Kuwatembelea Wagonjwa

Dini ya Uislamu inatetea na kuamrisha mtu kutimiza haki anazo daiwa na Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) na haki anazo daiwa na waja wa Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala). Kuhusu haki anazodaiwa na waja wa Allah Ta’ala, hizi zinaweza kugawanywa katika aina mbili za haki. Aina ya kwanza ni zile haki ambazo …

Soma Zaidi »

Sunna Na Adabu Za Dua 9

21.Usiwe na haraka na kutokuwa na subra kwa ajili ya kukubaliwa na kutimizwa dua yako. Anas (radhiyallahu ‘anhu) anasema kwamba Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema: “Mja ataendelea kuwa katika hali ya wema maadamu yuko (ameridhishwa na amri ya Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) na hana haraka. MaSwahaabah wakauliza, “Ewe Rasulullah (sallallahu …

Soma Zaidi »

Madai Ya Baadhi Ya Watu Wa Kufah:

Katika mwaka wa 21 A.H., baadhi ya watu wa Kufah walikuja kwa ‘Umar (Radhiyallahu ‘anhu) na kumlalamikia Sa’d (Radhiyallahu ‘anhu) kwamba hakuswali sawa sawa. Wakati huo, Sa’d (Radhiya Allahu ‘anhu) alichaguliwa na Umar (radhiyallahu ‘anhu) kama gavana wa Kufah. Hivyo basi ‘Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu) akamwita Sa’d (Radhiya Allaahu ‘anhu) …

Soma Zaidi »

Sunna Na Adabu Za Dua 8

19. Jiepushe na ulaji wa haramu au chakula chenye mashaka na kujihusisha na madhambi. Mtu kula haramu na kujihusisha na madhambi inazuia dua kujibiwa. Imepokewa kutoka kwa Abu Huraira (radhiyallahu ‘anhu) kwamba Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema: “Enyi watu, hakika Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) ni Msafi na anakubali kilicho safi. …

Soma Zaidi »

Maisha Ya Uislamu

Wakati mtu anazama na kujitahidi kuishi, atafanya chochote kuokoa maisha yake. Ikiwa ana uwezo wa kukamata kamba karibu na njia ambayo anaweza kujiondoa kutoka ndani ya maji, atashikamana nayo kwa bidii na kuiona kama njia yake ya kuokoa maisha yake. Katika ulimwengu huu, muumini anapokabiliwa na mawimbi ya fitna ambayo …

Soma Zaidi »

Mshale Wa Kwanza Kurushwa kwa Ajili Ya Uislamu

Sa’d (radhiya allaahu ‘anhu) alikuwa miongoni la kundi la Maswahabah ambao Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) aliwatuma katika mwaka wa kwanza baada ya Hijrah kuuzuia msafara wa Maquraishi. Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alimteua Ubaidah bin Haarith (radhiya allaahu ‘anhu) kuwa Amir (kiongozi) wa kundi hili. Katika msafara huu, Maswahabah (radhiyallahu ‘anhum) …

Soma Zaidi »

Tafseer Ya Surah Faatihah

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ ‎﴿١﴾‏ الْحَمْدُ لِلَّهِ رَبِّ الْعَالَمِينَ ‎﴿٢﴾‏ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ ‎﴿٣﴾‏ مَالِكِ يَوْمِ الدِّينِ ‎﴿٤﴾‏ إِيَّاكَ نَعْبُدُ وَإِيَّاكَ نَسْتَعِينُ ‎﴿٥﴾‏ اهْدِنَا الصِّرَاطَ الْمُسْتَقِيمَ ‎﴿٦﴾‏ صِرَاطَ الَّذِينَ أَنْعَمْتَ عَلَيْهِمْ غَيْرِ الْمَغْضُوبِ عَلَيْهِمْ وَلَا الضَّالِّينَ ‎﴿٧﴾‏ Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola wa ulimwengu wote. Mwingi wa Rehema, Mwenye kurehemu. Mfalme wa Siku ya kuhukumu. Wewe peke yako tunakuabudu, na Wewe …

Soma Zaidi »

Sunna Na Adabu Za Dua 7

17. Ni bora kuomba dua pana. Aaishah (radhiyallahu ‘anha) anaripoti kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alikuwa akipendelea dua hizo ambazo ni pana na alikuwa akiacha dua zingine. Dua hizi zifuatayo ni miongoni mwa dua za Masnoon ambazo zimepokelewa katika Hadith: رَبَّنَا آتِنَا فِي الدُّنْيَا حَسَنَةً وَفِي الْآخِرَةِ حَسَنَةً وَقِنَا عَذَابَ …

Soma Zaidi »

Damu Ya Kwanza iliyomwagika kwa ajili ya Uislamu

Muhammad bin Ishaaq (rahimahullah) anasimulia: Mwanzoni katika Uislamu, Maswahaabah wa Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam) walikuwa wakiswali kwa siri. Walikuwa wakienda kwenye mabonde ya Makka Mukarramah kuswali ili Swalah zao zibaki siri kwa makafiri (na ili waokoke na mateso ya makafiri). Wakati mmoja, wakati Sa’d (Radhiya Allaahu ‘anhu) alikuwepo pamoja na …

Soma Zaidi »