kivutio na huangaza uzuri. Iwe ni kuonyesha heshima kwa wazee, au huruma kwa vijana, au Kutimiza haki za wazazi na watoto – zote zinaonyesha utukufu wa kipekee wa Uislamu. Lakini, roho ya sifa hizi zote za …

Soma Zaidi »

Wazazi Wakiongoza Kwa Mfano

Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alikuwa mtu bora zaidi katika waja wa Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala). Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) alimchagua kama mjumbe wake wa mwisho na akambariki na Dini bora zaidi – Dini ya kiislamu ambayo ni kanuni kamili ya maisha kwa mwanadamu kufuata. Mtu akichunguza tabia uliobarikiwa wa Rasulullah, …

Soma Zaidi »

Ukweli wa Shaikh Abdul Qaadir Jeelani

Shaikh Abdul Qaadir Jeelani (Rahimahullah) alikuwa ni Sheikh mkubwa na Wali wa Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) ambaye alikuwa akiishi katika karne ya sita ya kiislamu. Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) alimbariki na kukubaliwa kiasi kwamba Watu wengi walibadili maisha yao mikononi mwake. Sifa mmoja muhimu ambao ulisimama katika maisha yake ulikuwa …

Soma Zaidi »

Kuwa Na Wasiwasi Juu ya Elimu ya Dini ya mtoto

Taifa lililobarikiwa na maarifa ya Dini na uelewa mzuri ni taifa linaloendelea na lenye msimamo mzuri na wa kuahidi baadaye. Kinyume chake, taifa lililonyimwa maarifa ya Deeni na uelewa mzuri ni taifa linaloelekea kwenye uharibifu na kutofaulu. Ni kwa sababu hii kwamba wakati Nabi yoyote alikuwa akipelekwa kwenye taifa yoyote, …

Soma Zaidi »

Umuhimu Ma Mtoto Kubaki Katika Mazingira Mazuri

Katika malezi ya mtoto, ni muhimu sana kwa wazazi kuhakikisha kuwa mtoto wao daima anakua katika mazingura ya wacha mungu na huwekwa wazi kwa mazingira mazuri. Mazingira mazuri na ushirika wa dini yataacha hisia kubwa juu ya moyo wa mtoto ambayo baadaye itaunda mawazo yake na kuunda mtazamo wake katika …

Soma Zaidi »

Kumtambulisha Mtoto Kwa Allah Ta’ala

Malezi kwa mtoto ni muhimu sana na inaweza kufananishwa na msingi wamjengo. Ikiwa msingi wamjengo ni thabiti na lenye nguvu, basi mjengo pia litakuwa thabiti na nguvu na itastahmili hali ya hewa zote. Kinyume chake, ikiwa msingi wa mjengo ni dhaifu na kuyumba yumba, basi mtetemeko wa ardhi mdogo utaangusha …

Soma Zaidi »