Miswar bin Makhramah (Radhiya Allaahu anhu) anaripoti: Abdur Rahmaan bin Auf (Radhiya Allaahu ‘anhu) wakati fulani aliuzisha shamba la mizabibu kwa Uthmaan (Radhiyallahu ‘Anhu) kwa dinars elfu arobaini. Wakati Abdur Rahmaan (Radhiyallahu ‘Anhu) alipokea pesa hizo kutoka kwa Uthmaan, hapo hapo alizigawa kwa wake waliobarikiwa wa Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam), …
Soma Zaidi »Monthly Archives: January 2025
Abdur-Rahman bin Awf (Radhiya Allaahu ‘anhu) Akiongoza Swalaah.
Wakati wa safari ya Tabook, Maswahabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) walikuwa wakisafiri pamoja na Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam). Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) aliwaacha Maswahabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) kwenda kujisaidia. Kwa vile hakukuwa na muda mwingi uliobakia kwa Swalah ya Alfajiri, na Maswahabah (Radhiya allahi ‘anhum) waliogopa kwamba muda wa swalaah ungepita, …
Soma Zaidi »Sunna na Aadaab za Jumu’ah 2
6. Ni vizuri kuvaa nguo nyeupe.[1] Imepokewa kutoka kwa Ibnu Abbaas (radhiyallahu anhuma) kwamba Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) amesema: “Vaa nguo nyeupe, kwa sababu hiyo ni nguo bora kabisa, na wafunike humo marehemu zenu.”[2] 7. Imepokewa kwamba Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) wakati fulani alikuwa akisoma Surah Sajdah katika rakaa ya …
Soma Zaidi »Abdur Rahman bin Auf (Radhiya Allaahu ‘anhu) ni miongoni mwa Waislamu bora
Wakati mmoja, Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) aliuliza kutoka kwa Busrah bintu Safwaan (radhiyallahu ‘anha) kwamba ni mtu gani alikuwa amependekeza kuolewa na mpwa wake, Ummu Kulthoom bintu Uqbah. Alimjulisha majina ya watu wachache ambao walikuwa wamependekeza mpwa wake, na yeye pia alimjulisha kwamba miongoni mwa watu waliompendekeza mpwa wake ni …
Soma Zaidi »Talhah (Radhiyallahu ‘anhu) katika Vita vya Uhud
Kuhusiana na uvumilivu wa Talha (Radhiya Allaahu ‘anhu) katika Vita vya Uhud, Sa’d bin Abi Waqqaas (Radhiya Allaahu ‘anhu) ametaja yafuatayo: Allah Ta’ala amrehemu Talhah. Bila shaka, kutoka kwetu sote, alimsaidia Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) zaidi siku ya Uhud. Sa’d (Radhiya Allaahu ‘anhu) aliulizwa, “Tueleze jinsi (alivyomsaidia Mtume (Sallallahu alaihi …
Soma Zaidi »