Kupokea jina la Al-Fayyadh kutoka kwa Mtume (Sallallahu alaihi wasallam)

Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alimpa Talhah (Radhiya Allaahu ‘anhu) cheo cha Talhah Al-Fayyaadh (mtu mkarimu sana) mara kadhaa. Ifuatayo ni tukio moja kama hilo: Wakati wa vita vya Zi Qarad, Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) alipita karibu na kisima cha Baisaan. Maji ya kisima hiki yalijulikana kuwa machungu. Mtume (Sallallahu alaihi …

Soma Zaidi »

Dalili Za Qiyaamah 3

Dalili Ndogo Kuongezeka Kabla ya Dalili Kubwa Wakati wa kuzitazama dalili ndogo za Qiyamah zilizoandikwa katika Hadith, mtu hutambua kwamba ni kichocheo cha kuja kwa dalili kubwa. Kwa hivyo, kwa kweli, dalili ndogo zitaongezeka kwa wingi, hadi mwishoni zitafikia kilele kwa kuja kwa dalili kubwa. Katika hadith fulani, Rasulullah (Sallallahu …

Soma Zaidi »

Talhah (Radhiya Allaahu ‘anhu) Akitimiza Ahadi Yake

Talhah (Radhiya Allaahu ‘anhu) anaripoti: Maswahaabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) siku moja walimwambia bedui mmoja, “Nenda ukaulizie kutoka kwa Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) kuhusu nani Allah Ta’ala Anayemkusudia (katika Aya ifuatayo ya Qur’an Majeed) “Miongoni mwao (Maswahaba) wapo waliotimiza ahadi zao (kwa Allah Ta’ala wa kubaki imara kwenye uwanja wa vita …

Soma Zaidi »

Fadhila za Jumu’ah 2

Siku Ambayo Ina Muda Maalum wa Kukubalika Anas bin Maalik (radhiyallahu anhu) anaripoti: Siku ya Jumu’ah iliwasilishwa kwa Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam). Jibreel (alaihis salaam) alikuja kwa Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam). Katika kiganja chake kulikuwa na kitu kinachofanana na kioo cheupe, na katikati ya kioo kulikuwa na doa jeusi. Mtume …

Soma Zaidi »

Talhah (Radhiyallahu ‘anhu) katika Vita vya Uhud

Jaabir bin Abdillah (Radhiya Allaahu ‘anhu) anasimulia: Siku ya Uhud, Maswahaba walipoanza kukimbia kutoka kwenye uwanja wa vita, Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) aliachwa peke yake mahali fulani na maswahaabah kumi na mbili tu waliokuwepo pamoja naye. Miongoni mwa maswahaabah kumi na mbili alikuwepo Talhah ibn Ubaydillah (Radhiya Allaahu ‘anhu). Wakati …

Soma Zaidi »

Uislamu wa Talha bin Ubaidillah (Radhiya Allaahu ‘anhu)

Siku ambayo Abu Bakr Siddeeq (Radhiya Allaahu ‘anhu) aliposilimu, alianza kuwalingania watu kwenye Uislamu. Allah Ta’ala alimfanya kuwa sababu ya Maswahaabah (Radhiya Allaahu ‘anhum) wengi kuingia katika Uislamu. Miongoni mwa maswahaabah waliosilimu kupitia kwa Abu Bakr Siddiq (Radhiya Allaahu ‘anhu) ni Talhah bin Ubaidillah (Radhiyallahu ‘anhu). Talhah (Radhiya Allaahu ‘anhu) …

Soma Zaidi »

Dalili Za Qiyaamah 2

Makusudio ya Kubainisha Alama za Qiyaamah kwa Ummah Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) ameufahamisha Ummah dalili nyingi ndogo ndogo na kubwa zitakazojitokeza kabla ya Qiyaamah. Dalili nyingi ndogo tayari zimeshuhudiwa katika karne zilizopita, na pia dalili nyingi hizi zikishuhudiwa leo. Aalim na Muhaddiyth mkubwa, ‘Allaamah Qurtubi (Rahimahullah), ametaja sababu mbili za …

Soma Zaidi »

Ukarimu Wa Talhah (Radhiya Allaahu ‘anhu)

Ali bin Zayd (rahimahullah) anasimulia kwamba wakati fulani, Bedui mmoja alimwendea Talhah (Radhiyallahu ‘anhu) ili kuomba msaada kutoka kwake. Bedui huyo alikuwa ni ndugu wa Talhah (Radhiya Allaahu ‘anhu) na alipowasilisha ombi lake, alimuuliza kupitia uhusiano wa kindugu ambao wote wawili walishiriki baina yao. Talha (Radhiya Allaahu ‘anhu) akajibu, ‘Kabla …

Soma Zaidi »

Tafseer Ya Surah Naba

Kuhusu nini wanaulizana? Kuhusu tukio kubwa ambalo wanakhtalifiana? La! Hivi karibuni watakuja kujua. Tena, La! Hivi karibuni watakuja kujua. Je! Hatukuifanya ardhi kuwa kama tandiko, na milima kuwa kama vigingi? Na tumekuumbeni wawili wawili, na tukaufanya usingizi wenu kuwa mahali pa kupumzika, na tukaufanya usiku kuwa ni vazi, na tukaufanya mchana kuwa ni wa kuchumia rizki? Na tumejenga juu yenu mbingu saba zenye nguvu; na tumeiumba taa inayo ng'aa (jua), na tumeteremsha kutoka kwenye mawingu maji kwa wingi, na tukatoa humo nafaka na mimea, na mabustani yenye mimea mizuri.

Soma Zaidi »

Fadhila za Jumu’ah

Kusamehewa Madhambi Kwa Kuswali Jumu’ah Imepokewa kutoka kwa Abu Hurairah (radhiyallahu anhu) kwamba Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) amesema: “Madhambi yaliyotendwa baina ya Jumu’ah mbili, maadamu si madhambi makubwa, yatasamehewa na Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’alah) (kwa kuswali Jumu’ah zote mbili).[1] Siku Maalum ya Waumini Ibnu Abbaas (radhiyallahu anhuma) anasimulia kwamba Mtume …

Soma Zaidi »