1. Kabla ya kuanza safari (yaani kusafiri kwenda sehemu ambayo ni kilomita 78 au zaidi), mtu anatakiwa kuswali rakaa mbili. Swalaah hii inajulikana kama Swalaatus Safar. Mut’im bin Miqdaam (rahimahullah) anasimulia kwamba Mtume (Sallallahu alaihi wasallam) amesema: “Hakuna kitendo ambacho mtu anaweza kukiacha pamoja na familia yake kabla ya kuanza …
Soma Zaidi »Kusafiri
Dini ya Uislamu imewasilisha sheria na maamrisho, na sunna na adabu, ili kumfundisha mwanadamu jinsi ya kuishi katika hali zote. Kama vile Dini ya Uislamu imetoa muongozo kwa mtu anapokuwa katika mji wake, vivyo hivyo imempa muongozo wa namna ya kujishughulisha anapokuwa safarini. Kwa maneno mengine, Dini ya Uislamu ni …
Soma Zaidi »
Alislaam Juhudi za Kuleta uislam ndani ya maisha yetu