Fadhila za Mwenye kwenda kwenye Msikitini Kutekeleza Swalaah

4. Kuenda msikitini mara Kwa mara ni njia ya usalama kwa Imaan na Dini ya mtu.

Sayyiduna Mu’aaz bin Jabal (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba Sayyidina Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) amesema: "Hakika Shaitaan ni mbwa mwitu wa mwanadamu (anayemuwinda mtu), kama jinsi mbwa mwitu wa mbuzi anayemkamata mbuzi aliye mbali na kujitenga na kundi. Jiepusha na kuishi kwa kujitenga kwenye tambarare (au kujiepusha na maoni yaliyotengwa) na kushikilia kwa uthabiti wa Ahlus Sunnah wal Jamaa’ah na kubaki na ummah walio wengi na kushikamana na msikiti.”

Soma Zaidi »

Fadhila za Mwenye kwenda Msikitini Kutekeleza Swalaah

1. Kufanya udhu nyumbani na kutembea kwenda msikitini kuswali ni njia ya mtu kusamehewa madhambi yake na daraja lake kuinuliwa.

Sayyidina Abu Hurairah (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba Sayyidina Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) kasema, “Mwenye kutawadha nyumbani na baada ya hapo kutembea kuelekea kwenye nyumba miongoni mwa nyumba za Allah (subhaana wata'ala) ili akamilishe faradhi ya Allah (subhaana wata'ala), Basi Kwa kila hatua moja anachukuwa, dhambi moja inasamehewa, na kwa hatua inayofuata, atainuliwa daraja moja."

Soma Zaidi »

Kumswalia Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) kabla ya kusoma Dua

Abdullah bin Mas’uud (radhiyallahu ‘anhu) amesema “Wakati wowote mtu kati yenu akikusudia kumwomba Allah (subhaana wata'ala), Basi aanze dua yake kwa kumhimidi na kumtakasa Allah (subhaana wata'ala) kwa sifa zinazostahiki Utukufu na heshima yake. Kisha amtumie salaa na salaam juu ya Nabii wa Allah (sallallahu alaihi wasallam) na baada ya hapo aombe dua, Kwa sababu (kupitia kufuata njia hii ya kuomba dua) kuna uwezekano mkubwa kwamba atakuwa amefanikiwa (katika dua yake kujibiwa)."

Soma Zaidi »

Fadhila za Musjid

1. Misikiti imetangazwa kuwa ndio sehemu inayopendwa zaidi kwa Allah subhaana wata’ala. عن أبي هريرة رضي الله عنه أن رسول الله صلى الله عليه وسلم قال أحب البلاد إلى الله مساجدها وأبغض البلاد إلى الله أسواقها (صحيح مسلم، الرقم: 671) Sayyidina Abu Hurairah (radhiyallahu ‘anhu) anaripoti kwamba Sayyidina Rasulullah (sallallahu …

Soma Zaidi »

Tafseer ya Surah Qadr

بِسمِ اللّٰـهِ الرَّحمٰنِ الرَّحيمِ اِنَّا أَنزَلنٰهُ فى لَيْلَةِ القَدْرِ ﴿١﴾ وَما أَدرىٰكَ ما لَيلَةُ القَدرِ ﴿٢﴾ لَيلَةُ القَدرِ خَيرٌ مِن أَلفِ شَهرٍ ﴿٣﴾ تَنَزَّلُ المَلـٰئِكَةُ وَالرّوحُ فيها بِإِذنِ رَبِّهِم مِن كُلِّ أَمرٍ ﴿٤﴾ سَلـٰمٌ هِىَ حَتّىٰ مَطلَعِ الفَجرِ ﴿٥﴾ Hakika Sisi tuliiteremsha (Qur’an) katika usiku wa Qadar (usiku wenye heshma kubwa). Na jambo gani  litakalokujulisha ni nini usiku wa …

Soma Zaidi »

Dua nyingine itakayosomwa baada ya Adhaan

عن عبد الله بن مسعود رضي الله عنه أن رسول الله صلى الله عليه وسلم قال : ما من مسلم يقول إذا سمع النداء فيكبر المنادي فيكبر ثم يشهد أن لا إله إلا الله وأن محمدا رسول الله فيشهد على ذلك ثم يقول اللهم أعط محمدا الوسيلة واجعل في عليين …

Soma Zaidi »

Kumswalia Nabii wa Allah (sallallahu alaihi wasallam) baada ya Kusikia Adhaan

عن جابر رضي الله عنه قال قال رسول الله صلى الله عليه وسلم من قال حين يسمع النداء اللهم رب هذه الدعوة التامة والصلاة  القائمة آت محمدا الوسيلة والفضيلة وابعثه مقاما محمودا الذي وعدته حلت له شفاعتي يوم القيامة (صحيح البخاري، الرقم: 614 ،وأما زيادة إنك لا تخلف الميعاد فقد …

Soma Zaidi »

Kumswalia Nabii wa Allah (sallallahu alaihi wasallam) baada ya kusikia adhaan

عن عبد الله بن عمرو بن العاص رضي الله عنهما أنه سمع النبي صلى الله عليه وسلم يقول إذا سمعتم المؤذن فقولوا مثل ما يقول ثم صلوا علي فإنه من صلى علي صلاة صلى الله عليه بها عشرا ثم سلوا الله لي الوسيلة فإنها منزلة في الجنة لا تنبغي إلا …

Soma Zaidi »