Monthly Archives: October 2021

Imani kuhusu Malaika

1. Malaika ni viumbe vya Allah subhaana wata’ala visivyo na dhambi na wameumbwa kutokana na nuru. Malaika hawaonekani kwetu, na sio wanaume wala sio wanawake. Hawana mahitaji yoyote kama wanadamu kama vile kula, kunywa, kulala n.k.[1] 2. Allah subhaana wata’ala amewapa majukumu mbalimbali ya kutekeleza. Wanatimiza kama waliyowaamrishwa na Allah …

Soma Zaidi »

Malaika wakimiminika kwenye mikusanyiko ya Dhikr

عن عقبة بن عامر رضي الله عنه قال : قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : إن للمساجد أوتادا جلساؤهم الملائكة إن غابوا فقدوهم وإن مرضوا عادوهم وإن رأوهم رحبوا بهم وإن طلبوا حاجة أعانوهم فإذا جلسوا حفت بهم الملائكة من لدن أقدامهم إلى عنان السماء بأيديهم قراطيس الفضة …

Soma Zaidi »

Fadhila za Muaddhin 2

4.kila kiumbe (kama jini, mwanadamu au kiumbe mwingine yoyote) ambaye husikia sauti ya muadhin akiadhini adhaan atashuhudia kwa niaba yake siku ya qiyaamah. فعن عبد الرحمن بن عبد الله بن عبد الرحمن بن أبي صعصعة الأنصاري ثم المازني عن أبيه أنه أخبره أن أبا سعيد الخدري رضي الله عنه قال …

Soma Zaidi »

Watu katika mikusanyiko ya salaam wanafunikwa na rehema za Allah subhaana wata’ala

Anas (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kuwa Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema, "kuna kundi la malaika wa Allah subhaana wata'ala ambao wanaendelea kuzunguka kote ulimwenguni, wakitafuta mikusanyiko ya dhikr (mikusanyiko ya kumkumbuka Allah subhaanawata'ala). Wanapopata mkusanyiko kama huo, wanakusanyika karibu nao, na baada ya hapo wanatuma wamalaaika wambele miongoni mwao mbinguni (kuripoti kwa Allah subhaana wata'ala). malaika hawa wanamwambia Allah subhaana wata'ala, "Ewe Mola wetu tulifika kwenye kundi la waja wako ambao wanachukulia neema zako kama neema kubwa juu yao, wanasoma kitaabu chako, wanatuma salaam kwa Nabii wako (sallallahu ‘alaihi wasallam) na wanakuomba kwa mahitaji yao yanayohusiana na aakhera na dunia." Allah subhaana wata'ala Atajibu "wazungushie kwa rehema zangu." Malaika kisha huwasilisha, "ewe Mola! kati yao kuna flani na flani ambae ametenda madhambi mengi, na amefika tu mwisho wa mkusanyiko. Allah subhaana wata'ala atasema, "wafunike watu wote wa mkusanyiko huo (pamoja na yeye) kwa rehema zangu, kwa sababu watu katika mkusanyiko huu ni kama kwamba hakuna mtu yoyote anayejiunga nao atakuwa na bahati mbaya ya kunyimwa rehema zangu."

Soma Zaidi »

Fadhila za Muaddhin

Adhaan ni miongoni mwa sifa muhimu za Deen za kiislaam. Uislamu umetoa heshima kubwa kwa wale wote ambao wanatoa adhaan, wakiita watu kuelekea kuswali. Siku ya qiyaamah, watu watawapongeza wale ambao walikuwa wakitoa adhaan ulimwenguni kwa sababu ya nafasi yao tukufu na hadhi ya juu aakhera. Hadithi nyingi zinataja fadhila …

Soma Zaidi »

Imani Kuhusu Ambiyaa (alaihimus salaam)

1. Allah subhaana wata’ala alituma ambiyaa wengi (alaihimus salaam) (manabii) ulimwenguni kuwaongoza wanadamu kwenye njia iliyonyooka.[1] 2. Utume hupewa na Allah subhaana wata’ala Allah subhaana wata’ala huchagua kutoka kwa waja wake yoyote yule anayetaka kwa kazi hii kubwa. Utume huwezi kupatikana na mtu yoyote kupitia matendo na juhudi zake mwenyewe.[2] …

Soma Zaidi »

Salaam Ya Umma Kumfikia Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam)

عن أبي هريرة قال قال رسول الله صلى الله عليه وسلم لا تجعلوا بيوتكم قبورا ولا تجعلوا قبري عيدا وصلوا علي فإن صلاتكم تبلغني حيث كنتم (سنن أبي داود، الرقم: 2042، وإسناده جيد كما في البدر المنير 5/290) Abu Hurairah (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kuwa Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema, “Msiifanye …

Soma Zaidi »

Salaah na salaam kufikishwa kwa Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) kupitia Malaika

Sayyidina Ibin  Abbas (radhiyallahu ‘anhuma) mara moja aliwahi kutaja yafuatayo, "hakuna mtu kutoka kwa umma wa Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) ambaye hutuma salaah na salaam juu ya Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) isipokuwa kwamba anafikishiwa kwake (kupitia malaika) na anaambiwa, "fulani na fulani amekuswalia ,na fulani na fulani ametuma salaam juu yako.

Soma Zaidi »

Imani kumhusu Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam)

4. Allah subhaana wata’ala alikuwa amembariki Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) na vyeo vya juu ikilinganishwa na wengine. Kutokana na matokeo yote na manabii (sallallahu ‘alaihi wasallam) ambao walikuja ulimwenguni, Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alikuwa mkuu kwa kiwango na aliyependwa zaidi kwa Allah subhaana wata’ala Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alibarikiwa na …

Soma Zaidi »