Monthly Archives: July 2022

Salaa na Salaam Maalum juu ya Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam)

عن أبي هريرة عن النبي صلى الله عليه وسلم قال: من قال اللهم صل على محمد وعلى آل محمد كما صليت على إبراهيم وآل إبراهيم وبارك على محمد وعلى آل محمد كما باركت على إبراهيم وآل إبراهيم وترحم على محمد وعلى آل محمد كما ترحمت على إبراهيم وآل إبراهيم شهدت …

Soma Zaidi »

Sunna Za Msikitini

9. Fanya niya ya nafil i'tikaaf kwa ajili ya kuwa utakaa msikitini.

10. Swali rakaa mbili za tahiyyatul masjid ukiingia msikitini.

Sayyidina Abu Qataadah (radhiyallahu ‘anhu) amesema kuwa Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) alisema, "pindi mmoja wenu atakapo ingia msikitini, anatakiwa kuswali rakaa mbili za swala kabla ya kukaa,"

Soma Zaidi »

Tafseer Ya Surah ‘Aadiyaat.

(Naapa) kwa wale (farasi) waendao mbio kwa kuhema kwa pumzi, Na wakitengeneza cheche kwa kuzipiga (kwato zao) kwenye ardhi ya mawe (wanapokimbia), Na wakishambulia alfajiri, Na wakitimua vumbi nalo, Na wakijituma kati ya maadui. Hakika mwanadamu ni mwenye kumkufuru sana Mola wake. Na yeye ni shahidi wa ukweli huu. Na katika upendo wake wa mali, yeye ni mkali sana. Je, basi hajui (yatakayotokea) yatakapopinduliwa vilivyomo makaburini? Na yote yaliyomo ndani ya vifua (nyoyo) yatadhihirika. Hakika Mola wako siku hiyo atakuwa na habari zao zote.

Soma Zaidi »

Salaa na Salaam Ma’luum ya Ibn Abbas (radhiyallahu ‘anhuma)

عن ابن عباس أنه كان يقول: اللهم تقبل شفاعة محمد الكبرى وارفع درجته العليا وآته سؤله في الآخرة والأولى كما آتيت إبراهيم وموسى (مصنف عبد الرزاق، الرقم: 3104، وإسناده جيد قوي صحيح كما في القول البديع صـ 122) Ibn Abbas (radhiyallahu ‘anhuma) anaripoti kwamba alipokuwa akimtumia salaa na salaam juu …

Soma Zaidi »

Salaa na Salaam Maalum ya Ibnu Mas’uud (radhiyallahu ‘anhu)

Abdullah bin Mas’uud (radhiyallahu ‘anhu) Anaeleza, “Unapomswalia Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam), basi mswalie kwa adabu bora zaidi (yaani kwa kujitolea, umakini, upendo na heshima), kwa hakika wewe hujui ya kwamba huenda hio salaa na salaam zenu zitahudhurishwa mbele yake. Wanafunzi wa Abdullah bin Mas’uud (radhiyallahu ‘anhu) waliuliza, “Tufundishe jinsi ya kutuma salaa na Salaam juu ya Rasulullah sallallahu alaihi wasallam ” Abdullah bin Mas’uud (radhiyallahu ‘anhu) akajibu, “Soma yafuatayo:

Soma Zaidi »

Sunna na Adabu za Kuchinja – Sehemu ya 3-

11. Ikiwa mtu ana uwezo, ni bora kwake kuchinja mnyama mwenyewe. Ikiwa hili haliwezekani, basi angalau ashuhudie mnyama wake akichinjwa, mradi tu hijaab inazingatiwa kati ya wanaume na wanawake (yaani kuingiliana kusifanyike). عن علي رضي الله عنه أن رسول الله صلى الله عليه و سلم قال يا فاطمة قومي فاشهدي …

Soma Zaidi »

Tafseer ya Surah Zilzaal

Itakapotetemeshwa ardhi kwa mtetemesho wake. Na ardhi itakapotoa mizigo yake yote. Na watu watasema: Kumetokea nini? Siku hiyo itasimulia habari zake zote, kwa sababu Mola wako atakuwa ameiamrisha. Siku hiyo watu watarejea (kutoka mahali pa kuhesabiwa) makundi mbali mbali, ili waonyeshwe (matunda ya) matendo yao meema. Basi anayefanya jambo jema (hata) kwa uzito wa chembe, ataliona. Na anayefanya uovu (hata) kwa uzito wa chembe, atauona.

Soma Zaidi »