Katika tukio moja, wakati Abdullah bin Umar (Radhiyallahu ‘Anhuma) alikuwa akijiandaa kwenda katika kuswali Jumuah, alisikia Kwamba mjomba wake, Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) alikuwa mgonjwa sana na alikuwa kwenye sakaratul mauti. Habari hii ilimfikia wakati alikuwa tayari amepaka manukato kwenye mwili wake na alikuwa karibu kuondoka nyumbani kwake kwenda …
Soma Zaidi »Yearly Archives: 2025
Heshima ya Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) kwa Uthmaan (Radhiyallahu’ Anhu)
Inaripotiwa kuwa katika hafla moja, mtu alifika kwa Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) na akasema, “Nina upendo mkubwa kwa Ali (Radhiyallahu’ Anhu) moyoni mwangu hadi kwamba amna kitu kingine chochote ninachokipenda kama jinsi ninavyompenda.” Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) alimpongeza kwa ajili ya Upendo na heshima kwa Ali (Radhiyallahu ‘Anhu) …
Soma Zaidi »Sunna na Adabu za kabla ya kula 2
7. Soma Bismillah au dua ifuatayo kabla ya kula. Ikiwa upo na familia yako, basi unaweza kuisoma dua kwa sauti kuwakumbusha. بِسْمِ اللهِ وَبَرَكَةِ اللهِ Kwa jina la Allah (Ta’ala), na kwa baraka za Allah (Ta’ala).[1] 8. Wakati wa kula, ama kaa na magoti yote mawili juu ya ardhi (katika …
Soma Zaidi »Nafasi ya juu ya Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) kati ya watu wa Madinah Munawwarah
Katika kipindi cha khilaafah yake, Mu’aawiyah (Radhiyallahu ‘Anhu) aliandika barua kwa Marwaan bin Hakam – waziri wake aliemchagua juu ya Madinah Munawwarah – ambaye yeye alimwagiza achukue Bay’ah (ahadi ya utii) kutoka kwa watu wa Madinah Munawwarah kwa niaba ya mtoto wake, Yazeed bin Mu’aawiyah, ambaye alikuwa Khalifah baada yake. …
Soma Zaidi »Kuwa Na Wasiwasi Juu ya Elimu ya Dini ya mtoto
Taifa lililobarikiwa na maarifa ya Dini na uelewa mzuri ni taifa linaloendelea na lenye msimamo mzuri na wa kuahidi baadaye. Kinyume chake, taifa lililonyimwa maarifa ya Deeni na uelewa mzuri ni taifa linaloelekea kwenye uharibifu na kutofaulu. Ni kwa sababu hii kwamba wakati Nabi yoyote alikuwa akipelekwa kwenye taifa yoyote, …
Soma Zaidi »Tamaa kubwa ya Saeed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) kutoa maisha yake katika njia ya Allah Ta’ala
Wakati mji wa Damascus ulipofikia mikononi mwa Waislamu, Abu Ubaidah (Radhiyallahu ‘Anhu) – Kamanda wa Jeshi la Waislamu – alimchagua Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu’ Anhu) kama waziri juu ya Jiji la Damascus. Baada ya hapo, Abu Ubaidah (Radhiyallahu ‘Anhu) aliendelea na jeshi lake kuelekea Jordan. Baada ya kufikia Jordan, walipanga …
Soma Zaidi »Sunna na Adabu za kabla ya kula 1
1. Daima hakikisha unakula chakula cha halaal. Jiepushe na kula chakula cha mashaka au cha Haraam.[1] 2. Kula na niya ya kupata nguvu ya kutimiza amri za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) na kushiriki katika ibada yake.[2] 3. Mtu anapaswa kukaa chini na kula. 4. Kutandika mkeka chini kabla ya kula. …
Soma Zaidi »Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) akiwatetea Maswahaabah (Radhiyallahu’ Anhum)
Katika hafla moja, wakati Mugheerah bin Shu’bah (Radhiyallahu ‘Anhu) alikuwa ameketi na watu wengine ndani ya msikiti wa Kufah, Saeed bin Zayd (Radhiyallahu’ Anhu) aliingia msikitini. Mugheerah (Radhiyallahu ‘Anhu) alimsalimia na kwa heshima, alimwuliza aketi kwenye jukwaa lililoinuliwa mbele yake. Baada ya muda kidogo, mtu wa Kufah aliingia msikitini na …
Soma Zaidi »Sa’eed bin Zaid (Radhiyallahu ‘Anhu) Akipata Shida na Misukosuko kwa ajili ya Uislamu
Umar (Radhiyallahu ‘Anhu) – mtu ambae jina lake safi ni njia ya heshima kwa Waislamu, na ambaye Imaani na shauku ilikuwa kwamba hadi leo, baada ya miaka 1300, makafiri bado wanamwogopa – alikuwa maarufu kwa kuwatesa Waislamu kabla ya kukubali Uislamu. Aliendelea pia kutafuta fursa za kumua Rasulullah (Sallallahu ‘Alaihi …
Soma Zaidi »Kula
Dini ya Uislamu ni Dini ya dunia nzima. Ni kwa nyakati zote, maeneo yote na watu wote. Ni kamili kama jinsi imemuonyesha mwanadamu njia ya kutimiza haki za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) na haki za waja wa Allah Ta’ala. Kabla ya mtu kuingia ulimwenguni hadi atakapofariki, Uislamu imeweka sheria na …
Soma Zaidi »