Swalah Ya Wanaume

Qa’dah and Salaam

9. Usiinamishe au kutikisa kichwa wakati wa kutoa salaam. 10. Geuza uso wako pande zote mbili kwa kiasi ambacho mtu aliye nyuma ataweza kuona shavu lako.[1] 11. Baada ya salamu, soma  اَسْتَغْفِرُ الله mara tatu.[2] 12. Shiriki katika dua kwa sababu huu ni wakati wa kukubaliwa dua.[2] 13. Soma Tasbih …

Soma Zaidi »

Qa’dah na Salaam

7. Ikiwa ni qa’dah ya mwisho, basi soma tashahhud, Swalawaat Ebrahimiyyah na baada ya hapo fanya dua.[1] Swalawaat Ibrahimiyyah ni ifuatavyo:[2] اَللّٰهُمَّ صَلِّ عَلٰى مُحَمَّدٍ وَّعَلٰى اٰلِ مُحَمَّدٍ كَمَا صَلَّيْتَ عَلٰى إِبْرَاهِيْمَ وَعَلٰى اٰلِ إِبْرَاهِيْمَ  وَبَارِكْ عَلٰى مُحَمَّدٍ وَّعَلٰى اٰلِ مُحَمَّدٍ كَمَا بَارَكْتَ عَلٰى إِبْرَاهِيْمَ وَعَلٰى اٰلِ إِبْرَاهِيْمَ فِيْ الْعَالَمِيْنَ …

Soma Zaidi »

Qa’dah na Salaam

3. Soma dua ya Tashahhud.[1] اَلتَّحِيَّاتُ الْمُبَارَكَاتُ الصَّلَوَاتُ الطَّيِّبَاتُ لِلّٰهِ السَّلَامُ عَلَيْكَ أَيُّهَا النَّبِيُّ وَرَحْمَةُ اللّٰهِ وَبَرَكَاتُهُ سَلَامٌ عَلَيْنَا وَعَلٰى عِبَادِ اللّٰهِ الصَّالِحِيْن أَشْهَدُ أَنْ لَا إِلٰهَ إِلَّا اللهُ وَأَشْهَدُ أَنَّ مُحَمَّدًا رَّسُولُ اللّٰهِ Ibaadah zote za Kisomo zilizobarikiwa, ibaadah za kimwili ni za Allah Ta’ala. Amani ya Allah Ta’ala …

Soma Zaidi »

Rakaa ya pili

1. Unapoinuka kutoka kwenye sajdah, kwanza inua paji la uso na pua, kisha viganja na mwisho magoti. 2. Ukiwa unasimama kwa ajili ya rakaa ya pili, chukua usaidizi kutoka ardhini kwa kuweka mikono yako miwili juu yake.[1] 3. Tekeleza rakaa ya pili kama kawaida (isipokuwa Dua-ul Istiftaah).[2] Qa’dah na Salaam …

Soma Zaidi »

Jalsah

1. Katika mkao wa jalsah, weka viganja vyako kwenye mapaja yako na vidole vyako karibu na magoti yako.[1] 2. Hakikisha vidole vyako vimeunganishwa.[2] 3. Macho yako yawe yanaangalia kwenye sehemu ya kusujudu ukiwa kwenye jalsah.[3] 4. Weka mguu wa kulia ukiwa umesimama kwa usawa huku vidole vyake vya miguu vikikandamizwa …

Soma Zaidi »

Sajdah

7. Mikono usishikamane na upande wa mwili.[1] 8. Macho yawe yanaangalia sehemu ya kusujudu.[2] 9. Acha nafasi kati ya tumbo na mapaja.[3] 10. Weka miguu yote miwili chini na vidole vya miguu vikielekea kibla. Acha nafasi sawa Sawa na mkono mmoja kati ya miguu yako kwenye sajdah.[4] 11. Soma tasbeeh …

Soma Zaidi »

Sajdah

1. Soma takbira na bila kuinua mikono yako, Kisha nenda kwenye sajdah.[1] 2. Weka mikono (viganja) kwenye magoti huku ukiendelea kwenda kwenye sajdah.[2] 3. Kwanza weka magoti chini, kisha mikono (viganja), na mwisho paji la uso na pua kwa pamoja.[3] 4. Weka mikono yako chini kwa njia ambayo vidole na …

Soma Zaidi »

Ruku na I’tidaal

6. Hakikisha kwamba mikono imewekwa mbali na mwili.[1] 7. Soma tasbeeh ifuatayo mara tatu au idadi yoyote isiyo na maganyiko:[2] سُبْحَانَ رَبِّيَ الْعَظِيْم Utukufu ni wa Mola wangu Mkubwa 8. Baada ya kusoma tasbihi, simama kutoka kwenye rukuu huku ukisema tasmee’:[3] سَمِعَ اللهُ لِمَنْ حَمِدَهْ Allah Ta’ala Humsikia mwenye kumsifu …

Soma Zaidi »

Ruku na I’tidaal

1. Ukimaliza kusoma Surah Faatihah na Qiraat, tulia kidogo na kisha inua mikono (kama ilivyoelezwa katika takbeeratul ihraam) huku akisema takbira na kuingia katika rukuu kwa pamoja.[1] Kumbuka: Takbira ya intiqaaliyyah (takbira inayosomwa wakati wa kuhama kutoka mkao mmoja hadi mwingine) inapaswa kuanza mara tu mtu anapoanza kuhamia mkao unaofuata …

Soma Zaidi »

Qiyaam

15. Ikiwa unaswali fardhi za rakaa tatu au nne, basi katika rakaa ya tatu na ya nne utasoma tu Surah Faatiha. Hupaswi kusoma surah yoyote baada ya kusoma Surah Faatihah. Kumbuka: Katika rakaa ya tatu na ya nne ya swala ya fardh, Surah Faatihah itasomwa na imaam, muqtadi na munfarid …

Soma Zaidi »