27. Kaa kwenye itikafu siku 10 za mwisho za ramadhaani kama unauwezo.
Sayyidina Ibnu Abbaas (radhiyallahu ‘anhu) ameripoti kwamba Nabii wa Allah (sallallahu ‘alaihi wasallam) alisema kuhusu mwenye kukaa itkafu, "mwenye kukaa itkafu (ndani ya msikiti) anajiepusha na madhambi, na kwa wakati wote, anapata thawabu ya kufanya ibada mbali mbali angekuwa na uwezo wa kuzifanya kama asingekuwa kwenye itkafu".
Soma Zaidi »
Alislaam Juhudi za Kuleta uislam ndani ya maisha yetu