Sunna Na Adabuza Za Dua 2

2. Unapoomba dua, inua mikono yako sambamba na kifua chako. Salmaan Faarsi (radhiyallahu ‘anhu) anasema kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema, “Hakika Allah Ta’ala ndiye mtukufu zaidi na mkarimu zaidi. Heshima yake ni kiasi kwamba anajisikia ni kinyume na ukubwa na rehma yake kumwachia yule anayeinua mikono yake kwa ajili …

Soma Zaidi »

Du’aa Maalum Ya Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam):

‘Aaishah binti Sa’d (radhiya allaahu ‘anha), binti wa Sa’d (radhiya Allaahu ‘anhu) ‘anhu), anasimulia yafuatayo kutoka kwa baba yake, Sa’d (radhiya allaahu ‘anhu): Wakati wa Vita vya Uhud, (wakati maadui waliposhambulia kutoka nyuma na Maswahabah (radhiya allaahu ‘anhum) wengi wakauawa kwenye uwanja wa vita,) Maswahabah (radhiya allaahu ‘anhum) hawakuweza kumpata …

Soma Zaidi »

Sunna Na Adabu Za Dua 1

1. Anza kuomba dua yako kwa kumtukuza Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) kisha umswalia Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam). Baada ya hapo, katika hali ya unyenyekevu na heshima zote, taja haja zako mbele ya Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’aala) Fadhaalah bin Ubaid (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba katika tukio moja, Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) …

Soma Zaidi »

Ndoto Ya Sa’d (radhiyallahu ‘anhu) Kabla ya Kusilimu

Sa’d (radhiya allaahu ‘anhu) anasimulia kwamba: Kabla ya kusilimu, niliota ndoto ambayo niliona niko gizani kabisa na kutokuona chochote. Ghafla, mwezi ukatokea ambalo ulianza kumulika usiku. Kisha nikaufuata huo mwanga hadi nikaufikia mwezi. Katika ndoto, niliona watu fulani ambao walikuwa wamenitangulia kuufikia mwezi. Nilimuona Zaid bin Haarithah, ‘Ali bin Abi …

Soma Zaidi »

Nyakati Ambapo Dua Zinakubaliwa

Wakati wa Adhaan na Wakati Majeshi Mawili Yanapokutana Katika Vita Sahl bin Sa’d (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema, “Kuna nyakati mbili ambazo dua hazikataliwi au mara chache sana dua zinazo ombwa katika nyakati hizi mbili hazitakubaliwa; wakati wa adhaan na wakati majeshi mawili yanapokutana vitani.”[1] Kati …

Soma Zaidi »

Allah Ta’ala – Anaye Ruzuku Viumbe Vyote

Wakati mmoja, kipindi cha Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam), kundi la Maswahabah (radhiyallahu anhum) kutoka kabila la Banu Al-Ash’ar walisafiri kutoka Yemen hadi Madinah Munawwarah kwa ajili ya hijrah. Walipofika kwenye mji uliobarikiwa wa Madinah Munawwarah, walikuta kwamba chakula chao walichokuja nacho kilikuwa kimekwisha. Hivyo, waliamua kumtuma mmoja wa masahaba kwa …

Soma Zaidi »

Ali (Radhiya Allaahu ‘anhu) Akitumwa Na Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) Kusawazisha Makaburi, Kuvunja Masanamu na Kufuta Picha

Ali (radhiya allaahu ‘anhu) anaripoti kwamba katika tukio moja, Rasulullah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alihudhuria janaazah la Sahaabi fulani. Baada ya hapo akawahutubia maswahaabah (radhiya allaahu ‘anhum) waliokuwepo na akasema: “Ni nani miongoni mwenu atakayerejea Madinah Munawwarah, na popote atakapoona sanamu yoyote atalivunja, na popote atakapoliona kaburi lililoinuliwa (juu ya ardhi, …

Soma Zaidi »

Watu Ambao Dua Zao Zinakubaliwa

Mtu Mgonjwa Umar (radhiyallahu ‘anhu) anasimulia kwamba Mtume (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema: “Unapokutana na mgonjwa basi muombe akuombee dua, kwa sababu dua yake ni kama dua ya Malaika (yaani kwa ajili ya ugonjwa huo madhambi zake yamesamehewa, kwa hiyo anafanana na Malaika kwa kutokuwa na madhambi, na ndo maana dua …

Soma Zaidi »

Mjadala kati ya Ibrahim (alaihis salaam) na Namrood

Namrood alikuwa mfalme dhalimu, dhalimu ambaye alikuwa amedai kuwa yeye ni mungu na akawaamuru watu kumwabudu. Ibrahim (alaihis salaam) alipokwenda kwa Namroud na kuumpa da’wah kumwaamini Allah Ta’ala, Namroud, kutokana na kiburi na ukaidi wake, hakukubali na akamuuliza Ibrahim (alaihis salaam) Mola wake anaweza kufanya nini. Ibrahim (alaihis salaam) akamwambia …

Soma Zaidi »