Abu Dhar (Radhiyallahu ‘Anhu) Anafanana Na Nabi Isa (‘ Alaihis salaam)

Rasulullah (Sallallahu ‘Alaihi Wasallam) alisema, “Yoyote anayetaka kumtazama Isa bin Maryam (‘ Alaihis Salaam) katika uchamungu wake, ukweli wake, na kujitolea kwake (katika Ibaadah), basi anapaswa kumtazama Abu Dharr (kwa sababu Abu dharr anamiliki sifa ambazo zinafanana na Nabi Isa (Alaihis Salaam).

(Majmauz Zawaaid #15817)

About admin

Check Also

Abu Dhar (Radhiyallahu ‘Anhu) Akisilimu

Hali Kabla ya Kukubali Uislamu: Kabla ya kukubali Uislamu, Abu dhar (Radhiyallahu ‘Anhu) alikuwa mwiza …