Monthly Archives: February 2026

Dua Na Adhkaar Kabla Ya Kulala 2

Dua ya Tano بِاسْمِكَ رَبِّ وَضَعْتُ جَنْبِيْ وَبِكَ أَرْفَعُهُ إِنْ أَمْسَكْتَ نَفْسِيْ فَارْحَمْهَا وَإِنْ أَرْسَلْتَهَا فَاحْفَظْهَا بِمَا تَحْفَظُ بَهِ عِبَادَكَ الصَّالِحِيْنَ Kwa jina Lako, ewe mola wangu, naweka ubavu wangu (kitandani), na kwako (yaani kwa jina lako na usaidizi) ninauinua (wakati wa kuamka). Ukiichukua nafsi yangu (katika usingizi wangu) basi …

Soma Zaidi »