Ushujaa wa Ali (radhiya allaahu ‘anhu)

Wakati wa Vita vya Uhud, Ali (radhiyallahu ‘anhu) alionyesha ujasiri na ushujaa wa hali ya juu katika kupigana na maadui. Hivyo, yeye binafsi alihusika kuwaua viongozi wanne wa Maquraishi, miongoni mwao akiwa ni Talhah bin Abi Talhah. Baada ya vita, alimkabidhi upanga wake kwa mke wake mheshimiwa, Faatimah (radhiya allaahu …

Soma Zaidi »

Fadhila za Dua

Anayefanya Dua Siku zote Anafaidi Abu Sa’eed Khudri (radhiyallahu ‘anhu) anasimulia kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema, “Muislamu yoyote akimuomba Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) na kumnyenyekea, na dua yake haina dhambi yoyote (yaani kuomba jambo lolote lisiloruhusiwa) au kukata mahusiano ya kifamilia, Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) atamjaalia moja katika mambo …

Soma Zaidi »

Mapenzi ya Ali (radhiya allaahu ‘anhu) kwa Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam)

Wakati mmoja, Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alikuwa hana chakula na kuhisi njaa. Wakati Ali (radhiya allaahu ‘anhu) alipopata habari kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alikuwa akipatwa na njaa, mara moja moyo wake ulijaa na wasiwasi. Hayo yalikuwa mapenzi yake kwa Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) kiasi kwamba hakuweza kupumzika huku akijua …

Soma Zaidi »

Fadhila za Dua

Silaha Ya Muumini Ali (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema, “Dua ni silaha ya Muumini, nguzo ya Dini, na nuru ya mbingu na ardhi.”[1] Dua Ni Asili ya Ibaadah Anas (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema, “Dua ndio asili ya ibaadah.”[2] Allah Ta’ala Hufurahishwa …

Soma Zaidi »

Dua ya Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) kwa Ali (radhiya allaahu ‘anhu) wakati wa Kumtuma kwenda Yemen

Ali (radhiya allaahu ‘anhu) anaripoti: Rasulullah (sallallahu ‘alahi wasallam) alinituma kama waziri wake kwenda Yemen. Kabla ya kuondoka, nilimwambia, “Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu (sallallahu ‘alaihi wasallam)! Unanipeleka kwa watu ambao ni wakubwa kuliko mimi. Zaidi ya hayo, mimi ni kijana na sina ufahamu wowote katika uwanja wa Qadhaa (mambo …

Soma Zaidi »

Dua

Dua ni njia ambayo mja huchota kutoka katika hazina zisizo na mipaka za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala). Kuna fadhila nyingi zilizoripotiwa ndani ya Hadith kwa wale wanao omba dua. Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema kwamba dua ni asili ya ibaadah zote.[1]  Katika Hadith nyingine, Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam) ametaja kuwa …

Soma Zaidi »

Kumtambua Allah Ta’ala

Allah Ta’al Ndiye Muumba na Mlinzi wa kila kiumbe katika ulimwengu. Kila kitu katika ulimwengu, iwe ni galaksi, mfumo wa jua, nyota, sayari, au ardhi na kila kilichomo ndani yake, ni viumbe vya Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala). Yule anayetafakari juu ya ukubwa na uzuri wa viumbe hawa wote basi afikirie …

Soma Zaidi »

Kununua Ardhi kwa ajili ya Upanuzi wa Masjid-ul-Haram

Wakati mmoja, Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alimwendea mtu fulani huko Makka Mukarramah na kumwambia, “Ewe fulani! Je, utaniuzia nyumba yako, ili nipanue eneo la msikiti karibu na Al-Ka’ba, na kwa malipo ya tendo hili jema, nitakudhaminia kasri katika Jannah (yaani zaidi ya pesa utakazopokea ya nyumba hii)?” Yule mtu akajibu, …

Soma Zaidi »

Tafseer Ya Surah Ikhlaas

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ قُلْ هُوَ اللَّهُ أَحَدٌ ‎﴿١﴾‏ اللَّهُ الصَّمَدُ ‎﴿٢﴾‏ لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُولَدْ ‎﴿٣﴾‏ وَلَمْ يَكُن لَّهُ كُفُوًا أَحَدٌ ‎﴿٤﴾‏ Sema (Ewe Muhammad (Sallallahu ‘alaihi wasallam)), Yeye – Allah Ta’ala – ni Mmoja na wa Pekee (katika nafsi yake na sifa Zake). Allah Ta’ala anahitajika kwa wote (viumbe), hali yeye amhitaji yoyote. Hakuzaa, wala …

Soma Zaidi »

Sura Maalum Kwenye Nyakati na Matukio Mbalimbali 5

10. Soma Sura Fatiha na Sura Ikhlaas kabla ya kulala. Anas (radhiyallahu ‘anhu) anasema kwamba Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema, “(Wakati wa kulala,) unapoweka ubavu wako juu ya kitanda, na ukasoma Sura Faatihah na Sura Ikhlaas, basi utasalimika na kila kitu isipokuwa kifo.”[1] 11. Soma Surah Zumar na Surah Bani …

Soma Zaidi »