Mfumo wa Allah Ta‘ala, kuhusiana na jinsi mwanadamu alivyo umbwa, ni kwamba wakati mambo mawili yanapopatikana basi mwanadamu atapatikana. Sababu ya kwanza ni njia ya wazazi ambayo mbegu ya mwanaume hupandwa ndani ya tumbo la mama. Sababu ya pili ni roho kupulizwa ndani ya tumbo baada ya kukamilisha miezi minne. …
Soma Zaidi »Nabi Isa (alaihis salaam)
Isa (‘alayhis salaam) ni Mtume wa Allah Ta‘ala na anahesabiwa miongoni mwa manabii wa daraja la juu. Allah Ta’ala alimteremshia Injili (Biblia) na akamjalia na Shari’ah. Yeye ndiye Nabii aliyetumwa duniani kabla ya Mtume (Sallallahu alaihi wasallam). Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) amesema: “Manabii wote ni kama ndugu wa baba mmoja, …
Soma Zaidi »Kiwango cha Uadilifu na Kuridhika ndani ya Utawala wa Mahdi (Radhiya Allaahu ‘anhu)
Katika baadhi ya hadithi, imeandikwa kwamba Mahdi (Radhiya Allaahu ‘anhu) atatawala kwa uadilifu kiasi kwamba wakaazi wa mbingu na ardhi watakuwa radhi naye, na popote atakapokwenda duniani, Allah Ta‘ala atasababisha wema na baraka kushinda. Uadilifu wake utawazunguka watu wote na atawatawala kwa mujibu wa Sunnah ya Mtume (Sallallahu alaihi wasallam). …
Soma Zaidi »Uadilifu na Baraka Wakati wa Utawala wa Mahdi (Radhiya Allaahu ‘anhu)
Utawala wa Mahdi (Radhiya Allaahu ‘anhu) utakuwa wa uadilifu na wa baraka. Kwa kuwa Mahdi (Radhiya Allaahu ‘anhu) amechaguliwa na Allah Ta‘ala kuongoza ummah kabla ya Qiyaamah, basi ataongozwa na Allah Ta‘ala. Kwa hiyo, kila uamuzi atakaoupitisha utajawa na wema na uadilifu. Wakati wa utawala wake, Allah Ta’ala atawabariki Waislamu …
Soma Zaidi »Mahdi (Radhiya Allaahu ‘anhu)
Kuja kwa Mahdi (Radhiya Allaahu ‘anhu) ni dalili ya kwanza kati ya alama kuu zitakazojitokeza kabla ya Qiyaamah. Katika hadith nyingi, Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alikuwa amebashiri kuja kwa Mahdi (Radhiya Allaahu ‘anhu) ndani ya ummah huu. Allaamah Suyooti (Rahimahullah) ametaja kuwa hadithi zinazohusu kuja kwa Mahdi (Radhiya Allaahu ‘anhu) …
Soma Zaidi »Jinsi Ya Kujiokoa Na Fitnah Za Dajjaal
Katika hadithi, Rasulullah (Sallallahu ‘Alaihi Wasallam) alitoa maagizo kwa Ummah wake jinsi ya kujilinda na Fitnah wakati wote na vile vile Fitnah za Dajjaal. Inaripotiwa kwamba Uqbah bin Aamir (Radhiyallahu ‘Anhu) aliwahi kumuliza Rasulullah (Sallallahu’ Alaihi Wasallam), “Ewe Rasulullah (Sallallahu ‘Alaihi Wasallam)! Je! Ni njia gani ya kupata wokovu (na …
Soma Zaidi »Mteremko Katika Ummah Kabla Dajjaal Kufika
Imetajwa katika Hadith kwamba kabla ya Qiyaamah, lengo la msingi la watu litakuwa kukusanya mali na fedha. Watu wataona utajiri kama ufunguo wa anasa zote na faraja, mlango wa kila aina ya burudani, na chombo cha kutimiza raha zao za kidunia na tamaa za kidunia. Kwa hivyo, watatoa kila kitu …
Soma Zaidi »Vifaa za Dajjaal – Utajiri, Wanawake na Burudani
Wakati Dajjaal ataonekana ulimwenguni, vitu ambazo atatumia kupotosha mwanadamu zitakuwa utajiri, wanawake na burudani. Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) atampa nguvu ya kutekeleza mambo yasio ya kawaida hadi kwamba wote wanaoshuhudia watashawishiwa na kutapeliwa na wimbi la Fitnah yake. Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) atamruhusu kusababisha mawingu kunyesha, kufanya ardhi itoe mazao …
Soma Zaidi »Sifa kumi za mwili, za kibinadamu za Dajjaal
Katika hadith, Rasulullah (Sallallahu ‘Alaihi Wasallam) ameelezea Ummah sifa za kibinadamu za Dajjaal. Rasulullah (Sallallahu ‘Alaihi Wasallam) akielezea kuhusu Dajjaal na sifa za mwili za kibinadamu zinaonyesha kwa ukweli kwamba Dajjaal pia ni mwanadamu. Kwa hivyo, imani ya Ahlus Sunnah Wal Jamaa ni kwamba Dajjaal ni mwanadamu, na ataibuka ulimwenguni …
Soma Zaidi »Imani ya Ahlus Sunnah Wal Jamaa’ah Kuhusu Dajjaal
Fitnah za kuenea za Dajjaal vipo katika vitabu vya Aqaa’id (imani za Kiisilamu). Ulama wa aqida wanamakubaliano kwamba kuamini katika kutokea kwa Dajjaal ni katika Aqida ya Ahlus Sunnah Wal Jamaa’ah. Ahaadith ambazo Rasulullah (Sallallahu ‘Alaihi Wasallam) alikuwa ameonya Ummah kuhusu Fitnah za Dajjaal ni nyingi sana kwamba vitabu vya …
Soma Zaidi »
Alislaam Juhudi za Kuleta uislam ndani ya maisha yetu