Zul Hijjah ni miongoni ya miezi minne takatifu ndani ya kalenda ya Kiisilamu. Miezi minne takatifu ni Dhul Qa’dah, Dhul Hijjah, Muharram na Rajab. Thawabu za matendo mema yatakayofanywa katika hizi miezi zitaongezeka, na dhambi zilizofanywa katika miezi hizi pia huhesabiwa kuwa mabaya zaidi. Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) anasema: إِنَّ …
Soma Zaidi »Kumtambulisha Mtoto Kwa Allah Ta’ala
Malezi kwa mtoto ni muhimu sana na inaweza kufananishwa na msingi wamjengo. Ikiwa msingi wamjengo ni thabiti na lenye nguvu, basi mjengo pia litakuwa thabiti na nguvu na itastahmili hali ya hewa zote. Kinyume chake, ikiwa msingi wa mjengo ni dhaifu na kuyumba yumba, basi mtetemeko wa ardhi mdogo utaangusha …
Soma Zaidi »Hofo Ya Abdur Rahman bin Auf (Radhiyallahu ‘Anhu) Kutoa Hesabu
Naufal bin Iyaas Al Huzali (Rahimahullah) anasimulia: ‘Tulikuwa tukikaa na Abdur Rahman bin Auf (Radhiyallahu’ Anhu), na alikuwa ni rafiki mzuri sana. Siku moja, alitupeleka nyumbani kwake kula. Wakati tulikaa chini na sahani ya chakula iliyo na nyama na mkate ililetwa mbele yetu, alianza kulia. Tulimuuliza, “Ni nini kinachokusababisha kulia …
Soma Zaidi »Dalili Za Qiyaamah Part 4
Dalili Kumi Kubwa Za Qiyamah Kama jinsi kuna dalili nyingi ndogo za Qiyaamah zilizorekodiwa katika Ahaadith, hivyo hivyo kuna dalili nyingi kubwa ambazo pia zimetajwa katika Ahaadith. Dalili hizi kubwa ni matukio muhimu ambayo yatatokea ulimwenguni kabla ya Qiyaamah na itatangaza ukaribu wa Qiyaamah. Muhadditheen wame eleza kuja kwa Mahdi …
Soma Zaidi »Sunna na Aadaab za Jumu’ah 4
12. Jitahidi kumswalia Mtume (sallallahu alaihi wasallam) mara elfu moja siku ya Jumu’ah. Anas (Radhiyallahu anhu) anaripoti kwamba Rasulullah (Sallallahu alaihi wasallam) alisema, “Yule ambaye ananitumia salaa na salaam mara elfu moja siku ya Jumu’ah, hatofariki hadi atakapoonyeshwa makazi yake peponi.”[1] 13. Ni Sunnah kusoma Surah A’ala (sabbihisma rabbikal a’laa) …
Soma Zaidi »Kupokea Habari Njema Za Bahati Nzuri Na Msamaha Katika Ndoto
Usiku mmoja, Abdur Rahmaan bin Auf (Radhiyallahu ‘Anhu) alipoteza fahamu kwa muda mrefu wakati wa ugonjwa wake hadi wale walio karibu walidhani kwamba roho yake imeondoka. Walimfunika na kitambaa na wakaenda mbali naye. Mkewe, Ummu Kulthum bint ‘Uqbah, mara moja alitafuta msaada kwa Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’ala) kuvuta subira na …
Soma Zaidi »Sunna na Aadaab za Jumu’ah 3
9. Ikiwezekana, kwenda msikitini kwa kutembea kuswali Jumu’ah. Kwa kila Hatua zitazochukuliwa, utapokea thawabu ya kufunga mwaka mmoja na kuswali Tahajjud kwa mwaka mmoja. Aws bin aws thaqafi (radhiallahu anhu) anasema, “Nilimsikia Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) akitaja, ‘Yule anayefanya ghusl siku ya Jumuah na anaenda mapema msikitini kwa kutembea, na …
Soma Zaidi »Abdur Rahmaan bin Auf (Radhiyallahu ‘Anhu) akitumia mali yake kwenye safari ya Tabuk
Wakati Mwenyezi Mungu (subhaanahu wata’alah) alimwagiza Rasulullah (Sallallahu ‘Alaihi Wasallam) ajiandae kwenda kwenye safari ya Tabuk, maswahaabah wengi hawakuwa na uwezo za kutosha wakati huo kwenda kwenye safari ndefu na ngumu, haswa wakati walikuwa wanatarajia kukutana na jeshi la Warumi katika mapigano, ambao walikuwa na vifaa vizuri na wengi kwa …
Soma Zaidi »Rasulullah (Sallalllahu ‘Alaihi Wasallam) akimchagua Abdur Rahmaan bin Auf (Radhiyallahu’ Anhu) kama kiongozi wa Jeshi kwenda Dumatul Jandal
Katika mwaka wa sita baada ya Hijrah, wakati wa mwezi wa Sha’baan, Rasulullah (Sallallahu ‘Alaihi Wasallam) alimhutubia Abdur Rahmaan bin Auf (Radhiyallahu ‘Anhu) na kumwambia, “Fanya maandalizi Kusafiri, ninakaribia kukutumia kwenye safari ima leo au kesho Insha Allah. ” Asubuhi iliyofuata, wakati Abdur Rahmaan bin Auf (Radhiyallahu ‘Anhu) alipokuja kabla …
Soma Zaidi »Abdur Rahman bin Auf (Radhiyallahu ‘Anhu) Akiwa na Hofu Ya Kuulizwa Mbele Ya Allah Ta’ala licha ya yewe Kuwa Mtu Wa Kujitolea Kwa Sababu Ya Dini
Shu’bah (Rahimahullah) anasimulia: ‘Katika tukio moja, Abdur Rahman bin Auf (Radhiyallahu’ Anhu) alikuwa amefunga na Wakati wa Iftaar, chakula kililetwa mbele yake. Kuona chakula hicho, Abdur Rahman Bin Auf (Radhiyallahu ‘Anhu) alisema: “Hamzah (Radhiyallahu ‘Anhu) aliuwawa na hatukuweza kupata kitambaa cha kutosha ya sanda lake, na alikuwa bora kuliko mimi. …
Soma Zaidi »