8. Wakati wa kula, mtu hapaswi kukaa kimya kabisa. Lakini, mtu hapaswi kuongelea mambo ambayo yatasababisha wengine kukereheshwa, kupta kichefuchefu au kupoteza hamu ya kula (k.m. kuongea kuhusu mtu kufa, kuumwa nk). 9. Ikiwa unakula na wengine na chakula ni kidogo, basi uwe mstaraabu na uhakikishe kuwa wengine pia wanaweza …
Soma Zaidi »Sunna na Adabu za kabla ya kula 3
4. Wakati wa kula, Mtukuze Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) kwa kusema “alhamdulillah”. Anas (Radhiyallahu anhu) anaripoti kwamba Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alisema, “Hakika Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) anafurahishwa na yule anayekula chakula, au anayekunywa maji, na humsifu Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) kwa kusema” alhamdulillah “. 5. Kula na vidole vitatu …
Soma Zaidi »Sunna na Adabu za kabla ya kula 2
7. Soma Bismillah au dua ifuatayo kabla ya kula. Ikiwa upo na familia yako, basi unaweza kuisoma dua kwa sauti kuwakumbusha. بِسْمِ اللهِ وَبَرَكَةِ اللهِ Kwa jina la Allah (Ta’ala), na kwa baraka za Allah (Ta’ala).[1] 8. Wakati wa kula, ama kaa na magoti yote mawili juu ya ardhi (katika …
Soma Zaidi »Sunna na Adabu za kabla ya kula 1
1. Daima hakikisha unakula chakula cha halaal. Jiepushe na kula chakula cha mashaka au cha Haraam.[1] 2. Kula na niya ya kupata nguvu ya kutimiza amri za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) na kushiriki katika ibada yake.[2] 3. Mtu anapaswa kukaa chini na kula. 4. Kutandika mkeka chini kabla ya kula. …
Soma Zaidi »Kula
Dini ya Uislamu ni Dini ya dunia nzima. Ni kwa nyakati zote, maeneo yote na watu wote. Ni kamili kama jinsi imemuonyesha mwanadamu njia ya kutimiza haki za Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) na haki za waja wa Allah Ta’ala. Kabla ya mtu kuingia ulimwenguni hadi atakapofariki, Uislamu imeweka sheria na …
Soma Zaidi »