Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) Akieneza Elimu ya Dini.

Wakati Ali (Radhiya Allaahu ‘anhu) alipoingia ndani ya mji wa Kufa na kushuhudia ujuzi wa wakazi wake, alisema, “Wanafunzi wa Abdullah (bin Mas’uud) ni mwanga wa mji huu (yaani katika kueneza elimu ya Dini na kuwaongoza watu wa Kufah).” (Tabaqaatul Kubra 6/90)

About admin