Katika Uislamu, kila tendo jema na tendo la haki lina uwezo kumunganisha mtu na Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’alah) na kumpatia malipo huko Akhera. Hata hivyo, kuna baadhi ya matendo maalum ambayo yana umuhimu maalum mbele ya Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’alah) na yanaweza kuwa njia ya mtu kupata wema wa dini …
Soma Zaidi »Hofu Ya Talhah (Radhiya Allaahu ‘anhu) kwamba Mali ya Dunia isimfanye Kuto kumcha Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’alah)
Wakati mmoja, Talhah (Radhiya Allaahu ‘anhu) alipokea dirham laki saba kutoka Hadhramawt. Usiku ule, alipopumzika ili alale, hakutulia, akigeuka huku na huko. Mke wake kuona wasiwasi wake, aliuliza, “Ni nini kinakusumbua?” Akajibu, “Mtu atawezaje kumfikiria Mola wake wakati ana mali nyingi nyumbani kwake? (yaani nahofia kuwa mali hii itasababisha nighafilike …
Soma Zaidi »Dalili Za Qiyaamah 1
Ndani ya hadith Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alikuwa ametabiri matukio yatakayotokea kabla ya Qiyaamah. Aliutahadharisha ummah juu ya mitihani na misukosuko mbalimbali ambayo itawakumba katika sehemu tofauti na nyakati tofauti duniani. Pia aliwaonyesha njia ya uongofu na wokovu kupitia fitnah hizi. Huu ndio uzuri na ubora wa Dini ya Uislamu, …
Soma Zaidi »Jumu’ah
Siku ya Jumu’ah ina umuhimu mkubwa katika Uislamu. Ni miongoni mwa neema kubwa za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’alah) juu ya ummah huu ni sifa adhimu ya Uislamu. Amesema Mtume (sallallahu alaihi wasallam): “Siku ya Jumu’ah ni sayyidul ayyaam (yaani kiongozi wa siku zote na ni siku kubwa zaidi (kuliko siku …
Soma Zaidi »Talhah (radhiyallahu anhu) katika Vita vya Uhud
Zubair bin Awwaam (radhiyallahu anhu) anaripoti kwamba katika tukio la Uhud, Mtume (sallallahu alaihi wasallam) alivaa vazi la kivita mara mbili. Wakati wa vita, Mtume (sallallahu alaihi wasallam) alikusudia kupanda juu ya jabali lakini kutokana na uzito wa zile vazi mbili, hakuweza kufanya hivyo. Kwa hiyo alimwomba Talhah (radhiyallahu anhu) …
Soma Zaidi »Sunnat Na Adabu Za Kuamkiana (Kutoa Salaam) 8
28. Waislamu wawili wanapokutana, basi baada ya kutoa salamu, wafanye musaafahah (wapeane mikono). Imepokewa kutoka kwa Abdullah bin Mas’uud (radhiyallahu anhu) kwamba Mtume (sallallahu alaihi wasallam) amesema: “(Wanapokutana Waislamu wawili basi) ukamilisho wa maamkiano yao ni kwamba wafanye musaafahah wao kwa wao.”[1] 29. Wakati wa kufanya musaafaha ni sunna kufanya …
Soma Zaidi »Nafasi Ya Juu Ya Abu Ubaidah (Radhiya Allaahu ‘anhu) Mbele Ya Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu)
Baada ya kufariki kwa Mtume (Sallallahu alaihi wasallam), Ma answaar walikuwa wamekusanyika huko Thaqifah Bani Saa’idah (bustani ya matunda ya Bani Saa’idah) kumchagua Khaleefah mpia kutoka miongoni mwao. Wakati huo, Abu Bakr na Umar (radhiyallahu anhuma) walikuwa nyumbani kwa Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) na walikuwa hawajui kinachoendelea. Wakiwa nyumbani, Umar …
Soma Zaidi »Sunnat Na Adabu Za Kuamkiana (Kutoa Salaam) 7
26. Ni adabu kwamba mtu anapotembea na mwingine amekaa, basi anayetembea aanze kutoa salamu wa kwanza. Vile vile, wakati mtu mmoja anapopanda mnyama na mtu mwingine anatembea, basi yule ambaye kampanda mnyama aanze kutoa salamu wa kwanza. Na hivyo, vijana wanapaswa kuwasalimia wazee kwanza, na kikundi kidogo (wale ambao ni …
Soma Zaidi »Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) Akiuonyesha Ummah Nafasi Tukufu Ya Abu Ubaidah (Radhiya Allaahu ‘anhu)
Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) wakati fulani alikua amekaa pamoja na Abu Bakr (Radhiya Allaahu ‘anhu), Umar (Radhiya Allaahu ‘anhu), Abu Ubaidah (Radhiyallahu ‘anhu) na Maswahaba wengineo (Radhiyallahu ‘anhum) na kinywaji kikaletwa kwa Nabi (Sallallahu alaihi wasallam). Nabi (Sallallahu alaihi wasallam) alichukua kinywaji hicho mkononi mwake na akampa Abu Ubaidah (Radhiyallahu …
Soma Zaidi »Sunnat Na Adabu Za Kuamkiana (Kutoa Salaam) 6
18. Ukiingia kwenye mkusanyiko wenye mazungumzo au majadiliano ya Dini inafanyika, hupaswi kutoa salaam kwa sababu hili litamsumbua mwenye kuongea pamoja na wale waliohudhuria mkusanyiko huo. 19. Ikiwa mtu amezama katika mazungumzo au anajihusisha na baadhi ya mambo basi ni bora mtu asimsalimie. Lakini, ikiwa mtu anajua kwamba hatokuwa na …
Soma Zaidi »