Furaha Ya Umar (Radhiyallaahu ‘anhu)

Umar (Radhiyallaahu ‘anhu) aliwahi kumwambia Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhu) (mjomba wa Rasulullah sallallahu ‘alaihi wasallam)) “nilikuwa na furaha zaidi na Uislamu waku kuliko Uislamu wa baba yangu, kwa sababu Uislamu wako ulileta furaha zaidi kwa Mtume (Sallallahu ‘alaihi wasallam) kuliko Uislamu wa baba yangu.” (Sharhu Ma’aanil Aathaar 3/321)

About admin

Check Also

Abdullah bin Mas’uud (Radhiya Allaahu ‘anhu) akiwa na yaqeen na Maneno ya Mtume (Sallallahu alaihi wasallam)

Wakati fulani, katika kipindi cha ukhalifa wake, Uthmaan (Radhiyalhu ‘anhu) alikuja kumtembelea Abdullah bin Mas’uud …