Monthly Archives: November 2022

Qiyaam

11. Soma Ta’awwudh. Ta’awwudh ni kusoma: أَعُوْذُ بِاللهِ مِنَ الشَّيْطَانِ الرَّجِيْم Najikinga kwa Allah Ta’ala na shetani aliyelaaniwa.[1] Kumbuka: Dua-ul Istiftaah na Ta’awwudh itasomwa na munfarid (mwenye kuswali pekeyake) pamoja na imaam na muqtadi (anayemfuata imaam).[2] 12. Baada ya hapo somo la Surah Faatihah ikifuatiwa na surah au sehemu yoyote …

Soma Zaidi »

Maswahaba wakijitolea kwa ajili ya Rasulullah (Sallallaahu ‘alaihi wasallam)

Nyumba ya Faatimah (radhiyallahu ‘anha) ilikuwa mbali na nyumba ya Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) siku moja alimwambia: “Ni matamanio yangu kwamba uishi karibu nami.” Faatimah (radhiyallahu ‘anha) akajibu, “Nyumba ya Haarithah iko karibu na nyumba yako. Ukimwomba abadilishe nyumba yake na yangu, atakubali kwa furaha.” Rasulullah …

Soma Zaidi »

Kupata Radhi Za Allah Subhaana Wata’ Allah

عن عائشة قالت قال رسول الله صلى الله عليه وسلم من سره أن يلقى الله وهو عليه راض فليكثر الصلاة علي (الكامل في ضعفاء الرجال ٦/٣٢، وإسناده ضعيف كما في القول البديع صـ ٢٦٧) Sayyidatuna Aisha (radhiyallahu ‘anha) ameripoti kwamba Nabii wa Allah (sallallahu alaihi Wasallam) amesema, “yoyote anayetaka kukutana …

Soma Zaidi »

Qiyaam

7. Wakati wa kusoma takbeertul ihraam (takbeer ya kufunga swalaah), hakikisha kwamba macho yako yanaanhalia sehemu ya kusujudu na kichwa chako kinaelekea Chino kidogo.[1] 8. Ikunje mikono chini ya kifua na juu ya kitovu.[2] 9. Shika kifundo cha mkono wa kushoto na mkono wa kulia alafu weka vidole vya mkono …

Soma Zaidi »

Hakuna nafasi katika Uislamu kwa wale wanaowatukana Maswahabah (Radhiya Allaahu ‘anhum)

Wakati mmoja, mtu mmoja alikuja kwa Zainul ‘Aabideen, ‘Ali bin Husein (rahimahullah), na kumuuliza: “Ewe mjukuu wa Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam)! Nini maoni yako kuhusu ‘Uthmaan (Radhiya Allaahu ‘anhu)?” Kuona chuki ya mtu huyo kwa ‘Uthmaan (Radhiya Allaahu ‘anhu), Zainul ‘Aabideen (Rahimahullah) akamueleza kwamba kwa ujumla, kuna makundi matatu ya …

Soma Zaidi »

Namna Ya Kujisafisha Kutoka Kwenye Madhambi

عن أبي هريرة رضي الله عنه عن النبي صلى الله عليه وسلم قال صلوا علي فإنها زكاة لكم واسألوا الله لي الوسيلة فإنها درجة في أعلى الجنة لا ينالها إلا رجل وأرجو أن أكون أنا هو (مسند أحمد، الرقم: 8770، وفي مجمع الزوائد (الرقم: 1877): رواه البزار وفيه داود بن …

Soma Zaidi »

Qiyaam

1. Unapokusudia kuswali, simama na uelekee kibla.[1] 2. Wakati wa kusimama kwa ajili ya Swalah, simameni kwa heshima kubwa. Elekeza miguu yote miwili kuelekea kibla na acha nafasi wa takriban mkono mmoja kati yake. Wakati wa kuswali katika jamaa, nyoosha safu na usimame karibu iwezekanavyo, bila kuacha nafasi kati yenu. …

Soma Zaidi »

Ushujaa wa Ali (Radhiyallahu ‘anhu) katika Uhud

Wakati wa vita vya Uhud, Maswahabah (radhiya Allaahu ‘anhum) walishambuliwa na makafiri na wengi kuuawa. Rasulullah (Sallallaahu ‘alaihi wasallam) alizungukwa na maadui na alipata majeraha kadhaa. Wakati huo, uvumi ulianza kuenea kwamba Rasulullah (Sallallaahu ‘alaihi wasallam) ameuawa. Kusikia uvumi huu wa uongo, wengi wa Maswahabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) walipoteza utulivu …

Soma Zaidi »

Kupata Ukaribu Maalumu Wa Nabii Wa Allah (sallallahu ‘alaihi wassallam) Siku Ya Kiama

عن عبد الله بن مسعود أن رسول الله صلى الله عليه وسلم قال: أولى الناس بي يوم القيامة أكثرهم علي صلاة (سنن الترمذي، الرقم: ٤٨٤، وحسنه الإمام الترمذي رحمه الله) Sayyidina Abdullah Bin Mas’ood (radhiyallahu ‘anhu) ameripoti kuwa Nabii wa Allah(sallallahu ‘alaihi wassallam) amesema “mtu ambaye atake kuwa karibu sana …

Soma Zaidi »

Kabla Ya Swalaah

5. Kabla ya kuanza kuswali, hakikisha kwamba mavazi yako ni ya heshima na sio yakubana. Epuka kuvaa mavazi ambayo hayana heshima badala vaa mavazi ambayo yanazingatia na utakatifu wa Swalaah, na pia epuka na mavazi ambayo yana picha au maandishi juu yake.[1] 6. Hakikisha kwamba unaswali kwa kuvaa kofia (ya …

Soma Zaidi »