Kamwe Usipoteze Matumaini Katika Kumrekebisha Mtu Yoyote Abdullah bin Maslamah Qa’nabi (rahimahullah) alikuwa miongoni mwa Muhadditheen mashuhuri katika zama zake. Alikuwa ni ustaad wa Muhadditheen wengi mashuhuri, kama Imaam Bukhaari, Imaam Muslim na Imaam Abu Daawuud (Rahimahumullah). Inaripotiwa kwamba mwanzoni mwa maisha yake, alikuwa na marafiki wabaya na alikuwa akinywa …
Soma Zaidi »
Alislaam Juhudi za Kuleta uislam ndani ya maisha yetu