9. Fanya niya ya nafil i'tikaaf kwa ajili ya kuwa utakaa msikitini.
10. Swali rakaa mbili za tahiyyatul masjid ukiingia msikitini.
Sayyidina Abu Qataadah (radhiyallahu ‘anhu) amesema kuwa Rasulullah (sallallahu alaihi wasallam) alisema, "pindi mmoja wenu atakapo ingia msikitini, anatakiwa kuswali rakaa mbili za swala kabla ya kukaa,"
Soma Zaidi »