12. Jitahidi kumswalia Mtume (sallallahu alaihi wasallam) mara elfu moja siku ya Jumu’ah. Anas (Radhiyallahu anhu) anaripoti kwamba Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alisema, “Yule ambaye ananitumia salaa na salaam mara elfu moja siku ya Jumu’ah, hatofariki hadi atakapoonyeshwa makazi yake peponi.”[1] 13. Ni Sunnah kusoma Surah A’ala (sabbihisma rabbikal a’laa) …
Soma Zaidi »Yearly Archives: 2025
Kupokea Habari Njema Za Bahati Nzuri Na Msamaha Katika Ndoto
Usiku mmoja, Abdur Rahmaan bin Auf (Radhiyallahu ‘Anhu) alipoteza fahamu kwa muda mrefu wakati wa ugonjwa wake hadi wale walio karibu walidhani kwamba roho yake imeondoka. Walimfunika na kitambaa na wakaenda mbali naye. Mkewe, Ummu Kulthum bint ‘Uqbah, mara moja alitafuta msaada kwa Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) kuvuta subira na …
Soma Zaidi »Sunna na Aadaab za Jumu’ah 3
9. Ikiwezekana, kwenda msikitini kwa kutembea kuswali Jumu’ah. Kwa kila Hatua zitazochukuliwa, utapokea thawabu ya kufunga mwaka mmoja na kuswali Tahajjud kwa mwaka mmoja. Aws bin aws thaqafi (radhiallahu anhu) anasema, “Nilimsikia Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) akitaja, ‘Yule anayefanya ghusl siku ya Jumuah na anaenda mapema msikitini kwa kutembea, na …
Soma Zaidi »Abdur Rahmaan bin Auf (Radhiyallahu ‘Anhu) akitumia mali yake kwenye safari ya Tabuk
Wakati Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’alah) alimwagiza Rasulullah (Sallallahu ‘Alaihi Wasallam) ajiandae kwenda kwenye safari ya Tabuk, maswahaabah wengi hawakuwa na uwezo za kutosha wakati huo kwenda kwenye safari ndefu na ngumu, haswa wakati walikuwa wanatarajia kukutana na jeshi la Warumi katika mapigano, ambao walikuwa na vifaa vizuri na wengi kwa …
Soma Zaidi »Rasulullah (Sallalllahu ‘Alaihi Wasallam) akimchagua Abdur Rahmaan bin Auf (Radhiyallahu’ Anhu) kama kiongozi wa Jeshi kwenda Dumatul Jandal
Katika mwaka wa sita baada ya Hijrah, wakati wa mwezi wa Sha’baan, Rasulullah (Sallallahu ‘Alaihi Wasallam) alimhutubia Abdur Rahmaan bin Auf (Radhiyallahu ‘Anhu) na kumwambia, “Fanya maandalizi Kusafiri, ninakaribia kukutumia kwenye safari ima leo au kesho Insha Allah. ” Asubuhi iliyofuata, wakati Abdur Rahmaan bin Auf (Radhiyallahu ‘Anhu) alipokuja kabla …
Soma Zaidi »Abdur Rahman bin Auf (Radhiyallahu ‘Anhu) Akiwa na Hofu Ya Kuulizwa Mbele Ya Allah Ta’ala licha ya yewe Kuwa Mtu Wa Kujitolea Kwa Sababu Ya Dini
Shu’bah (Rahimahullah) anasimulia: ‘Katika tukio moja, Abdur Rahman bin Auf (Radhiyallahu’ Anhu) alikuwa amefunga na Wakati wa Iftaar, chakula kililetwa mbele yake. Kuona chakula hicho, Abdur Rahman Bin Auf (Radhiyallahu ‘Anhu) alisema: “Hamzah (Radhiyallahu ‘Anhu) aliuwawa na hatukuweza kupata kitambaa cha kutosha ya sanda lake, na alikuwa bora kuliko mimi. …
Soma Zaidi »Ukarimu Wa Abdur Rahmaan bin Auf (Radhiyallahu ‘Anhu)
Miswar bin Makhramah (Radhiya Allaahu anhu) anaripoti: Abdur Rahmaan bin Auf (Radhiya Allaahu ‘anhu) wakati fulani aliuzisha shamba la mizabibu kwa Uthmaan (Radhiyallahu ‘Anhu) kwa dinars elfu arobaini. Wakati Abdur Rahmaan (Radhiyallahu ‘Anhu) alipokea pesa hizo kutoka kwa Uthmaan, hapo hapo alizigawa kwa wake waliobarikiwa wa Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam), …
Soma Zaidi »Abdur-Rahman bin Awf (Radhiya Allaahu ‘anhu) Akiongoza Swalaah.
Wakati wa safari ya Tabook, Maswahabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) walikuwa wakisafiri pamoja na Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam). Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) aliwaacha Maswahabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) kwenda kujisaidia. Kwa vile hakukuwa na muda mwingi uliobakia kwa Swalah ya Alfajiri, na Maswahabah (Radhiya allahi ‘anhum) waliogopa kwamba muda wa swalaah ungepita, …
Soma Zaidi »Sunna na Aadaab za Jumu’ah 2
6. Ni vizuri kuvaa nguo nyeupe.[1] Imepokewa kutoka kwa Ibnu Abbaas (radhiyallahu anhuma) kwamba Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) amesema: “Vaa nguo nyeupe, kwa sababu hiyo ni nguo bora kabisa, na wafunike humo marehemu zenu.”[2] 7. Imepokewa kwamba Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) wakati fulani alikuwa akisoma Surah Sajdah katika rakaa ya …
Soma Zaidi »Abdur Rahman bin Auf (Radhiya Allaahu ‘anhu) ni miongoni mwa Waislamu bora
Wakati mmoja, Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) aliuliza kutoka kwa Busrah bintu Safwaan (radhiyallahu ‘anha) kwamba ni mtu gani alikuwa amependekeza kuolewa na mpwa wake, Ummu Kulthoom bintu Uqbah. Alimjulisha majina ya watu wachache ambao walikuwa wamependekeza mpwa wake, na yeye pia alimjulisha kwamba miongoni mwa watu waliompendekeza mpwa wake ni …
Soma Zaidi »