Monthly Archives: January 2022

Dua baada ya Adhaan 2

2. Baada ya kusoma dua ya adhaan, dua ifuatayo inapaswa pia isomwe: أَشْهَدُ أَنْ لَّا إِلٰهَ إِلَّا اللهُ وَحْدَهُ لَا شَرِيْكَ لَهُ وَأَنَّ مُحَمَّدًا عَبْدُهُ وَرَسُوْلُهُ رَضِيْتُ بِاللهِ رَبًّا وَبِمُحَمَّدٍ رَسُوْلًا وَبِالْإِسْلَامِ دِيْنًا Nashuhudia kwamba hakuna mungu ila Allah subhaana wata’ala aliye peke na hana mshirika, na Sayyidina Muhammad (sallallahu …

Soma Zaidi »

Tafseer ya Sura Alam Nashrah

أَلَمْ نَشْرَحْ لَكَ صَدْرَكَ ﴿١﴾ وَوَضَعْنَا عَنكَ وِزْرَكَ ﴿٢﴾ الَّذِي أَنقَضَ ظَهْرَكَ ﴿٣﴾وَرَفَعْنَا لَكَ ذِكْرَكَ ﴿٤﴾ فَإِنَّ مَعَ الْعُسْرِ يُسْرًا ﴿٥﴾ إِنَّ مَعَ الْعُسْرِ يُسْرًا ﴿٦﴾ فَإِذَا فَرَغْتَ فَانصَبْ ﴿٧﴾ وَإِلَىٰ رَبِّكَ فَارْغَب. Je! hatukukupanulia kifua chako, na tukakuondolea mzigo wako ambao ungeliweza kukuvunja mgongo wako. Na tumelitukuza utukufu wako …

Soma Zaidi »

Kuzidisha kumswalia Nabii wa Allah (sallallahu ‘alaihi wasallam) kwenye siku ya Ijumaah

عن أبي هريرة رضي الله عنه قال : قال رسول الله صلى الله عليه وسلم : أكثروا الصلاة علي في الليلة الزهراء واليوم الأغر فإن صلاتكم تعرض علي (المعجم الاوسط للطبراني وسنده ضعيف لكن يتقوى بشواهده كما في القول البديع صـ 325) Abu Hurayrah (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba Rasulullah (sallallahu …

Soma Zaidi »

Dua baada ya Adhaan

1. Baada ya adhaan, mtu anatakiwa amswalie nabi wa Allah (sallallahu ‘alaihi wasallam) na baada ya hapo asome dua ifuatayo:[1] اَللّٰهُمَّ رَبَّ هٰذِهِ الدَّعْوَةِ التَّامَّةِ وَالصَّلَاةِ الْقَائِمَةِ آتِ مُحَمَّدًانِ الْوَسِيْلَةَ وَالْفَضِيْلَةَ وَابْعَثْهُ مَقَامًا مَّحْمُوْدًانِ الَّذِيْ وَعَدْتَّهُ إِنَّكَ لَاتُخْلِفُ الْمِيْعَادْ Ewe Allah, Mola wa wito huu mkamilifu na ulio thibiti Swalaah, …

Soma Zaidi »

Kumswalia Nabi wa Allah (sallallahu ‘alaihi wasallam) Wakati wa Kuamka kwa ajili ya Swala ya Tahajjud.

عن سيدنا عبد الله بن مسعود قال: يضحك الله إلى رجلين رجل لقي العدو وهو على فرس من أمثل خيل أصحابه فانهزموا وثبت فإن قتل استشهد وان بقي فذلك الذي يضحك الله إليه ورجل قام في جوف الليل لا يعلم به أحد فتوضأ فأسبغ الوضوء ثم حمد الله ومجده وصلى …

Soma Zaidi »

Kuitikia Adhaan

Adhaan ni miongoni mwa alama kuu za kiislamu. Wakati adhaan ina umuhimu mkubwa katika Dini, basi tunapaswa kuonyesha heshima kwa adhaan kwa kuijibu na kutojishughulisha pindi inapotolewa na mazungumzo yoyote ya kidunia. Fuqahaa wameandika kuwa ndivyo si sahihi kujihusisha na mazungumzo ya kidunia wakati wa adhana.[1] 1. Ukisikia adhaan, jibu …

Soma Zaidi »

Kumswalia Nabii wa Allah (sallallahu ‘alaihi wasallam) katika Swalah na Baada ya Swalah

عن أبي أمامة عن النبي صلى الله عليه وسلم قال: من دعا بهؤلاء الدعوات في دبر كل صلاة مكتوبة حلت له الشفاعة مني يوم القيامة اللهم أعط محمدا الوسيلة واجعله في المصطفين محبته، وفي العالين درجته وفي المقربين داره (المعجم الكبير للطبراني، الرقم: 7926، وفيه مطرح بن يزيد وهو ضعيف …

Soma Zaidi »

Namna ya Kutoa Adhaan ya Alfajiri

Ikiwa mtu atatoa Adhaan ya Alfajiri, basi atatoa adhaan kwa namna ile ile iliyoelezwa. Tofauti pekee ni kwamba mtu atasoma maneno yafuatayo mara mbili baada ya kusema حَيَّ عَلٰى الْفَلَاحْ (Hayya ‘alal falaah):[1] اَلصَّلَاةُ خَيْرٌ مِّنَ النَّوْمْ Swalaah ni bora kuliko usingizi. عن محمد بن عبد الملك بن أبي محذورة …

Soma Zaidi »

Kumswalia Nabii wa Allah (sallallahu ‘alaihi wasallam) wakati wa Kuingia na Kutoka Msikitini

عن عبد الملك بن سعيد بن سويد قال سمعت أبا حميد أو أبا أسيد الأنصارى يقول قال رسول الله صلى الله عليه وسلم إذا دخل أحدكم المسجد فليسلم على النبى صلى الله عليه وسلم ثم ليقل اللهم افتح لى أبواب رحمتك فإذا خرج فليقل اللهم إنى أسألك من فضلك. (أبو …

Soma Zaidi »

Kusherehekea mwaka mpya

Swali: je inajuzu kutakiana “heri ya mwaka mpya” mwaka mpya wa kiingereza unapoanza? Baadhi ya watu wanasema kwamba sherehe ya mwaka mpya ina maana fulani ya ku kufuru. Je hii ni sahihi? jibu: sherehe ya mwaka mpya ni sherehe ya “kidini” ya makafiri ambayo inahusishwa na imani ya ukafiri na …

Soma Zaidi »