Njia Za Suna Za Kufanya Udhu – Sehemu Ya Pili

4. Osha mikono yote mpaka kwenye vifundo mara tatu[1]

عن حمران مولى عثمان أن عثمان بن عفان رضي الله عنه دعا بوضوء فتوضأ فغسل كفيه ثلاث مرات (صحيح مسلم، الرقم: ٢٢٦)[2]

Sayyidina Humraan (rahimahullah), mtumwa aliye huru wa Sayyidina Uthmaan (radhiyallahu ‘anhu) ameripoti kuwa Sayyidina Uthmaan (radhiyallahu ‘anhu)aliomba aletewe maji (kuonyesha watu jinsi gani ya kuchukuwa udhu). Kisha alianza kutawadha kwa kuosha mikono (mpaka kwenye vifundo) mara tatu. (kwenye riwaya hii, iliyopatikana ndani ya Sahihi Bukhari, Sayyidina Uthmaan (radhiyallahu ‘anhu) kasema ” nilimuona Nabii wa Allah (sallallahu ‘alaihi wassallam) anafanya udhu kwa namna hii.)”

5. Safisha mdomo (yaani ulimi, meno na juu ya ulimi) kwa kutumia miswaki. Pindi unatumia mswaki wa mti safisha meno kwa kuanzia kulia mpaka kushoto na safisha ulimi kwa kuanzia mbele mpaka-nyuma … kama hamna mswaki wa mti mtu atumie kitu kigumu na kitu ambacho kinachofanya kazi ya kusafisha mdomo mf: mswaki. Kwa kutumia kidole haitatosha kutimiza suna ya miswaki.[3]

NB: Ni makuruhu kwa mtu aliefunga kutumia miswaki baada ya zawaali. Kwa hivyo, inaruhusiwa na si makruhu kwa mtu aliefunga kutumia mswaki wa mti kabla ya muda wa zawaali.

عن عائشة رضي الله عنها قالت قال رسول الله صلى الله عليه وسلم تفضل الصلوة التي يستاك لها على الصلوة التي لا يستاك لها سبعين ضعفا (المستدرك على الصحيحين للحاكم، الرقم: ٥١٥)[4]

Sayyidina Aisha (radhiyallahu ‘anha) ameripoti kuwa Nabii wa Allah (sallallahu ‘alaihi wassallam) amesema, ” sala iliyoswaliwa baada ya kusafisha mdomo kwa kutumia mswaki ni bora mara sabini ina thawabu zaidi mara sabini kuliko sala iliyoswaliwa bila kutumia mswaki.


[1] واتفق الأصحاب على أن غسل الكفين سنة في أول الوضوء وهو سنة من سنن الوضوء (المجموع شرح المهذب ١/١٩٢)

وأما سنن الوضوء فكثيرة … الثالثة غسل الكفين قبل الوجه (روضة الطالبين ١/١٦٧-١٦٨)

[2] صحيح البخاري، الرقم: ١٦٤

[3] (وسننه) أي الوضوء أي ومن سنته (السواك) وهو لغة الدلك وآلته وشرعا استعمال عود أو نحوه كأشنان في الأسنان وما حولها … وسن كونه (عرضا) أي في عرض الأسنان ظاهرا وباطنا في طول الفم … أما اللسان فيسن أن يستاك فيه طولا … ويحصل (بكل خشن) مزيل للقلح طاهر كعود من أراك أو غيره أو خرقة أو أشنان لحصول المقصود بذلك لكن العود أولى من غيره والأراك أولى من غيره من العيدان (مغني المحتاج ١/١٦٣-١٦٤)

وأما سنن الوضوء فكثيرة إحداها السواك وهو سنة مطلقا ولا يكره إلا بعد الزوال لصائم وفي غير هذه الحالة مستحب في كل وقت ويتأكد استحبابه في أحوال … وعند الوضوء وإن لم يصل … ويحصل السواك بخرقة وكل خشن مزيل لكن العود أولى والأراك منه أولى … ولا يحصل بأصبع خشنة على أصح الأوجه … ويستحب أن يستاك عرضا (روضة الطالبين ١/١٦٧)

(ويمره على) كراسي (أضراسه) وأطراف أسنانه ليجلوها من التغير بصفرة أو غيرها (و) على (سقف حلقه بلطف) ليزيل الخلوف عنه (أسنى المطالب ١/٣٧)

ويستحب أن يمر السواك على سقف فمه بلطف وعلى كراسي أضراسه (مغني المحتاج ١/١٦٤)

[4] قال الحاكم: هذا حديث صحيح على شرط مسلم ولم يخرجاه وأقره الذهبي وقال على شرط مسلم

About admin

Check Also

Sunna Na Adabu Za Dua 8

19. Jiepushe na ulaji wa haramu au chakula chenye mashaka na kujihusisha na madhambi. Mtu …