Sunna Na Adabu Za Kufanya Udhu

Njia Za Sunna Za Kufanya Udhu – Sehemu Ya Nane

24. Usitumie maji vibaya ukiwa unafanya udhu.

Sayyidina Abdullah Bin Amr (radhiyallahu anhu) ameripoti kwamba Nabii wa Allah (sallallahu alaih wasallam) alipita kwa Sayyidina Sa'd (radhiyallahu anhu) akiwa anafanya udhu. Nabii wa Allah (sallallahu alaih wasallam) alimuuliza, "huu uharibifu ni wanini (ya maji kwenye udhu wako)?" Alijibu, "kwani kuna uharibifu kwenye udhu?" Nabii wa Allah (sallallahu alaih wasallam) alimjibu, "ndiyo hata kama unafanya udhu ukingoni mwa mto (pia, kuwa makini kutoharibu maji).

Soma Zaidi »

Njia Za Sanna Za Kufanya Udhu -Sehemu Ya saba

20. Osha viungo vya upande wa kulia kabla viungo vya upande wa kushoto.[1] عن أبي هريرة رضي الله عنه قال قال رسول الله صلى الله عليه وسلم إذا لبستم وإذا توضأتم فابدءوا بأيامنكم (سنن أبي داود، الرقم: ٤١٤١)[2] Sayyiduna Abu Hurairah (radhiyallahu anhu) ameripoti kwamba Sayyiduna Rasulullah (sallallahu alaih wasallam) …

Soma Zaidi »

Njia Za Suna Za Kufanya Udhu – Sehemu Ya Tano

15. Fanya masaha ya masikio mara tatu na maji mengine. Pindi unapofanya masaha, tumia kidole cha shahada kufanya masaha ndani ya sikio na tumia kidole gumba kufanya masaha nje ya sikio (nyuma ya sikio). Baada ya hapo chukua maji mengine na ulowanishe kidole cha mwisho au kidole cha shahada. Alafu ingiza kidole cha mwisho au kidole cha shahada ndani ya sikio ili ufanye masaha ndani. Mwisho weka viganja vilivyolowa kwenye masikio.

Soma Zaidi »

Njia Za Suna Za Kufanya Udhu – Sehemu Ya Tatu

9. Soma dua ifuatayo wakati wowote wa kufanya udhu au baada ya udhu:[1] اَللّٰهُمَّ اغْفِرْ لِيْ ذَنْبِيْ وَوَسِّعْ لِيْ فِيْ دَارِيْ وَبَارِكْ لِيْ فِيْ رِزْقِيْ Ewe Allah subhaana wata’alah nisamehe madhambi yangu, zidisha upana ndani ya nyumba yangu na unipe baraka katika riziki yangu. عن أبي موسى الأشعري رضي الله …

Soma Zaidi »

Njia Za Suna Za Kufanya Udhu – Sehemu Ya Pili

6. Sukutuwa mdomo na weka maji puwani kwa pamoja mara tatu.

Njia ya kusukutua mdomo na upandishaji wa maji puani ni ifuatayo: kwanza, chukuwa maji katika kiganja cha mkono wa kulia. Alafu tumia baadhi ya maji, sukutua mara moja. Baada ya hapo tumia yaliyobaki kiganjani pandisha maji puani. Hii njia utairudia mara mbili, kwa kutumia kiganja kingine cha maji kila mara.

Soma Zaidi »

Njia Za Suna Za Kufanya Udhu – Sehemu Ya Pili

4. Osha mikono yote mpaka kwenye vifundo mara tatu

Sayyidina Humraan (rahimahullah), mtumwa aliye huru wa Sayyidina Uthmaan (radhiyallahu ‘anhu) ameripoti kuwa Sayyidina Uthmaan (radhiyallahu ‘anhu)aliomba aletewe maji (kuonyesha watu jinsi gani ya kuchukuwa udhu). Kisha alianza kutawadha kwa kuosha mikono (mpaka kwenye vifundo) mara tatu. (kwenye riwaya hii, iliyopatikana ndani ya Sahihi Bukhari, Sayyidina Uthmaan (radhiyallahu ‘anhu) kasema ” nilimuona Nabii wa Allah (sallallahu ‘alaihi wassallam) anafanya udhu kwa namna hii.)”

Soma Zaidi »