Monthly Archives: May 2023

Fadhila Za Kusoma Quran Takatifu 2

Allah Ta’ala Anamsikiliza Mwenye Kusoma kwa Furaha Nyingi Imepokewa kutoka kwa Abu Hurairah (radhiyallahu ‘anhu) kwamba Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema: “Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) hasikilizi chochote (kwa furaha nyingi) kama vile Akimsikiliza Nabii yoyote kwa sauti nzuri yenye kupendeza akisoma Qur’an Takatifu kwa sauti.”[1] Dua Zikijibiwa Katika Kuhitimu Quran …

Soma Zaidi »

Kabla ya Swalaah

1. Uangalifu hasa unapaswa kuchukuliwa ili kuvaa vizuri kwa ajili ya swalah. Mwanamke anapaswa kuvaa mavazi ambayo yataficha mwili wake wote na nywele. Ni kinyume na adabu kwake kuvaa nguo za kujibana zinazoonyesha umbo la mwili wake au kuvaa mavazi laini, dhaifu ambayo viungo halisi vinaweza kuonekana. Ikiwa nguo ina …

Soma Zaidi »

Tahadhari katika Mali Za Umma

Tahadhari ambayo Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu) alikuwa nao wakati wa kushughulika na mali ya umma kwa hakika ilikuwa mithali mkubwa. Wakati mmoja, miski flani na ambergris (aina ya manukato flani) zilifika kutoka Bahrain. Kwa vile ilikuwa ni mali ya umma, Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu) alisema, “Wallahi! Natamani nimtafute mtu ambaye …

Soma Zaidi »

Chanzo cha nuru siku ya Qiyaama

عن ابن عمر رضي الله عنهما قال قال رسول الله صلى الله عليه وسلم زينوا مجالسكم بالصلاة علي فإن صلاتكم علي نور لكم يوم القيامة (الفردوس بمأثور الخطاب، الرقم: ٣٣٣٠، وإسناده ضعيف كما في القول البديع صـ ٢٧٨) Ibnu umar (radhiyallahu anhuma) ameripoti kwamba Nabii wa allah (sallallahu alaih wasallam) …

Soma Zaidi »

Fadhila Za Kusoma Quran Takatifu

Nuru Duniani na Hazina ya Akhera Abu dharr (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti, “Wakati fulani nilimuuliza Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam), ‘Ewe Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam), tafadhali naomba unipe nasaha. Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) akasema, ‘Shikilia na Taqwa kwa uthabiti, kwa sababu ni kichwa cha matendo yote’ (yaani kitendo kikubwa ilio juu kuliko …

Soma Zaidi »

Umar (radhiyallahu ‘anhu) Akijikumbusha Na Kuhesabiwa Huko Akhera

Licha ya Allah Ta’ala kumbariki Umar (radhiyallahu ‘anhu) kuwa miongoni mwa watu kumi walioahidiwa Jannah hapa duniani, na kuwa khalifa wa pili wa Uislamu, alikuwa mnyenyekevu mno na aliogopa sana kuwajibika mbele ya Allah Ta’ala Siku ya Qiyaamah. Imeripotiwa kwamba wakati mmoja, Umar (radhiyallahu ‘anhu) aliingia kwenye shamba fulani la …

Soma Zaidi »

Kauli ya Imaam Shaafi’ee (rahimahullah)

Imaam Shaafi’ee (rahimahullah) ameandika katika Ikhtilaaful Hadith: Hatujui hata mmoja wa wake wa Sayyidina Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) kuondoka majumbani mwao kwenda kuhudhuria Swalaah ya Ijumuah au Swalaah nyingine yoyote msikitini, ingawa wake zake , kwa kuangalia nafasi zao maalum na uhusiano wao na Sayyidina Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam), wangekuwa …

Soma Zaidi »

Ali (radhiyallahu ‘anhu) Anatamani Kukutana na Allah Ta’ala akiwa na Vitendo vya Umar (radhiyallahu ‘anhu)

Ali (radhiyallahu ‘anhu) Anatamani Kukutana na Allah Ta’ala akiwa na Vitendo vya UmarAbdullah bin Abbaas (radhiya allaahu ‘anhuma) anataja: Nilikuwepo wakati mwili wa Umar (radhiya allaahu ‘anhu) ulipowekwa kwenye jeneza baada ya kifo chake cha kishahidi. Watu walianza kuuzunguka mwili wake. Wakati wakisubiri mwili wake unyanyuliwe na kuzikwa, walikuwa wakimswalia …

Soma Zaidi »

Tafseer Ya Surah Kauthar

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ إِنَّا أَعْطَيْنَاكَ الْكَوْثَرَ ‎﴿١﴾‏ فَصَلِّ لِرَبِّكَ وَانْحَرْ ‎﴿٢﴾‏ إِنَّ شَانِئَكَ هُوَ الْأَبْتَرُ ‎﴿٣﴾‏ Hakika Sisi tumekuruzuku (na tukakubariki kwa) kheri nyingi. Basi sali kwa Mola wako, na uchinje. Hakika, anayekuchukia atakatiliwa mbali. Katika sura hii, Allah Ta’ala anazungumza na Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam ) akisema: “Hakika sisi tumekuruzuku (na tumekubariki kwa) …

Soma Zaidi »

Matamanio ya Sayyidina Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) kuhusu Wanawake Kuswali ndani ya Nyumba zao

Ingawa ilikuwa ni matamanio ya Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) kwamba watu wa Ummah wake waswali na jamaah msikitini, ilikuwa ni matamanio yake pia kwamba wanawake wa Ummah wake watimize Swalaah zao ndani ya mipaka ya nyumba zao. Sayyidina Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) aliwahimiza wanawake kuswali ndani ya nyumba zao na …

Soma Zaidi »