Kabla ya kulala, tunafundishwa kusoma dua za masnoon na kumdhukuru Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’alah). Miongoni mwa dua za mchana kabla ya kulala ni dua ifuatayo: اَللّٰهُمَّ بِاسْمِكَ أَمُوْتُ وَأَحْيٰى Ee Mwenyezi Mungu, kwa jina lako nitakufa na kuishi. Katika dua hii, usingizi umefanishwa na kifo, kutokana na ukweli kwamba wakati …
Soma Zaidi »
Alislaam Juhudi za Kuleta uislam ndani ya maisha yetu