Uncategorized

Dhul Hijjah – Mwezi wa Hajj na Kuchinja

Dhul Hijjah ni mwezi wa mwisho wa kalenda ya Kiislamu. Ingawa mwezi mzima wa Dhul Hijjah ni mtukufu na wenye baraka, siku kumi za kwanza za Dhul Hijjah zina utukufu na fadhila kubwa zaidi. Kuhusiana na siku kumi za mwanzo za Dhul-Hijjah, Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema: “Siku bora zaidi …

Soma Zaidi »

Kusherekea Siku Ya Valentine

Swali: Je, inajuzu kwa Muislamu kusherekea siku ya Valentine? Jibu: kusherekea siku ya valentine ni desturi ya makafiri na ni sehemu ya utamaduni wa makafiri. Tumeamrishwa katika hadithi mubaraka kujiepusha na kuwaiga makafiri katika mila na utamaduni wao. Rasulullah (Sallallahu ‘alaihi wasallam) amesema: “yoyote atakae iga watu Dubai atakuwa miongoni …

Soma Zaidi »

Kusherehekea mwaka mpya

Swali: je inajuzu kutakiana “heri ya mwaka mpya” mwaka mpya wa kiingereza unapoanza? Baadhi ya watu wanasema kwamba sherehe ya mwaka mpya ina maana fulani ya ku kufuru. Je hii ni sahihi? jibu: sherehe ya mwaka mpya ni sherehe ya “kidini” ya makafiri ambayo inahusishwa na imani ya ukafiri na …

Soma Zaidi »