Jumuah

Sunna na Aadaab za Jumu’ah 4

12. Jitahidi kumswalia Mtume (sallallahu alaihi wasallam) mara elfu moja siku ya Jumu’ah. Anas (Radhiyallahu anhu) anaripoti kwamba Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alisema, “Yule ambaye ananitumia salaa na salaam mara elfu moja siku ya Jumu’ah, hatofariki hadi atakapoonyeshwa makazi yake peponi.”[1] 13. Ni Sunnah kusoma Surah A’ala (sabbihisma rabbikal a’laa) …

Soma Zaidi »

Sunna na Aadaab za Jumu’ah 3

9. Ikiwezekana, kwenda msikitini kwa kutembea kuswali Jumu’ah. Kwa kila Hatua zitazochukuliwa, utapokea thawabu ya kufunga mwaka mmoja na kuswali Tahajjud kwa mwaka mmoja. Aws bin aws thaqafi (radhiallahu anhu) anasema, “Nilimsikia Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) akitaja, ‘Yule anayefanya ghusl siku ya Jumuah na anaenda mapema msikitini kwa kutembea, na …

Soma Zaidi »

Sunna na Aadaab za Jumu’ah 2

6. Ni vizuri kuvaa nguo nyeupe.[1] Imepokewa kutoka kwa Ibnu Abbaas (radhiyallahu anhuma) kwamba Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) amesema: “Vaa nguo nyeupe, kwa sababu hiyo ni nguo bora kabisa, na wafunike humo marehemu zenu.”[2] 7. Imepokewa kwamba Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) wakati fulani alikuwa akisoma Surah Sajdah katika rakaa ya …

Soma Zaidi »

Sunna na Aadaab za Jumu’ah 1

1. Soma Surah Dukhan siku ya Alhamisi usiku. Imepokewa kutoka kwa Abu Hurairah (radhiyallahu anhu) kuwa Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) amesema: “Mwenye kusoma Surah Haa-mim Ad Dukhaan usiku wa kuamkia Alhamis atasamehewa madhambi yake.”[1] 2. Oga (fanya ghusl) siku ya Ijumaa. Yule ambaye ataoga siku ya Ijumaa, madhambi yake madogo …

Soma Zaidi »

Fadhila za Jumu’ah 2

Siku Ambayo Ina Muda Maalum wa Kukubalika Anas bin Maalik (radhiyallahu anhu) anaripoti: Siku ya Jumu’ah iliwasilishwa kwa Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam). Jibreel (alaihis salaam) alikuja kwa Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam). Katika kiganja chake kulikuwa na kitu kinachofanana na kioo cheupe, na katikati ya kioo kulikuwa na doa jeusi. Mtume …

Soma Zaidi »

Fadhila za Jumu’ah

Kusamehewa Madhambi Kwa Kuswali Jumu’ah Imepokewa kutoka kwa Abu Hurairah (radhiyallahu anhu) kwamba Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) amesema: “Madhambi yaliyotendwa baina ya Jumu’ah mbili, maadamu si madhambi makubwa, yatasamehewa na Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’alah) (kwa kuswali Jumu’ah zote mbili).[1] Siku Maalum ya Waumini Ibnu Abbaas (radhiyallahu anhuma) anasimulia kwamba Mtume …

Soma Zaidi »

Jumu’ah

Siku ya Jumu’ah ina umuhimu mkubwa katika Uislamu. Ni miongoni mwa neema kubwa za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’alah) juu ya ummah huu ni sifa adhimu ya Uislamu. Amesema Mtume (sallallahu alaihi wasallam): “Siku ya Jumu’ah ni sayyidul ayyaam (yaani kiongozi wa siku zote na ni siku kubwa zaidi (kuliko siku …

Soma Zaidi »