Monthly Archives: November 2023

Ushujaa Wa Ali (radhiyallahu ‘anhu) Katika Vita Vya Khaibar

Katika tukio la Khaibar, baada ya Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) kukabidhi bendera ya Uislamu kwa Ali (radhiya allaahu anhu), Ali (radhiyallahu anhu) aliliongoza jeshi la Maswahaabah (radhiyallahu anhu) hadi kwenye ngome ya Qamoos. Walipokaribia ngome, shujaa mmoja wa kiyahudi, jina lake Marhab, alitoka ili kuwapinga (waislamu). Marhab alikuwa shujaa maarufu …

Soma Zaidi »

Hofu Ya Ali (radhiya allaahu ‘anhu) Na Akhera

Kumail ibn Ziyad (rahimahullah) anaripoti yafuatayo: Wakati mmoja, nilifuatana na Ali (radhiya allaahu ‘anhu) alipokuwa akitoka katika mji wa Kufah na kuelekea Jabbaan (kijiji nje ya Kufah). Alipofika Jabbaan, Ali (radhiya allaahu ‘anhu) aligeuka kuelekea makaburini na akaita, “Enyi wakazi wa makaburini! Enyi watu ambao miili yenu imeoza! Enyi watu …

Soma Zaidi »

Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) Amemchagua Ali (radhiya allaahu ‘anhu) Kuisimamia Madinah Munawwarah

Katika tukio la Vita vya Tabook, wakati Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alipokuwa anaondoka kutoka Madinah Munawwarah, alimchagua Ali (radhiya allaahu ‘anhu) kusimamia mambo ya Madinah Munawwarah akiwa hayupo. Kwa hiyo, kwa maelekezo ya Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam), Ali (radhiya allaahu ‘anhu) hakutoka na jeshi, bali alibakia Madinah Munawwarah. Baada ya …

Soma Zaidi »

Tafseer Ya Surah Falaq Na Surah Naas

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ الْفَلَقِ ‎﴿١﴾‏ مِن شَرِّ مَا خَلَقَ ‎﴿٢﴾‏ وَمِن شَرِّ غَاسِقٍ إِذَا وَقَبَ ‎﴿٣﴾‏ وَمِن شَرِّ النَّفَّاثَاتِ فِي الْعُقَدِ ‎﴿٤﴾‏ وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ ‎﴿٥﴾‏ Sema (Ewe Muhammad (sallallahu ‘alaihi wasallam): Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko, na shari ya kila alichokiumba, na shari ya giza (la usiku) linapoingia, na shari ya …

Soma Zaidi »

Fadhila za Dua

Malaika Akimuombea Dua Anayemuombea Ndugu Yake Dua Abud Dardaa (radhiyallahu ‘anhu) anasema kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alikuwa akisema: “Dua anayoifanya Muislamu kwa ajili ya ndugu yake wakati hayupo inakubaliwa. Kila anapoomba dua kwa ajili ya wema ya ndugu yake, kuna Malaika ambaye amechaguliwa kusimama kichwani kwake. Malaika huyo husema …

Soma Zaidi »

Ushujaa wa Ali (radhiya allaahu ‘anhu)

Wakati wa Vita vya Uhud, Ali (radhiyallahu ‘anhu) alionyesha ujasiri na ushujaa wa hali ya juu katika kupigana na maadui. Hivyo, yeye binafsi alihusika kuwaua viongozi wanne wa Maquraishi, miongoni mwao akiwa ni Talhah bin Abi Talhah. Baada ya vita, alimkabidhi upanga wake kwa mke wake mheshimiwa, Faatimah (radhiya allaahu …

Soma Zaidi »

Fadhila za Dua

Anayefanya Dua Siku zote Anafaidi Abu Sa’eed Khudri (radhiyallahu ‘anhu) anasimulia kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema, “Muislamu yoyote akimuomba Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) na kumnyenyekea, na dua yake haina dhambi yoyote (yaani kuomba jambo lolote lisiloruhusiwa) au kukata mahusiano ya kifamilia, Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) atamjaalia moja katika mambo …

Soma Zaidi »