1. S: Je inaruhusiwa kusoma kitu chochote kilichoandikwa kwa mfano magazet,kutumia simu kuchat, kutumia internet, na mengineyo wakati uko chooni ?
J: Chooni ni sehemu ambayo mtu anajisaidia, hivyo haipendezi kwa mtu kutumia simu yake au kusoma kitu chochote chenye maandishi chooni.[1]
Soma Zaidi » Alislaam Juhudi za Kuleta uislam ndani ya maisha yetu
Alislaam Juhudi za Kuleta uislam ndani ya maisha yetu
				 
				
			 
				
			 
				
			 
				
			 
				
			 
				
			 
				
			 
				
			