Tafseer Ya Surah Ikhlaas

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ قُلْ هُوَ اللَّهُ أَحَدٌ ‎﴿١﴾‏ اللَّهُ الصَّمَدُ ‎﴿٢﴾‏ لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُولَدْ ‎﴿٣﴾‏ وَلَمْ يَكُن لَّهُ كُفُوًا أَحَدٌ ‎﴿٤﴾‏ Sema (Ewe Muhammad (Sallallahu ‘alaihi wasallam)), Yeye – Allah Ta’ala – ni Mmoja na wa Pekee (katika nafsi yake na sifa Zake). Allah Ta’ala anahitajika kwa wote (viumbe), hali yeye amhitaji yoyote. Hakuzaa, wala …

Soma Zaidi »

Sura Maalum Kwenye Nyakati na Matukio Mbalimbali 5

10. Soma Sura Fatiha na Sura Ikhlaas kabla ya kulala. Anas (radhiyallahu ‘anhu) anasema kwamba Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema, “(Wakati wa kulala,) unapoweka ubavu wako juu ya kitanda, na ukasoma Sura Faatihah na Sura Ikhlaas, basi utasalimika na kila kitu isipokuwa kifo.”[1] 11. Soma Surah Zumar na Surah Bani …

Soma Zaidi »

Kuandaa Vifaa katika Msafara wa Tabook

Abdur Rahmaan bin Khabbaab (radhiya allaahu ‘anhu) anasimulia yafuatayo: Nilikuwepo wakati Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alipokuwa akiwahimiza Maswahabah (radhiyallahu ‘anhum) kuliandaa jeshi na kuchangia katika msafara wa Tabook. Katika tukio hilo, ‘Uthmaan (radhiya allaahu ‘anhu) alisimama na kusema, “Ewe Mtume wa Allah (Sallallahu ‘alaihi wasallam)! Ninajitolea kuchangia ngamia mia moja …

Soma Zaidi »

Sura Maalum Kwenye Nyakati na Matukio Mbalimbali 4

8. Soma Surah Kahf siku ya Ijuma. Ibnu Umar (radhiyallahu anhuma) anasimulia kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema: “Mwenye kusoma Surah Kahf siku ya ijuma, nuru (mwanga) hutoka chini ya miguu yake na kupanuka hadi kufika angani. Nuru hii itan’gaa siku ya Qiyaamah, na madhambi yake yote (madogo) atakayofanya katikati …

Soma Zaidi »

Wasiwasi Wa Kuulizwa Akhera

Wakati mmoja, ‘Uthmaan (radhiya allaahu ‘anhu) aliingia kwenye nyumba ya mnyama na akamkuta mtumwa wake akimlisha chakula ngamia. Katika kukagua malisho, ‘Uthmaan (radhiya allaahu ‘anhu) hakufurahishwa na jinsi mtumwa wake alivyoitayarisha chakula na hivyo akamfinya sikio lake. Baada ya muda kidogo na kuchunguza matendo yake, ‘Uthmaan (radhiya allaahu ‘anhu) aliingiwa …

Soma Zaidi »

Sura Maalum Kwenye Nyakati na Matukio Mbalimbali 3

6. Soma Surah Sajdah kabla ya kulala. Jaabir (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alikuwa halali mpaka asome Surah Sajdah na Surah Mulk.[1] Khaalid bin Ma’daan (rahimahullah), ambae ni Taabi‘i, ametaja yafuatayo:“Hakika Sura Sajdah itabishana kaburini kwa kumtetea mwenye kuisoma. Itasema, ‘Ewe Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala)! Ikiwa nipo …

Soma Zaidi »

Qunoot

4. Jinsi ya kutekeleza rakaa tatu za Witr ni kwamba utaswali rakaa mbili kwanza na kutoa salaam. Baada ya hapo utaswali rakaa moja. Ukipenda unaweza kuswali rakaa mbili na kukaa kwa ajili ya tashahhud. Kisha utasimama na kutekeleza rakaa ya tatu. Katika hali zote mbili, Qunuut itasomwa katika rakaa ya …

Soma Zaidi »

Fadhila Kumi Maalum Za ‘Uthmaan (radhiya allaahu ‘anhu)

Abu Thowr (rahimahullah) anasimulia kwamba siku moja alikuja kwa ‘Uthmaan (radhiya allahu ‘anhu) na kumsikia akitaja yafuatayo wakati ukosoaji usio sahihi ulipokuwa ukitolewa dhidi yake. Alisema: Kuna mema kumi ambayo nimeyalinda kwa Allah Taala na kwa kila amali natarajia kupata malipo ya Akhera; 1) Nilikuwa mtu wa nne kusilimu. 2) …

Soma Zaidi »

Qunoot

3. Ni sunna kuswali Witr kila siku katika kipindi chote cha mwaka. Swala ya Witr itatekelezwa baada ya kuswali Fardh na Sunnah za Swalah ya Esha. Kwa mwaka mzima, mtu anaposwali Witr, hatosoma Qunoot. Lakini, ni sunna kusoma Qunout kwenye Witr katika kipindi cha pili ya Ramadhaan (tangu 15 Ramadhani …

Soma Zaidi »

Hofu Ya Uthman (radhiyallahu ‘anhu) kwa ajili ya Akhera

Haani (rahimahullah), mtumwa aliyeachwa huru wa ‘Uthmaan (radhiya allaahu ‘anhu), anataja kwamba wakati ‘Uthmaan (radhiya allaahu ‘anhu) anaposimama kaburini, alikuwa akilia sana hadi ndevu zake zikilowa kwa machozi yake. Mtu mmoja akamuuliza, “Tunaona kwamba unapokumbuka Jannah na Jahannam na kuzijadili, hauathiriki hadi unaanza kulia, lakini unaposimama kaburini tunakuona unaingiwa na …

Soma Zaidi »