Njia Za Sunna Za Kufanya Ghusl- Sehemu Ya Tano

16.usijeshughulishe na kuongea, au kuimba au mazungumzo yoyote pindi utakapokuwa unafanya ghusl.[1]

17. Usitumiye muda mwingi bafuni haswa kama bafu yenyewe inatumiwa na watu wengine.[2]

18. Usichafuwe bafu na nywele ulizo nyowa.[3]

19. Pindi unapotumia maji ya moto tumia kwa utaratibu usitumie maji ya moto kwa wingi sana mpaka wale ambao watafuata baada yako hawatapata maji ya moto ya kutosheleza.[4]

20. Baada ya kuoga ni vizuri kuacha mwili ukauke wenyewe bila ya kufuta na taulo lakin kama kuna dharura ya kujifuta na taulo basi itaruhusiwa kufanya hivyo.[5]

21. Harakisha kufunika mwili baada ya kuoga.[6]

22. Usikojowe ndani ya bafu.[7]


[1] كذا يسن … وترك نفض وتنشف واستعانة وتكلم لغير عذر (تحفة المحتاج ١/٢٩٧)

[2] اتفق أصحابنا وغيرهم على ذم الإسراف في الماء في الوضوء والغسل وقال البخاري في صحيحه كره أهل العلم الإسراف فيه والمشهور أنه مكروه كراهة تنزيه وقال البغوي والمتولي حرام (المجموع شرح المهذب ٢/١٥٢)

[3] يحرم الانتفاع بشعر الآدمي وسائر أجزائه لكرامته بل يدفن شعره وظفره وسائر أجزائه (المجموع شرح المهذب ٣/١٠٣)

[4] عن عبد الله بن عمرو رضي الله عنهما عن النبي صلى الله عليه وسلم قال المسلم من سلم المسلمون من لسانه ويده والمهاجر من هجر ما نهى الله عنه (صحيح البخاري، الرقم: ١٠)

[5] كذا يسن … وترك نفض وتنشف (تحفة المحتاج ١/٢٩٧)

[6] عن زرعة بن مسلم بن جرهد الأسلمي عن جده جرهد قال مر النبي صلى الله عليه وسلم بجرهد في المسجد وقد انكشف فخذه فقال إن الفخذ عورة هذا حديث حسن ما أرى إسناده بمتصل (سنن الترمذي، الرقم: ٢٧٩٥)

[7] عن عبد الله بن مغفل أن النبي صلى الله عليه وسلم نهى أن يبول الرجل في مستحمه وقال إن عامة الوسواس منه (سنن الترمذي، الرقم: ٢١)

About admin

Check Also

Njia Za Sunna Za Kufanya Ghusl- Sehemu Ya Nne

13. Mimina maji mwilini upande wakulia kutoka juu ya mwili mpaka chini mara tatu, baada …