Dini ya Uislamu imewasilisha sheria na maamrisho, na sunna na adabu, ili kumfundisha mwanadamu jinsi ya kuishi katika hali zote. Kama vile Dini ya Uislamu imetoa muongozo kwa mtu anapokuwa katika mji wake, vivyo hivyo imempa muongozo wa namna ya kujishughulisha anapokuwa safarini. Kwa maneno mengine, Dini ya Uislamu ni …
Soma Zaidi »
Alislaam Juhudi za Kuleta uislam ndani ya maisha yetu