Mawaidha kwa wale wanaopuuza Swalah pamoja na Jamaah msikitini

Ilikuwa ni matamanio ya Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) kwa wanaume kwenye ummah waswali pamoja na jamaah msikitini. Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) alikuwa akiumia sana aliposikia kuhusu wanaume wanaoswali majumbani mwao mpaka akasema: “Lau si wanawake na watoto, ninge toa amri kwa kundi la wavijana kukusanya kuni na kuchoma moto nyumba za watu wanaoswalia majumbani mwao bila ya udhuru wowote.”[1]

Maswahaba waliwahi kumuona Sayyidina Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) akilia. Kwa kumuuliza ni nini kilisababisha alie, akasema: “Nimeonyeshwa na Allah Ta’ala kwamba miongoni mwa alama za Qiyaamah ni kwamba watu katika Ummah wangu wataacha Swalaah zao na kufuata matamanio yao.[2] 


[1] عن أبي هريرة أن رسول الله صلى الله عليه وسلم فقد ناسا في بعض الصلوات فقال لقد هممت أن آمر رجلا يصلي بالناس ثم أخالف إلى رجال يتخلفون عنها فآمر بهم فيحرقوا عليهم بحزم الحطب بيوتهم ولو علم أحدهم أنه يجد عظما سمينا لشهدها يعني صلاة العشاء (صحيح مسلم، الرقم: 651)

عن أبي هريرة قال قال رسول الله صلي الله عليه وسلم لولا ما في البيوت من النساء والذرية لأقمت صلاة العشاء وأمرت فتياني يحرقون ما في البيوت بالنار (مسند أحمد، الرقم: 8782)

[2] عن ابن عباس رضي الله عنهما قال لما حج النبي صلى الله عليه وسلم حجة الوداع أخذ بحلقتي باب الكعبة ثم أقبل بوجهه على الناس فقال يا أيها الناس قالوا لبيك يا رسول الله يفديك آباؤنا وأمهاتنا ثم بكى حتى علا انتحابه فقال يا أيها الناس إني أخبركم بأشراط القيامة إن من أشراط القيامة إماتة الصلوات واتباع الشهوات والميل مع الهوى وتعظيم رب المال (الإشاعة لأشراط الساعة صـ 171)

About admin

Check Also

Rakaa ya pili

1. Unapoinuka kutoka kwenye sajdah, kwanza inua paji la uso na pua, kisha viganja na …